Ni kosa kuoa katika familia ya kichawi?

Ni kosa kuoa katika familia ya kichawi?

Prakatatumba abaabaabaa

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2022
Posts
1,842
Reaction score
6,087
Hiko hivi kuna rafiki yangu mmoja amekuja kuomba ushauri.

Kampenda mwanamke wako kwenye mahusiano ya mda sasa, alipo fanya maamuzi ya kuoa wazazi wakamwambia "huyo binti kwao ni wachawi" kwamba kuna scenario mama ake huyo binti alikamatwa akiwanga, wazazi hawataki hata kusikia kuhusu huyo binti.

Mimi kwa sababu siamini uchawi wala sijawahi kumuona mchawi nimemwambia aoe tu maana mama ake anaweza kua mchawi lakini yeye sio mchawi. je nimefanya vibaya kumshauri hivyo?.

Then sisi wazazi ukimzaa mtoto sio vizuri kuanza kuingia kwenye maamuzi yake, maana wazazi wengine wanataka kuweka sheria zao hadi kwenye nyumba za watoto wake.

Mzazi mtoto anapofikisha umri mkubwa unachotakiwa ni kushauri tu.
 
Hiko hivi kuna rafiki yangu mmoja amekuja kuomba ushauri.
Kampenda mwanamke wako kwenye mahusiano ya mda sasa, alipo fanya maamuzi ya kuoa wazazi wakamwambia "huyo binti kwao ni wachawi" kwamba kuna scenario mama ake huyo binti alikamatwa akiwanga, wazazi hawataki hata kusikia kuhusu huyo binti.
Mimi kwa sababu siamini uchawi wala sijawahi kumuona mchawi nimemwambia aoe tu maana mama ake anaweza kua mchawi lakini yeye sio mchawi. je nimefanya vibaya kumshauri hivyo?.


Then sisi wazazi ukimzaa mtoto sio vizuri kuanza kuingia kwenye maamuzi yake, maana wazazi wengine wanataka kuweka sheria zao hadi kwenye nyumba za watoto wake.

Mzazi mtoto anapofikisha umri mkubwa unachotakiwa ni kushauri tu.
Awasikilize wazazi wake wanajua zaidi kuliko yeye... Nyumba ya mchawi daima lazima apatikane mrithi kama si mtoto basi mjukuu na nyumba ya mchawi lazima kutoa kafara ya damu na nyama toka kwa mmojawapo wa wana familia
 
Haki Lillah ukoo ukiwa na mambo ya kichawi sio wakuoa kabsa ,wale wanavyama vya kutoa ,na uwa ni zamu sasa ikifika zamu ya mkweo kutoa ,ndio unafaham kwanini kuoa familia ya kichaw sio jambo lenye afya katka ustaw wa jamii ,
Watakutesea wanao hadi ufilisike kwa kutibu ,kumbe remote ya yote ipo ukweni,
Na ongea kwa ushuhuda na uzoefu,
Kama wew ujaona mchawi sio kibal cha kujiaminisha hakuna mchawi au uchawi ,.
Wew ushaona malaika !? Je awapo!? Ushamuona Mwenyezi Mungu Muumba!? Je ayupo!?
Unadhan hivi uvionavyo ndio hivi hivi !? Yapo mengi hapa Dunian ya sirin na dhahir ,.
Kama Kweli huyo demu kwao ni wachaw ,jamaa yako ajipange mapema na mambo meus ,alaf wale wana chagua warithi wao wa yale mambo sasa usishangae anae oa kumbe ndie mrithi wa mama ,sasa unadhan ni nini kinafuata kama ni hivyo ,!? Na yale mambo uwez yakataa maana unachagulia tangia uko mdogo , kwa vipimo maalum.
Sio tu eti ukubwan unachaguliwa ,sio hivyo kabsa !!
Shukran
 
Alpha 1 we don't know what we are dealing with if you have a clear shot take it,
I repeat take it over..
Mshana Jr do you cop?
Over and out
giphy.gif
 
Hiko hivi kuna rafiki yangu mmoja amekuja kuomba ushauri.

Kampenda mwanamke wako kwenye mahusiano ya mda sasa, alipo fanya maamuzi ya kuoa wazazi wakamwambia "huyo binti kwao ni wachawi" kwamba kuna scenario mama ake huyo binti alikamatwa akiwanga, wazazi hawataki hata kusikia kuhusu huyo binti.

Mimi kwa sababu siamini uchawi wala sijawahi kumuona mchawi nimemwambia aoe tu maana mama ake anaweza kua mchawi lakini yeye sio mchawi. je nimefanya vibaya kumshauri hivyo?.

Then sisi wazazi ukimzaa mtoto sio vizuri kuanza kuingia kwenye maamuzi yake, maana wazazi wengine wanataka kuweka sheria zao hadi kwenye nyumba za watoto wake.

Mzazi mtoto anapofikisha umri mkubwa unachotakiwa ni kushauri tu.
Ni sahihmkuu akimbie kbsa mwanmke mchawi Ni ishu lzm atakuja kunihusisha mbeleni
 
Back
Top Bottom