πππ hapo hata mkwe unaweza logwa na watoto wenu wanaweza tolewa sadakaNikuulize Mkuu kwani uchawii ni bloodline kwamba mtoto naye atakua mchawi?ππ
Bible inasema usimwache mchawi aishi, Kama huamini MUNGU basi endelea kuto amini mchawi kuwa hawapo. Ushauri ukiamini Mungu yupo basi na mchawi yupo.Hiko hivi kuna rafiki yangu mmoja amekuja kuomba ushauri.
Kampenda mwanamke wako kwenye mahusiano ya mda sasa, alipo fanya maamuzi ya kuoa wazazi wakamwambia "huyo binti kwao ni wachawi" kwamba kuna scenario mama ake huyo binti alikamatwa akiwanga, wazazi hawataki hata kusikia kuhusu huyo binti.
Mimi kwa sababu siamini uchawi wala sijawahi kumuona mchawi nimemwambia aoe tu maana mama ake anaweza kua mchawi lakini yeye sio mchawi. je nimefanya vibaya kumshauri hivyo?.
Then sisi wazazi ukimzaa mtoto sio vizuri kuanza kuingia kwenye maamuzi yake, maana wazazi wengine wanataka kuweka sheria zao hadi kwenye nyumba za watoto wake.
Mzazi mtoto anapofikisha umri mkubwa unachotakiwa ni kushauri tu.
Kama wana uhakika ni wachawi huko kwao asioe plz. Ndoa ni muunganiko wa familia na usiwe mwepes kupuuza ushauri wa wazazi. Fanya tafiti tafakar kabla hujachukua maamuz. Hata ungekuwa wewe ndio mzazi usingekubali mwanao aingie kwenye tatizo.Nikuulize Mkuu kwani uchawii ni bloodline kwamba mtoto naye atakua mchawi?ππ
Ndio na hapana.Ndio kwa sababu kila binadamu mwenye genes anazo genes za kuwa mchawi.Hapana kwa sababu hata kama unazo sio lazima uwe mchawi.Nikuulize Mkuu kwani uchawii ni bloodline kwamba mtoto naye atakua mchawi?ππ