Ni kwa asilimia ngapi ukizaliwa familia ya kifukara unaweza kutoboa?

Kuhusu kupeleka tenda kumetoa watu, sema hapo kucheza na watu wa manunuzi kumtoa kiaina , mi mzee wangu alikuwa mtu wa kuwapa watu tenda kwenye chuo x wamenyanyuka kweli Hawa matajiri wa Moro, si tulikuwa wadogo hatukujitambui mpaka kastafu Sasa.
 
Kutoboa ni namna wewe utakavyoamua kufanya mambo ambayo wengine hawafanyi, either kwa kuogopa au kwa mazoea tu!
 
Kuhusu kupeleka tenda kumetoa watu, sema hapo kucheza na watu wa manunuzi kumtoa kiaina , mi mzee wangu alikuwa mtu wa kuwapa watu tenda kwenye chuo x wamenyanyuka kweli Hawa matajiri wa Moro, si tulikuwa wadogo hatukujitambui mpaka kastafu Sasa.
Mi covid 19 ndiyo iliyoniharibia!! Nilishawashika watu wa stoo, jikoni na manunuzi. Wacha nijipange niatachukua tu tena tenda hio!!
 
Kutoboa kupo inategemea na akili zako ukitumia kigezo cha umaskini wenu kama kikwazo cha mafanikio yako wallah hutoboi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…