Mohamed Said
JF-Expert Member
- Nov 2, 2008
- 21,967
- 32,074
Kalamu,Wewe.
Rudi nyuma uone tulipoanzia.
Kwa hiyo unauliza kitu gani?Kalamu,
Tayari siku nyingi.
Kalamu,Bado una mashaka na uamzi wangu?
Utajua kama nani?Kalamu,
Sina mashaka.
Najua unapata shida kufanya hivyo
Unadhani una uwezo wa kushndana na mimi na wewe ukapata ushindi.
Wengi hapa JF huwa hawatambui urefu wa kina cha maji wanayojaribu kuvuka hadi baadae sana.
Hunijui.Kalamu,
Sina mashaka.
Najua unapata shida kufanya hivyo.
Unadhani una uwezo wa kushndana na mimi na wewe ukapata ushindi.
Wengi hapa JF huwa hawatambui urefu wa kina cha maji wanayojaribu kuvuka hadi baadae sana.
Kalamu,Utajua kama nani?
Sasa unatafuta msaada?
Kalamu,Sasa unatafuta msaada?
Ufundi wa utapeli unaufurahia huo?
Kalamu,Hunijui.
Wewe umejitangaza kama 'con artist mashuhuri.
Kwa hizi takataka unazoweka humu huwezi ukajilinganisha na mimi, huo ndio ukweli wenyewe.
Huna kina chochote.
Unahangaika sana. Mara unajigamba kunizidi. Of course unanizidi kwa utapeli, hilo halina ubishi juu yake.Kalamu,
Nakujua kwa yale ambayo umeandika hapa mfano wa kusema sikualikwa Northwestern University na chuo bali Wapakistani na ulikuwako Chicago ukaniona na hao Wapakistani.
Huu ni uongo.
Kuweka mizani sawa nikakujibu kwa ushahidi wa wenyeji wangu walionialika.
Nikakueleza kuwa Wapakistani niliwakuta John Hopkins University,Washington DC.
Hukuwa na la kusema tukaendelea kama kawaida yetu jinsi hapa tulivyo.
Kupitia kwako nachukua fursa ya kusomesha historia ya TANU kwa maneno na picha.
Watu wangeionaje picha Bi. Chiku bint Said Kisusa anamsindikiza Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere Uwanja wa Ndege Dar es Salaam safari ya kwanza UNO Februari 1955?
Watu wengeona wapi picha ya mkutano wa TANU Mnazi Mmoja 1954?
Ningekujua kama ungefunua sura yako ukaonekana na dunia nzima kama mimi.
Hili linataka ujasiri.
Bulawayo, Zimbabwe
Kalamu,Unahangaika sana. Mara unajigamba kunizidi. Of course unanizidi kwa utapeli, hilo halina ubishi juu yake.
Hunijui, hunijui; huo ndio ukweli wenyewe, na utahangaika sana kutaka kunijua.
Elewa tu, sipo karibu na haya ya utapeli tapeli na ubabaishaji kama unayoendesha wewe.
Duh!Kalamu,
Sijajigamba kukuzidi.
Weka ushahidi.
Wala sihangaiki kukujua.
Weka ushahidi.
Nasikitika kuwa unataka kuniingiza katika ugomvi na mabishano na wewe.
Kalamu,Duh!
Mara hii hapa ushasahau iliyoandika chini ya masaa 12 yaliyopita na unataka ushahidi juu yake?
Uzee tayari umechukua nafasi yake kwenye kumbukumbu zako?
Takataka ziendelee.Kalamu,
Kweli mimi ni mzee wala hili siwezi kulikataa.
Njia nyepesi ya kunikumbusha ni kuweka hayo maneno niliyosema hapa mimi niyasome na wanaotufatilia pia wayasome.
Sikuamini kwa kuwa ushanizulia uongo wa kuniona Chicago na Wapakistani.
Siwezi kamwe kukuamini ila kwa ushahidi.
Taka tupu!Kalamu,
Kweli mimi ni mzee wala hili siwezi kulikataa.
Njia nyepesi ya kunikumbusha ni kuweka hayo maneno niliyosema hapa mimi niyasome na wanaotufatilia pia wayasome.
Sikuamini kwa kuwa ushanizulia uongo wa kuniona Chicago na Wapakistani.
Siwezi kamwe kukuamini ila kwa ushahidi.
Umenikumbusha ujana wangu nakuwekea picha unione:
View attachment 2559321
London 1991
Kalamu,Takataka ziendelee.
Mbona yote haya ni marudio tu, huna matakataka mapya?Kalamu,
Huna ushahidi niliokuomba.
Si tatizo.
Tuko pamoja.
Durban 2000
Madai yako ni imaginable ndiyo maana Pro. Haroub alishangazwa na madai yako.Ante...
Hakufanayo.
Prof. Haroub Othman alimkabili Mwalimu na kitabu cha Abdul Sykes.
Bahati nzuri Mwalimu alikuwa kakisoma kitabu.
Prof. Haroub alikwenda kwa Mwalimu kutafuta ukweli wa yale niliyoandika.
Wakawa wanakwenda moja baada ya jingine:
Prof. Haroub akamweleza Mwalimu kuwa yeye binafsi yale aliyosoma katika kitabu yamemshtua sana kwani Tanzania imejikuta ina historia mpya ya Nyerere na historia mpya ya kupigania uhuru wa Tanganyia kutoka vyanzo ambavyo hakuna anaeweza kuvipinga.
- Kweli ipo historia ya Wasilam ambayo haijaelezwa na kwa nini imekuwa hivyo?
- Yeye anaingiaje kwa Sykes na yale yaliyomo katika kitabu?
- nk. nk.
Sasa tunafanyaje?
Prof. Haroub aliuliza.
Haya yanatosha.
Same old s..tKalamu,
Hapana shida.
University of Ibadan 2006