EeeenHeeee!Hapana,
Mimi sina tatizo tuko pamoja.
Wewe unifundishe mimi?
Tena sana.
Hizi taka zote unazoweka humu sioni cha kujifunza toka kwako.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
EeeenHeeee!Hapana,
Mimi sina tatizo tuko pamoja.
Wewe unifundishe mimi?
Kalamu,EeeenHeeee!
Tena sana.
Hizi taka zote unazoweka humu sioni cha kujifunza toka kwako.
Ujamaa...Moh
Mbona picha nyingi upo nje ya nchi. Ningependa kuona picha ulizopiga ukiwa mikoani au hupendezwi na mikoa ya nchi hii ?
Ndiyo.Kila mtu amejaaliwa uwezo wake wa kuelewa mambo.
Kalamu,Ndiyo.
Wewe umejaaliwa haya ya 'conmanship', nadhani hilo nilishalisema mara kadhaa humu.
EeenHeee!Kalamu,
Hakuna tatizo hayo ndiyo majaaliwa yako.
Kalamu,EeenHeee!
Usikimbie sifa yako. Umekwishajipambanua nayo, kaa nayo hivyo hivyo.
Mzee wa Taka.Kalamu,
Hapana siwezi kukimbia.
Tupo sote hapa.
Hata kama nikitaka kujificha Dar es Salaam najulikana sana ndiyo kwetu
nitakimbilia wapi?
Usiwe na wasiwasi.
Wewe mtu muhimu sana.
Kwa kuweka picha hapa nimefungua somo na wanafunzi wangu, ''This is My Life.''
Kila mtu nimemuomba aweke picha zake na caption kueleza maisha yake.
Huwezi kuamini jinsi maisha yetu hata na watu wa mbali sana yanavyofanana.
Unanisaidia sana ndugu yangu.
![]()
Maputo 1990
Kalamu,Mzee wa Taka.
Takataka.Kalamu,
Miaka 10 Iliyopita...
JAMII FORUMS NA MAKALA ZA MOHAMED SAID: UKIPENDA KUSOMA HISTORIA YA TANGANYIKA/TANZANIA ''HISTORIA YA UHURU ISIMULIWAVYO NA MOHAMMED SAID YAKOSOLEWA'' Mjadala huo hapo juu katika Jamii Forums ulivunja rekodi kwa kuwa ulidumu kwa miezi sita mfulululizo na ulichangiwa na watu zaidi ya 900,000...
Hapana shida tupo sote.
Lakini nina hakika wewe huwezi kuvunja rekodi hiyo hapo juu.
Ndipo wengi wakanifahamu na wengi nikawasomesha historia ya kweli ya TANU na uhuru wa Tanganyika.
Mwishowe ukafungwa.
Lakini mimi nilikuwa bado nina uwezo wa kukabiliana na maswali na kuyajibu bila kutukana ingawa mimi nilitukanwa sana.
Huwa situkani mtu wala sikejeli mtu.
Ninapokusoma leo ukinitukana matusi naelewa ni kiasi gani unaumizwa na kila unachokiona kutoka kwangu.
Hukutegemea haya.
Tuko pamoja tusonge mbele na wewe endelea kutukana na kuzomea kila unapoandika.
Nami sitarejesha matusi.
Kalamu,Takataka.
Wee huoni takataka zilivyojaa humu. Kwani zako zina tofauti gani na zile nyingine.
EeeenHeeeeee!Kalamu,
![]()
Cardiff, Wales
1993
Kalamu,EeeenHeeeeee!
Ina maana gani hiyo takataka!
Usisahau kipaji chako cha u'con'!Kalamu,
Mguu wangu ulipokanyaga.
Nashukuru.
Haya ndiyo maajabu katika maisha yangu.
Nini kimesababisha nema hii?
Kalumu,Usisahau kipaji chako cha u'con'!
Ndiyo, hilo sikukatalii. Alikujalia ubongo wa kuwa 'con artist' mzuri.Kalumu,
Kipaji changu alichonijaalia Allah ni huu ubongo wangu.
Kalamu,Ndiyo, hilo sikukatalii. Alikujalia ubongo wa kuwa 'con artist' mzuri.
Hapana, hatuwezi kamwe kuwa pamoja.Kalamu,
Hakuna shida tupo pamoja.