Ni kwa namna gani Julius Nyerere aliwazidi "Ujanja" wazee wa Kariakoo waliompokea kwenye siasa za Dar es Salaam?

Ni kwa namna gani Julius Nyerere aliwazidi "Ujanja" wazee wa Kariakoo waliompokea kwenye siasa za Dar es Salaam?

Mkuu 'Baba-mwajuma', mimi siyo mwanasiasa, na wala sitegemei hata siku moja nitafute sifa maalum za upendeleo toka kwa yeyote. Mimi nawasilisha mawazo yangu, uyapende usiyapende hiyo ni juu yako mwenyewe kufanya uamzi.

Maoni yangu kuhusu haya ya mzee ni hayo hayo hayabadiliki. Huyu ni 'con' mkubwa aliyechota akili za watu kama wewe kwa mtindo wa uwasilishaji wake wa utapeli mkubwa.
Anakupa za uso mpaka na picha juu zinakulamba viboko. umebaki kubwabwaja tu. Hoja huna umeanza name calling. Muflis.
 
Mkuu, nilishaeleza msimamo wangu siku nyingi kuhusu haya ya huyu mzee. Hii siyo mara ya kwanza; na hata katika mada hii hii, bandiko langu la kwanza kabisa nimeeleza ninaposimamia.

Mweleze huyo mzee wako kwamba hamsaidii kitu kuendelea kuniita kwenye takataka zake humu anazobandika akini'quote', sina muda nazo isipokuwa kumjibiu tu kuwa ni takataka ambazo sina muda wa kuzisoma.

Akiacha kunifuatilia, hunioni tena. Lakini akeendelea, ni kazi rahisi kwangu kuendelea na kuziita takataka tu.
Hili halinipi shida, na wala haliniondolei kitu chochote.
Kalamu,
Nimekupa nafasi ya kumaliza mjadala nikakuambia umeghadhibiko tusitishe mjadala.

Hukutaka ukarejea.
Nikakueleza tena tumalize mjadala.

Sina shida na hiyo milango yako na ni kwa vipi inafunguka.
Kila mtu ana milango yake.
''Kalamu,
Umeghadhibika.

Mimi na wewe tusitishe mjadala huu hadi baadae.''
#68

Ukarejea tena:
''Dah!
Hizi mbinu za mijadala wengine tulishazisoma na kuzielewa siku nyingi sana.
Kiufupi ni kwamba hakuna "mjadala" kati yetu. Huwezi kujadili uongo, jambo ambalo ni batili.''
#71

Hilo la taka halinipi shida kwani hapa JF na kwengine nafahamika.

towmgBrAAPgpInqrxLrNFj7oDF2pbAZ8b8FszhDpaYH6rHn7kQTO_vZvZfybYdkqrNtQ2ncDJvns1RfNSblZitC-AiA3IRIk_nvcymToLA4tY3IWIJDwlMvOhhXQi5rM7vBr4wGviK2X4rhNC68hb0WyjgDupTcAFHJ9Fawz3A87wd4vzGNa7Li64HEzzmJAVtvJjzhqhppLhUN2PL5U6Ns2b43vIQpAbEcz7wqGnsZfeFaVGY-5O0xfEOzwoUx7VVIb1bkPuGgAVRGrDJXLGQJmR0ehR2G7uvmkqz82y_VQLIq6D_eF-etE7_JLFmEMo5hlb7u8su0-a9H6cLfp__LQidCNs0KbVKLeIezCXNnAb46ItoLwrjy8zSH7ATwPvROyPzYhtpFNdsQrdL-O5XQnhOl3hWDI4JOQMUJofot3vGDgeOjtPo1ISUvC4xdla_c0R4FttgzYL3a-2qDi2-v10aGuqMO-uqdiwale-X9pBGOV9U-ky1iRxZrATJ9bD77xWf8s0He1nfh-qG38fFDnJXnMTfEsfnmuQaxGoiD6gNpstwlVbeQ_NRUVWaj-UogW-l-tZZNsLdjIJRZsHTk2yNsTcrhbnWQkbbjaOgIFq-2_zRPKigplYLexQJ1uZexwcTB3Wv-CBeFbbXe6YqRL2_hznVL98P4D2YiRzzRtwg6pFI23tJwt17ZyBI2BNDW_xlwOGwFFX276k-siJZn04g2asogr23pllZztpHONTs3YaOkLVsy8syLbJkRvcBcEIHOqPANIm0EdLSOi6Fj3a64uG8AnI7BaBaFZI4wbJetLDeci2S7jyxRcYFSFz341m1i8EeKqqS59DD4zZ4QNaHlGODLBLWGtm0GmGdB3QzZ6qrigIYQ0jH1T9IhYdVqnzIvYZ9fvXdNdKezoo7XfJB55ehzsMyZuepsR3BVUkl2aTSlqZx8f6Akl1Ye6EU4QZw1UN5fttuDBNqA=w857-h643-s-no

Humburg​
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hiki Kiswahili anachoongea Mohamed Said,inaonekana hata wazee waliomsaidia Nyerere ndio walichoongea-kimejaa ujanja ujanja mwingi-endapo Nyerere angekaa nao bega kwa bega,hii nchi ingemshinda mapema-ilibidi kwa manufaa ya nchi apige upanga mapema
 
Nyerere alijenga Taifa moja lisilo na ubaguzi au migawanyiko ya kikabila, kikanda au kidini sasa ni zamu yenu nyie watoto na wajukuu wake kujenga uchumi imara katika Taifa. Badala ya kujikita kufanya hili, huyu mzee wako kucha kutwa analalamika kuhusu wazee wake wa Kariakoo kufunikwa umaarufu na Nyerere na udini.
Manufaa yepi yaliyopatikana nchi hii? Ikiwa mpaka leo miaka zaidi ya 60 baada ya uhuru bado tunashindwa kukidhi hata mahitaji ya bajeti ya nchi sisi wenyewe.
 
Kalamu,
Nimekupa nafasi ya kumaliza mjasala nikakuambia umeghadhibiko tusitishe mjadala.

Hukutaka ukarejea.
Nikakueleza tena tumalize mjadala.


''Kalamu,
Umeghadhibika.

Mimi na wewe tusitishe mjadala huu hadi baadae.''
#68


Ukarejea tena.

Hilo la taka halinipi shida kwani hapa JF na kwengine nafahamika.

towmgBrAAPgpInqrxLrNFj7oDF2pbAZ8b8FszhDpaYH6rHn7kQTO_vZvZfybYdkqrNtQ2ncDJvns1RfNSblZitC-AiA3IRIk_nvcymToLA4tY3IWIJDwlMvOhhXQi5rM7vBr4wGviK2X4rhNC68hb0WyjgDupTcAFHJ9Fawz3A87wd4vzGNa7Li64HEzzmJAVtvJjzhqhppLhUN2PL5U6Ns2b43vIQpAbEcz7wqGnsZfeFaVGY-5O0xfEOzwoUx7VVIb1bkPuGgAVRGrDJXLGQJmR0ehR2G7uvmkqz82y_VQLIq6D_eF-etE7_JLFmEMo5hlb7u8su0-a9H6cLfp__LQidCNs0KbVKLeIezCXNnAb46ItoLwrjy8zSH7ATwPvROyPzYhtpFNdsQrdL-O5XQnhOl3hWDI4JOQMUJofot3vGDgeOjtPo1ISUvC4xdla_c0R4FttgzYL3a-2qDi2-v10aGuqMO-uqdiwale-X9pBGOV9U-ky1iRxZrATJ9bD77xWf8s0He1nfh-qG38fFDnJXnMTfEsfnmuQaxGoiD6gNpstwlVbeQ_NRUVWaj-UogW-l-tZZNsLdjIJRZsHTk2yNsTcrhbnWQkbbjaOgIFq-2_zRPKigplYLexQJ1uZexwcTB3Wv-CBeFbbXe6YqRL2_hznVL98P4D2YiRzzRtwg6pFI23tJwt17ZyBI2BNDW_xlwOGwFFX276k-siJZn04g2asogr23pllZztpHONTs3YaOkLVsy8syLbJkRvcBcEIHOqPANIm0EdLSOi6Fj3a64uG8AnI7BaBaFZI4wbJetLDeci2S7jyxRcYFSFz341m1i8EeKqqS59DD4zZ4QNaHlGODLBLWGtm0GmGdB3QzZ6qrigIYQ0jH1T9IhYdVqnzIvYZ9fvXdNdKezoo7XfJB55ehzsMyZuepsR3BVUkl2aTSlqZx8f6Akl1Ye6EU4QZw1UN5fttuDBNqA=w857-h643-s-no

Humburg​
Mzee, ni hivi, kila utakapokuwa unaweka takataka zako baada ya kuni'quote', jibu toka kwangu ni lile lile. Hizi ni takataka nisizokuwa na muda wa kuzisoma.
 
Julius alipewa uongozi wa TAA kwa sababu alikuwa msomi, na kwa asilia jamaa alikiwa ana ka nguvu ka ushawishi , pia aliwazidi ujanja ndio we mtu alikuwa ashenda uganda, ashenda ulaya hasa kwa nini asiwazidi.
Pia haiwezekani nchi ika mkumbuka kila mtu, wengine walifanya kwa uzalendo na utaifa wao si mpaka wajengewe nyumba

*nyerere mwenyewe alikufa ni kama hana kitu,,zaidi ya jina kubwa tuu, muacheni apumzike tuu baba wa Taifa

*Ila wenye uwezo wa kiwakumbuka wengine nao waruhusiwe wafanye hivo.
Uko sahihi mkuu! After then wazee wengi waliomsaidia kupigania uhuru hawakuwa wasomi! Lakini hata hivyo alijitahidi sana kumridhisha kila mtu lakini ukizingatia nchi ilikuwa changa na masikini asingeweza kumtosheleza kila mtu!
 
Huko Zanzibar Historia ya Mapinduzi imeandikwa kumzunguka Karume ila hukomalii kuonyesha kuna watu wengi walihatarisha maisha yao kumuondoa Sultan ila kwa Nyerere aliyeweza kuzungumza na wazungu wakawahi kuondoka ndio umeng'ang'ana kumuonyesha alikuwa wa kawaida tu!
Mama...
Mimi nitakuwa mjinga sana kama nitapuuza uwezo wa Mwalimu Nyerere.

Kwanza fikiria uwezo watu hawa ambao ndiyo walikuwa ndani ya TAA Political Subcommittee mwaka wa 1950: Dr. Vedasto Kyaruzi, Abdul Sykes, Hamza Mwapachu, Mufti wa Tanganyika Sheikh Hassan bin Ameir, Sheikh Said Chaurembo, Steven Mhando na John Rupia.

Mshauri wa hii kamati akiwa Earle Seaton.

Sijui kama wewe unajua uwezo waliokuwanao watu hawa.

Hawa ndiyo walikuwa wanapanga mipango ya kuikomboa Tanganyika na hawa ndiyo waliomtia Nyerere katika uongozi wa juu wa TAA.

Kwa kipande hiki cha historia kinaonyesha uwezo mkubwa wa Mwalimu Nyerere.

Swali langu kwako ni hili.

Wewe ulikuwa unawajua hawa niliokutajia kuwa walipigania uhuru wa Tanganyika?

Mimi nimenyanyua kalamu kusahihisha historia iliyokuwa inamtaja Nyerere peke yake na kueleza historia ya TANU kama ilivyotakiwa kuandikwa.

Kubwa na hili ndilo wengi hapa linawaumiza ni kutaja mchango wa Waislam na Al Jamiatul Islamiyya fi Tanganyika katika kupigania uhuru.

Mufti Sheikh Hassan bin Ameir akiuza kadi za TANU misikitini na aliwaongoza Waislam kumuunga mkono Julius Nyerere.

Je, wewe hupendi haya yakaelezwa katika historia ya uhuru?

Hakuna mahali unaweza kusema hawa wazalendo waliishia hapa katika kudai uhuru na Nyerere akaanzia hapa.

Hawa na wazalendo wengine walikuwapo na Nyerere toka walipompokea 1952 hadi uhuru unapatikana 1961.

Nyerere angekuwa mbali sana angeunda TANU nje ya watu hawa na labda angeunda chama chake.

Lakini Nyerere kamkuta Abdul na wenzake katika harakati za uhuru katika African Association (1929) na Al Jamiatul Islamiyya (1933) iliyoundwa na baba yake.

Iweje historia hii ifutwe?

Unaweza vipi kuwafuta wazalendo hawa katika historia ya TANU na uhuru wa Tanganyika ukambakisha Nyerere peke yake?

Sikuandika kitabu kumdogosha Nyerere.

Nimeandika kitabu kusahihisha historia iliyojaa makosa mengi sana.

Hii ndiyo sababu Prof. Haroub Othman alimshauri Mwalimu akubali iandikwe historia ya maisha yake ipatikane nafasi ya kufanya marekebisho ya historia iliyokuwapo ambayo kitabu cha Abdul Sykes iliibomoa.

Unasema ningekuwa na uwezo?
Uwezo ninao na umetambulika.

Kleist Sykes ametiwa katika Dictionary of African Biography (DAB) Oxford University Press, New York 2011.

Kitabu nilichoandika "The Life and Times of Abdulwahid Sykes (1924-1968)," Minerva Press London 1998 kimechapwa matoleo manne tunakwenda la tano na kipo kwa Kiswahili pia Phoenix Publishers, Nairobi 2002.

Niko hapa JF sasa mwaka wa 11 nafundisha historia hii.

Kimeandikwa kitabu cha Nyerere (2020) nimeshirikishwa na nimenukuliwa sana ndani ya kitabu hicho.

 
Nyerere alijenga Taifa moja lisilo na ubaguzi au migawanyiko ya kikabila, kikanda au kidini sasa ni zamu yenu nyie watoto na wajukuu wake kujenga uchumi imara katika Taifa. Badala ya kujikita kufanya hili, huyu mzee wako kucha kutwa analalamika kuhusu wazee wake wa Kariakoo kufunikwa umaarufu na Nyerere na udini.
Nyerere aliyakuta hayo, ndiyo maana akapokewa na kukaribishwa kuishi na Waislam, yeye na familia yake.
 
Ukishakuwa fanatic wa kidini kuna watu pia huko kwenye systems za kidunia vichwa vyao ni fyatu kwenye hayo mambo, wanaweza kukuchanganya tu kama extremist hatari wa kidini.
Proved,
Mimi sikuwa najua.

Lakini kuna mambo nilikuwa nakutananayo nikiona usumbufu lakini nikijifariji kwa kulaumu mifumo yetu ya utendaji kazi.

Ilikuwa nikienda Western Union kuchukua fedha kutoka nje nilikuwa silipwi siku hiyo naambiwa nirejee siku ya pili.

Siku moja nilikuwa navuka mpaka Namanga nakwenda Nairobi.

Immigration Officer ananifahamu.

Baada ya kuiweka pasi yamgu katika computer akamwita mwenzake wakawa wanasoma screen kisha wote wakacheka.

Nikauliza kulikoni wakaniambia hakuna kitu.

Kumbe ni ile "red light."

Nilikuja kujua nina tatizo Schipol Airport, Amsterdam napanda Delta kwenda Detroit.

Nishapita Security Check zote niko katika que kupanda ndege mtu wa usalama akanitoa tukenda pembeni akaanza kunihoji.

Siku nyingine Berlin Airport natokea Cairo.

Bag langu halionekani.

Nikakata tamaa naondoka nasikia naitwa katika addressing system nifike Customs.

Bag limeonekana.

Kumbe wanalo wanalipekua kwanza.

Kisa kirefu.
Iko siku In Shaa Allah nitakieleza.

Ndiyo maana nilicheka peke yangu Kalamu aliposema alikuwa na mimi Northwestern University na kaniona na Wapakistani.

Wapakistani hawa hawana uhusiano wowote na chuo.

Uongo yeye hajui hatari yake.
 
Sina muda wa kupoteza na chizi wa aina yako.
Nakuachia hapa.
Kalamu,
Umerejea tena.

Sina muda wa kupoteza na chizi wa aina yako.
Nakuachia hapa.
Kalamu,
Umerejea tena.

Vitu ninavyoweka hapa si lazima usome.

Viti ninavyoweka hapa nimewakusudia wale wanaofuatilia mjadala huu wasome na watujue sote wawili kwa uzuri kabisa:

PROF. ALI MAZRUI MWALIMU WANGU WA MASAFA MAREFU
Leo alfajir nimeikuta video ya Mwalimu wangu wa masafa marefu Prof. Ali Mazrui.
Imenikumbusha mbali.

Nina umri wa miaka 15/16 namsoma Ali Mazrui katika Sunday Nation kutoka Kenya.
Siku moja napita Kanti Bookshop duka la vitabu karibu na shule yangu St. Joseph's Convent nikakiona kitabu chake, "On Heroes and Uhuru Worship."

Sikusita nikakinunua.
Nikimpenda Mazrui sana.

Katika umri ule nilikuwa namsoma Kwame Nkrumah, "Challenge of the Congo."
Namsoma Nkrumah anavyochambua matatizo na fitna ya kampuni kubwa ya Wabelgiji - Union Miniere kwa Patrice Lumumba.

Nikiangalia nyuma leo hata sielewi nini kilikuwa kinanisukuma kuchukua mkondo ule wa usomaji vitabu.

Juu ya haya siachi kusikiliza muziki wa Elvis Presley, Beatles, Wilson Picket kwa kuwataja wachache.

Hela zangu zilikuwa zinakwenda kwanza kwenye comics, ice cream, records na mwisho tiketi za cinema kuangalia movies Jumamosi mchana na Jumapili asubuhi saa nne Empire Cinema.

Mara yangu kumuona Prof. Mazrui ilikuwa miaka ya mwishoni 1960s Chuo Kikuu Cha Dar es Salaam sikumbuki ilikuwa kwenye sherehe gani na Julius Nyerere alikuwapo.
Nilikuwa nimefuatana na kaka yangu na rafiki yangu pia Shaabani Muhunzi maarufu kwa jina la Mkorofi yeye alikuwa mwanafunzi pale chuoni na nikimuusudu sana kwa hilo.

Shaaban alinitia hamu ya mimi kufika alipofika yeye.

Chumbani kwangu nilikuwa na ubao na ubao huu alinipa Abdallah Tambaza.
Hivi sasa Abdallah ni mwandishi nguli wa historia ya Dar es Salaam.

Shaaban akija chumbani kwangu mwisho wa juma akitokea Chuo Kikuu anakuta kwenye ubao juu kabisa nimeandika, "English Literature."

Chini yake patafuatia ''passages'' za William Shakespeare tena nikiziandika kutoka kichwani.

Yeye atafuta ataandika, "Literature in English," kunisahihisha bwana mdogo wake.
Akiondoka nitafuta na nitaandika kama nilivyoandika mwanzo.
Juma linalofuatia itakuwa mchezo ni ule ule.

Atanisahihisha mwanafunzi mkaidi na mwalimu wangu akiondoka nitafuta.

Sasa nimekuwa kijana wa kati Mazrui akatengeneza ile ''documentary'' maarufu sana, "Africans: A Triple Heritage."

Hapa ndiyo alinimaliza kabisa.

Nilikuwa na rafiki yangu kipenzi Said Baamumin tukikaa jirani yeye akifanyakazi UNDP.

Siku moja akaniambia angependa kunipeleka kwao Mtondia Mombasa nikamuone mama yake.

Said Bamumin akanifahamisha kuwa wao wamejenga na wana mashamba katika ardhi ya ukoo wa Mazrui.

Tulipofika Mtondia akanipeleka Takaungu kuona msikiti wa Mazrui ambao una umri kiasi ya miaka 400 na kisima cha asili kipo hapo na bado kinatoa maji.

Ardhi hii ya ukoo wa Mazrui ina historia ndefu katika historia ya Kenya na Mombasa.
Nilipoandika kitabu cha Abdul Sykes nilimpelekea nakala mwalimu wangu na niliandika ''Kwa Mwalimu wangu wa Masafa Marefu Prof. Ali Mazrui.''

Hivi ndivyo nilivyofahamiana na Prof. Mazrui na tukawa tunaandikiana.

Nakumbuka baada ya kupata kile kitabu Prof. aliniandikia kunishukuru na akaniambia, ''Nimefurahi jinsi ulivyowaandika Waswahili.''
Miaka ikaenda.

Harith Ghassany ndiye yeye aliyenijulisha tena kwa Prof. Mazrui kwa staili nyingine kabisa.

Nilikuwa nimealikwa mkutano Kampala na Prof. Mazrui alikuwa na yeye amealikwa pia.

Nilipomfahamisha Harith akanipa salamu nimfikishie Prof. Mazrui.
Harith alisomeshwa na Prof. Mazrui University of Michigan.

Sote tulikuwa tunakaa Hilton Hotel.

Nilikuwa nimesimama kwenye ''lobby'' ya hotel kwa mbali nikamuona Prof. Mazrui anakuja upande wangu.

Aliponikaribia nikapiga hatua nikamtolea salamu.

Akaniitikia na alipoona ile tabasamu yangu hakupita akaniuliza, ''Tunafahamiana?''
Nikamwambia pia nina salamu zake kutoka kwa Dr. Ghassany.

Nilikuwa nimemtajia Prof. Mazrui watu wake basi akaniambia tukae kitako tuzungumze.

Nilimstaajabisha sana nilipomwambia kuwa nimefika hadi kwao Takaungu na tulizungumza mengi na haukupita muda jamaa wengi wakaja pale tukakaa na Prof. Mazrui na kuzungumzanae.

Mazrui ni mtu asiye na makuu mwepesi wa kuingilika.
Alizungumza na sisi kama vile ni watu tunajuana miaka.

Siku anaondoka kurudi Marekani kanikuta pale ''reception,'' kaja ku-''check out,'' na mimi nina ''check out,'' tukaagana.

Nakumbuka ''typical Mazrui trend,'' alimwambia Manager on Duty pale Hilton, ''Tengenezeni hizi lift kwani zinagoma sana na ikija Mmarekani kanasa kwenye hizi lift zenu atawapelekeni mahakamani.''

Sijui kama wenzangu waliokuwa pale walielewa lakini kwangu mimi ujumbe ulikuwa umefika sawia.

Nikamkumbuka katika ''The Africans: A Triple Heritage,'' anaonekana anafungua bomba la maji katika hoteli moja ya Nyota Tano katika mji mmoja mkubwa Afrika bomba linakohoa halitoi maji.

Mimi kwa tahadhari ile Prof. akawa kanikumbusha hoteli moja Lagos ndiyo nimefika nataka kukoga, nimefungua bomba la maji kwanza bomba likakohoa kisha maji yakaanza kutoka lakini rangi yake ilikuwa ya udongo rangi ya kahawia.

128947353_851955588885154_8850432947121578944_n.jpg

129218847_851957128885000_2995618980404867812_n.jpg

Na Prof. Ali Mazrui
Nile Hilton Kampala 2003
129253231_851965788884134_828535121649428160_n.jpg
 
Ukishakuwa fanatic wa kidini kuna watu pia huko kwenye systems za kidunia vichwa vyao ni fyatu kwenye hayo mambo, wanaweza kukuchanganya tu kama extremist hatari wa kidini.
Yoda,
Hilo si tatizo kwangu.

Nadhani umesoma historia yangu na Wamarekani nikawekewa alama katika pasi yangu ya kusafiria.

Mwenyezi Mungu Mkubwa.
Nikaalikwa mkutano nchi moja ya Kiarabu.

Wakaniombea visa.

Wakaona kwenye pasi yangu kuna ile alama ya Wamarekani na hawa hawatoi pasi sharti kwanza wakupekue vyema.

Pakawa na mawasiliano ya ziada kuhusu mimi.

Jamaa wakawaeleza jamaa zao kuwa wao wananifahamu vyema na miaka ya nyuma nimeshaingia kwao na wakanitaja kuwa ni mwandishi wa vitabu kadhaa pamoja na kuwa mwandishi wa Dictionary of African Biography (DAB) mradi wa Harvard na Oxford Universty Press, New York.

Ile alama ikaondolewa na wao wenyewe US.

Wale walionajisi safina ndiyo hao hao wenyewe waliyoitoharisha safina.

System za dunia si fyatu.
Wewe unajisemea kwa kuwa huzijui.

Mimi nimepata uzoefu.
Zina watu wanazijua kazi zao.

Nilipofika mkutanoni jamaa akanifuata.

Akajitambulisha na kunipa ''good news.''

Haya ndiyo maajabu ya Allah.
 
Kalamu,
Umerejea tena.


Kalamu,
Umerejea tena.

Vitu ninavyoweka hapa si lazima usome.

Viti ninavyoweka hapa nimewakusudia wale wanaofuatilia mjadala huu wasome na watujue sote wawili kwa uzuri kabisa:

PROF. ALI MAZRUI MWALIMU WANGU WA MASAFA MAREFU
Leo alfajir nimeikuta video ya Mwalimu wangu wa masafa marefu Prof. Ali Mazrui.
Imenikumbusha mbali.

Nina umri wa miaka 15/16 namsoma Ali Mazrui katika Sunday Nation kutoka Kenya.
Siku moja napita Kanti Bookshop duka la vitabu karibu na shule yangu St. Joseph's Convent nikakiona kitabu chake, "On Heroes and Uhuru Worship."

Sikusita nikakinunua.
Nikimpenda Mazrui sana.

Katika umri ule nilikuwa namsoma Kwame Nkrumah, "Challenge of the Congo."
Namsoma Nkrumah anavyochambua matatizo na fitna ya kampuni kubwa ya Wabelgiji - Union Miniere kwa Patrice Lumumba.

Nikiangalia nyuma leo hata sielewi nini kilikuwa kinanisukuma kuchukua mkondo ule wa usomaji vitabu.

Juu ya haya siachi kusikiliza muziki wa Elvis Presley, Beatles, Wilson Picket kwa kuwataja wachache.

Hela zangu zilikuwa zinakwenda kwanza kwenye comics, ice cream, records na mwisho tiketi za cinema kuangalia movies Jumamosi mchana na Jumapili asubuhi saa nne Empire Cinema.

Mara yangu kumuona Prof. Mazrui ilikuwa miaka ya mwishoni 1960s Chuo Kikuu Cha Dar es Salaam sikumbuki ilikuwa kwenye sherehe gani na Julius Nyerere alikuwapo.
Nilikuwa nimefuatana na kaka yangu na rafiki yangu pia Shaabani Muhunzi maarufu kwa jina la Mkorofi yeye alikuwa mwanafunzi pale chuoni na nikimuusudu sana kwa hilo.

Shaaban alinitia hamu ya mimi kufika alipofika yeye.

Chumbani kwangu nilikuwa na ubao na ubao huu alinipa Abdallah Tambaza.
Hivi sasa Abdallah ni mwandishi nguli wa historia ya Dar es Salaam.

Shaaban akija chumbani kwangu mwisho wa juma akitokea Chuo Kikuu anakuta kwenye ubao juu kabisa nimeandika, "English Literature."

Chini yake patafuatia ''passages'' za William Shakespeare tena nikiziandika kutoka kichwani.

Yeye atafuta ataandika, "Literature in English," kunisahihisha bwana mdogo wake.
Akiondoka nitafuta na nitaandika kama nilivyoandika mwanzo.
Juma linalofuatia itakuwa mchezo ni ule ule.

Atanisahihisha mwanafunzi mkaidi na mwalimu wangu akiondoka nitafuta.

Sasa nimekuwa kijana wa kati Mazrui akatengeneza ile ''documentary'' maarufu sana, "Africans: A Triple Heritage."

Hapa ndiyo alinimaliza kabisa.

Nilikuwa na rafiki yangu kipenzi Said Baamumin tukikaa jirani yeye akifanyakazi UNDP.

Siku moja akaniambia angependa kunipeleka kwao Mtondia Mombasa nikamuone mama yake.

Said Bamumin akanifahamisha kuwa wao wamejenga na wana mashamba katika ardhi ya ukoo wa Mazrui.

Tulipofika Mtondia akanipeleka Takaungu kuona msikiti wa Mazrui ambao una umri kiasi ya miaka 400 na kisima cha asili kipo hapo na bado kinatoa maji.

Ardhi hii ya ukoo wa Mazrui ina historia ndefu katika historia ya Kenya na Mombasa.
Nilipoandika kitabu cha Abdul Sykes nilimpelekea nakala mwalimu wangu na niliandika ''Kwa Mwalimu wangu wa Masafa Marefu Prof. Ali Mazrui.''

Hivi ndivyo nilivyofahamiana na Prof. Mazrui na tukawa tunaandikiana.

Nakumbuka baada ya kupata kile kitabu Prof. aliniandikia kunishukuru na akaniambia, ''Nimefurahi jinsi ulivyowaandika Waswahili.''
Miaka ikaenda.

Harith Ghassany ndiye yeye aliyenijulisha tena kwa Prof. Mazrui kwa staili nyingine kabisa.

Nilikuwa nimealikwa mkutano Kampala na Prof. Mazrui alikuwa na yeye amealikwa pia.

Nilipomfahamisha Harith akanipa salamu nimfikishie Prof. Mazrui.
Harith alisomeshwa na Prof. Mazrui University of Michigan.

Sote tulikuwa tunakaa Hilton Hotel.

Nilikuwa nimesimama kwenye ''lobby'' ya hotel kwa mbali nikamuona Prof. Mazrui anakuja upande wangu.

Aliponikaribia nikapiga hatua nikamtolea salamu.

Akaniitikia na alipoona ile tabasamu yangu hakupita akaniuliza, ''Tunafahamiana?''
Nikamwambia pia nina salamu zake kutoka kwa Dr. Ghassany.

Nilikuwa nimemtajia Prof. Mazrui watu wake basi akaniambia tukae kitako tuzungumze.

Nilimstaajabisha sana nilipomwambia kuwa nimefika hadi kwao Takaungu na tulizungumza mengi na haukupita muda jamaa wengi wakaja pale tukakaa na Prof. Mazrui na kuzungumzanae.

Mazrui ni mtu asiye na makuu mwepesi wa kuingilika.
Alizungumza na sisi kama vile ni watu tunajuana miaka.

Siku anaondoka kurudi Marekani kanikuta pale ''reception,'' kaja ku-''check out,'' na mimi nina ''check out,'' tukaagana.

Nakumbuka ''typical Mazrui trend,'' alimwambia Manager on Duty pale Hilton, ''Tengenezeni hizi lift kwani zinagoma sana na ikija Mmarekani kanasa kwenye hizi lift zenu atawapelekeni mahakamani.''

Sijui kama wenzangu waliokuwa pale walielewa lakini kwangu mimi ujumbe ulikuwa umefika sawia.

Nikamkumbuka katika ''The Africans: A Triple Heritage,'' anaonekana anafungua bomba la maji katika hoteli moja ya Nyota Tano katika mji mmoja mkubwa Afrika bomba linakohoa halitoi maji.

Mimi kwa tahadhari ile Prof. akawa kanikumbusha hoteli moja Lagos ndiyo nimefika nataka kukoga, nimefungua bomba la maji kwanza bomba likakohoa kisha maji yakaanza kutoka lakini rangi yake ilikuwa ya udongo rangi ya kahawia.
Twende tu sawasawa, hizi ni takataka unazopotezea muda wako kuzibandika hapa.
 
Mama...
Pole ya nini?

Mimi nakushukuru wewe kwa kunipa fursa ya kujieleza hapa kwani bila comment hii yako nisingefikiri kueleza hayo hapo chini.

Kwanza hapana udini katika kalamu yangu.

Nisingeweza kuwa ndani ya miradi ya Oxford University Press, Nairobi na New York ningekuwa mdini.

Nisingealikwa vyuoni, Afrika, Ulaya na Marekani kama ningekuwa nahubiri Uislam.

Hii habari ya dini mnayo nyie tu.
Kote duniani naalikwa kama mtaalamu wa historia ya Tanzania.

Hakika taarifa zangu zilifika juu kabisa toka niko mwanafunzi Chuo Kikuu.

Siku moja mwalimu wangu mmoja aliniita ofisini kwake akaniambia siogopi kusema kuwa historia ya TANU imekosewa?

Huyu mwalimu akinipenda na akifurahishwa sana na ''essays'' zangu kuhusu historia ya TANU na jinsi nilivyokuwa naeleza mchango wa Waislam katika historia hii.

Huyu mwalimu wala hakuwa Muislam.

Unaniambia nibadilike.
Nibadilike niwe nani au nini?

Kuwa mimi nikane kuwa babu yangu Salum Abdallah hakupigania uhuru wa Tanganyika au hakuwa mwanachama wa African Association toka 1929 na Al JamiatulIslamiyyafiTanganyika 1933?

Kuwa babu yangu Salum Abdallah hakuwa mwasisi wa TANU na TRAU Tabora na nikane yote yale aliyofanya.

Yaani ni dhambi kuandika historia yake kuwa aliongoza migomo mitatu 1947, 1949 na 1960?

Yaani unataka mimi niwakane wazee wangu kisa sitakiwi kuonyesha mchango wa Waislam katika historia ya uhuru wa Tanganyika?

Ati unanipa pole.

Wape pole wale ambao hawakujaliwa kuwa na cha kujivunia katika historia ya kupigania uhuru wa Tanganyika.

Historia hii hakuna tena wa kuifuta.
Hivi na jamii nyingine kama Wachaga nao wakianza kudai "wazee wao" kama Thomas Marealle waenziwe sawa na Nyerere kupigania uhuru utakubali?
 
Kuna conmen wanatoka hadi vyuo bora kabisa duniani kama Havard, kwa sasa wako hadi katika mabunge yote mawili ya Marekani.
Kalamu,
"Con" anahadhiri vyuo vikuu anatiwa kwenye miradi ya Harvard na Oxford University Press ya kuandika vitabu vya historia.

Itabidi nitoe darsa kwa faida ya wasomaji:

COUNT VICTOR LUSTIG JIZI BINGWA

Dunia haijapata kushuhudia mwizi kumshinda Count Victor Lustig.

Nimesoma kitabu chake miaka 50 iliyopita lakini hadi leo jina lake sijalisahau wala kitabu kilichaoandikwa kuhusu yeye, ''The Man Who Sold The Eiffel Tower.''

Hili jizi liliuza Eiffel Tower si mara moja bali mara mbili.

Kila nikifika Paris lazima nikautazame huu mnara marufu duniani ambao ndiyo umekuwa alama ya Paris na kununua kijimnara kidogo kupamba nyumbani kwangu.

Lazima mtu utashangaa vipi jizi hili liliweza kuuza mnara ule si mara moja bali mbili na kuchukua fedha?

Nini ilikuwa siri yake?
Siri yake ilikuwa akili yake.

Hata wizi unahitaji matumizi ya akili na mipango mizuri ya kuiba.

Ukiacha huu wizi wa kuuza huu mnara wa Paris, Count Victor Lustig kawaibia watu wenye akili na nguvu duniani kama Fidel Castro wa Cuba na Papa Doc wa Haiti.

Ingawa Castro hakuwa mtu wa kumfanyia maskhara na ukapona jinsi alivyokuwa na watu ambao kama atamnyooshea mtu kidole watu wake wa usalama wanaweza kukusaka hadi wakakutia mkononi uko hai au maiti lakini hakumpata Count Victor Lustig baada ya kumuingiza mjini.

Count Victor Lustig aliingia Havana Cuba kwa ndege binafsi akitokea Florida na alikuwa na miadi na Castro.

Hakuwa na maneno mengi alimuomba avute pazia za ofisi yake pawe kiza akaweka ''projector'' na ''screen'' akamuonyesha filamu anayotaka kutengeneza ya Castro yuko Sierra Maestra na Che Guevara wanapambana na Batista.

Filamu ilikuwa fupi ya kiasi cha dakika kumi hivi.

Akamwambia Castro kuwa yeye ni mtengenezaji filamu na amekusudia kutengeneza filamu ya maisha yake akiwa Sierra Maestra na Che Guevara wanapambana na Batista.

Castro alikipenda kile alichokiona na mikataba ikawekwa saini.

Count Victor Lustig akaondoka Havana na mkoba umejaa dola mpya za mia, mia zilizofungwa vyema.

Count Victor Lustig hakuonekana tena Havana.

Castro na wasaidizi wakajua kuwa wameliwa.

Papa Doc wa Haiti aliyekuwa anatawala watu wake kwa uchawi na vitisho vya Ton Ton Macoute.

Papa Doc alimuuzia magari ya kifahari aina ya Cadillac lakini yote yalikuwa yameibiwa Marekani akayavusha kwa njia za panya hadi Haiti.

Papa Doc alipotambua kuwa yale magari yote yalikuwa yameibiwa Count Victor alikuwa kesharejea Marekani siku nyingi.

Mazombie yaani wale Ton Ton Macoute wala uchawi wake uliokuwa unaogopwa na wananchi wake haukuweza kumdhuru Count Victor Lustig.

Maofisa wa serikali yake walishangaa vipi ule uchawi wake na ''vodoo'' na Ton Ton Macoute wake hawakuweza kufua dafu mbele ya akili ya Count Victor Lustig.

Wizi wowote ule ili ufanikiwe unahitaji mipango na matumizi ya akili.

Bila matumizi ya akili na mipango mwizi atakuwa anakamatwa kila siku.

122749214_823335205080526_1886023212457572894_n.jpg

Eiffel Tower hiyo nyuma yangu​
 
Pengine wewe ndio una chuki? Mpaka Jamiiforums wamempa Tuzo ya Heshima, Melo mwenyewe anatambua mchango wake,

Msome Prof James L Giblin

Ana Tuzo 17 mbalimbali level za Chuo hadi Nchi, Vitabu na Journal za Kutosha, Speciality yake ni History ya Tanzania na East Africa, Huwezi kuwa Recorgized na Mtu kama huyu kwa kuwa na Chuki tu na udini,

Kuna wacheza por**n nao hupewa tuzo,kwahiyo tuzo sio kitu cha kushangaza sana.
 
Siyo "kujari" ni kujali.

Amani ni jadi yetu Waislam, hata neno Uislam linaashiria salama na amani (peace).

Unataka kulinganisha pwani na kwa wakurya? Usitake kuchekesha watu.

.

Ajuza asante kwa kunirekebisha,amani haisemi kwa maneno bali kwa vitendo.
 
Back
Top Bottom