jiwe angavu
JF-Expert Member
- Aug 28, 2015
- 20,419
- 39,217
"Usinipuuze"! Ahaaaaa!
Haya unayoyaeleza hapa kuhusu "kujenga umoja wa kitaifa", ndilo wasilotaka kabisa kulisikia kundi hili la huyo mzee wa kidini.
Kulalamika kote kuhusu kutengwa wazee wao, kamwe hawawezi kukupaq sababu za Mwalimu kufanya hivyo, na kamwe asingefanya hivyo.
Hawawezi kukueleza hao wazee walikuwa na mwelekeo gani kidini na wenzao kutoka Mombasa. Haya kamwe hawawezi kuyaeleza.
Kundi hili ndio hawakubaliani na Bakwata, na hili ndilo chimbuko la kumlalamikia Mwalimu kuhusu dini ya kiislam.
Ingekuwa ni kufuata waliyotaka hao wazee, nchi hii wakati huu ingekuwa ni ya vurugu tupu.
Huyo mzee mudi anaumia sana moyo wake kuiona hii nchi inastawi kwa umoja na amani kwa kila raia bila kujari utikadi na imani yake,yeye alitaka nchi zima wavae kobazi,balaghashia na kanzu.
Huyu mzee ni wa kumuonea huruma mana ni fanatic na lunatic. Chuki aliyonayo itamfuata hadi kaburini.