Ni kwanini Akili yangu inazitafsiri hivi Tawala ( Awamu ) zote za Uongozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania?

Kinachonifurahisha ni ndugu zangu upande wa pili wa dini, wanapofanya uchanganuzi na uchambuzi wa Marais waliongoza TZ, lazime waathiriwe na mtazamo wa dini. Na hapo ndipo kunapokosekana rationality na credibility.

Anyway nahisi maisha magumu kwa wananchi, kuvunja na kutofuata sheria kwa kisingizio Cha utawala na Mamlaka ni kigezo Cha kuwa Rais bora
 
Hilo lina asili ya upunga linapenda sana kujipendekeza kwa baadhi ya watu kama kagame mara linajiita mtusi mara mzanaki,yaani kwa ujumla ni jinga tu.
Halafu bado 24/7 unamsoma tu hapa JF.
 
Unachoongea ni opinion Sio fuct
 
Ahaaa miaka hiyo tunaenda kuangalia Tv kwa akina Tony acha uongo
Akina Tony walikuwa wanaishi Bongoyo Street jirani na walipokuwa wanaogeshea Mbwa jirani kabisa na Shule yangu ya Oysterbsy Primary na Mimi nikiwa Chole Road jirani na Shule ya IST sasa hapo wapi na wapi Mkuu?
 
Akina Tony walikuwa wanaishi Bongoyo Street jirani na walipokuwa wanaogeshea Mbwa jirani kabisa na Shule yangu ya Oysterbsy Primary na Mimi nikiwa Chole Road jirani na Shule ya IST sasa hapo wapi na wapi Mkuu?
Chole hapo tunajigongea tu watoto wa muhimbili
 
Mtahangaika sana na Kuteseka mno Kwangu Mimi GENTAMYCINE Marais wangu Bora na ambao pia wana Akili Kubwa na Nyingi kama za Wayahudi ( Israel ) na Watutsi ( Rwanda ) ni Mahayati Baba wa Taifa Babu yangu Mwenyewe Mwalimu Nyerere, Mzee Mkapa na Dkt. Magufuli na waliobaki ( ukiondoa tu Rais Samia Suluhu Hassan ) mpaka leo sijui kipi cha maana walichofanya kwa Tanzania yetu hii.
 
Ukweli ndio huo, ni mchumi tu au mtu mwenye awareness ya uchumi ndie atakuelewa, wengine bullshit!!
 
Huu uzi bila Takwimu ni Ujinga tu kama alivo mleta uzo
 
Usipowasifia akina Nyerere, Mkapa na Dkt. Magufuli huu Uchambuzi wako nitaudharau na kuutia Kapuni kwani hawa ndiyo Marais Bora.

Na nikiona pia unamsifia Kikwete ( ambaye Kwangu Mimi ndiyo Rais mbovu ) kuwahi kutokea nchini Tanzania nitakupuuza kunakotukuka.
 
Nikinangwa na Kuchambuliwa na ' authentic Morons ' kama Wewe pamoja na Wenzako wengi hapa Jamvini wala sijali lolote sana sana naendelea tu Kuwadharau.
 
Awamu ya Tano ilikuwa Bora Kiuongozi
 
Uchambuzi uko vizuri mkuu, sema wengi wanaupitia wakiwa na mihemko.

Wanaishia kututajia maharamia waliojivika sura za utakatifu waliotekwa na wale wanaharakati uchwara waliokuwa wanatumiwa waliopata stahiki zao.
Nafurahi kueleweka na ' Geniuses ' wachache sana kama Wewe hapa Jamvini JamiiForums Mkuu. Heko!!
 
Awamu ya tano ilikuwa ni ya kiongozi dhalimu na muovu. Ilikuwa ni chini ya kiongozi mwenye mitazamo ya kijima. Kwa ujumla alipaswa kuwa kiongozi wa karne mbili nyuma, zilizokuwa zikitumia mabavu kuliko akili.
Kwangu Mimi ndiyo ilikuwa Awamu bora baada ya Tatu ya Mkapa na ya Kwanza ya Nyerere.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…