Ni kwanini Akili yangu inazitafsiri hivi Tawala ( Awamu ) zote za Uongozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania?

Hv bdo wajane wa mwendazake mnarusharusha miguu???ukwl umeshadhihiri
Rusha mabomu leta defenda ila legacy ya magufuli haitopotea kwenye vichwa vya watanzania mfano mzurii nakuomba kasome comment za watanzania wakiskiaTamzania imepata mkopo mahali then njoo unipe jibu
 
Hakuna awamu ya sita. Kuna Rais wa Sita.
 
Nashangaa sana tunaona aibu kusema huyu ni Rais wa sita tu anayeongoza awamu ya 5. Watu wanataka kupoteza maana ya awamu ya 5 ili watusahaulishe JPM.
 

Kuuona huu ukweli kunahitaji uwezo mkubwa wa kuweka maslahi binafsi pembeni na wa kuona beyond today. Most people will learn it the hard way, sooner or later!
 
Nashangaa sana tunaona aibu kusema huyu ni Rais wa sita tu anayeongoza awamu ya 5. Watu wanataka kupoteza maana ya awamu ya 5 ili watusahaulishe JPM.

Mimi naona acha tu ikae hivyo hivyo inavyowekwa. It’s meaningless kuchanganya time-tested strong leadership ya JPM na hii experimental leadership!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…