Kiashiria rahisi kuliko zote
Mwinyi alipaiza inflation rate hadi 56% mwaka 1994
Mkapa akaishusha hadi 20% awamu yake ya kwanza ya mwaka 2004 na baadaye aliporudi akaishusha hadi below 4% mwaka 2009
Kikwete alipokuja ilipanda karibia na 40% mwaka 2014
Magufuli akaishusha hadi arround 4% mwaka 2021
Inflation rate ndio kiashiria pekee ambayo inaonyesha faida au madhara ya uchumi kwa watu wa kawiada kwa sababu inaadhiri bei za vitu na vyakula kwa matumizi ya kila siku
Kwenye miundo mbinu Mkapa ndie aliyeasisi ujenzi wa miundo mbinu nchini na kuweka mifumo dhabiti ya kukusanya kodi na kubana matumizi ili pesa nyingi ziende kwenye usalishaji na huduma za jamii
Kitu ambacho Mwinyi alishindwa kabisa kukusanya kodi na pia Kikwete
Magu alikuja kurudisha huo utamaduni wa kukusanya kodi na kubana matumizi ya serikali ili pesa ziende zaidi kwenye kujenga uchumi kitu ambacho mwinyi na kikwete walishindwa kabisa
Mfano mmoja, kulikuwa na mkutano wa marasi nchini Martekani ezni ya Mwinyi kwa ajili ya kujadili naman ya kupunguza matumizi ya nishati yenye kuongeza hewa ya ukaa kwenye ozone layer
Wawakilishi wa nchi mbalimbali duniani matajiri ikiwemo Marekani yenyewe walikaa kwenye hoteli za kawaid na kwenda na wawakilishi wachache ila mzee wetu mwinyi kwanza alizoa watu wengi kwenye deligation na walilala kwenye hoteli za kifahari mpaka wamerekani wenyewe wakashikwa na butwaa
Tunajua kabisa Kikwete kafanya nini kwenye safari za nje na matumizi ya serikali ambayo ni makubwa kiasi cha kushindwa kutekeleza miradi mikubwa na huduma za jamii kama afya, maji nk. Ukusanyaji wa kodi hafifu na rushwa na matumizi mabaya ya rasilimali za umma.
Naomba Mungu hii isijirudie tena kwenye hii awamu na zitakazokuja baadaye maana tutarudi kwenye poor country na kusahau uchumi wa kati tulioingia tu majuzi
Tuache siasa Tanzania tunahitaji marais ambao ni strong kama Mkapa na Magu, hata Nyerere hakuwa Strong kama Mkapa na hasa Magu
Magu katuumiza wengi kwa maamuzi yake, hata mimi nimeumizwa sana sehemu fulani na maamuzi yake lakini UKWELI utabaki kuwa UKWELI
We need a strong president like Magu