Kinacho takiwa duniani ni makaratasi mekundu tu yenye thamani,ndio maana bungeni kuna msukuma darasa la saba lakini anamiliki hayo makaratasi kuliko tulia ambae ni sipika msomi mwanasheriaHawana lolote.
sasa mwarabu koko wa tanga,o tabora unataka kumfananisha na saudia,ndo maana wanawabagua mpaka kwenye misikiti yao.Unathibitisha na kujivunia Ubaguzi wako.
Kwa waarabu hakuna ukoko wala Matandu, ndio maana nikasema kwenye Comment nyengine mwarabu ni mwarabu, ndio race pekee ambayo utakuta watu weupe na blonde hair na green/blue eyes wanaitwa waarabu, halafu ukakuta mwengine mweusi na macho meusi na kipilipili naye pia mwarabu. Wapalestina ni Waarabu na wasudan pia waarabu.
Yahudi ni kizazi cha iburahinu pamoja na waarabu,yahudi mungu kawapa akili nyingi lakini waarabu wakapewa jangwa lenye mafuta na gesi ya kutisha,je sisi ngozi nyeusi tunao wabeza waarabu tunamiliki nini kama sio roho mbaya tu,mzungu anatumikishwa na muarabu lakini mzungu hawezi mtumikisha muarabu labda kwa sasa baada ya machafuko ya vitaKabisa.
Kwanza Hadi tuzo za Nobel za kiteknolojia hata ukitumia microscope unaweza usiwaone.
Wayahudi ndo magenius wa dunia hii , ukizaa na Myahudi aisee mtoto wako lazima awe kipanga, mfano Obama na ndugu zake wa kambo.
Waarabu mi hawanitishi kwa chochote.
Kwanini watu weusi upenda kusema wanabaguliwa?nini sababuGermany umemsingizia. Hakuna hizo mambo kabisa.
Sio langi ni rangiAcha kujificha kwenye uafrika maneno yako Tu yanaoneshe wewe ni langi gani
Mwarabu elimu finyu mbona mnakasirika kusema kweli?Wewe unachuki ya inayo sukumwa na umasikini tu ukweli ulivio kazi ya elimu ni kuelimika tu kama waarabu waliweza kutoka huko waliko toka waka hapa tz wakawakuta bubu zetu hawajui hata nguo nini utasemaje hawana elimu wewe mwenye elimu lini ulienda kwao kuwatawala
Leo hapa tz ndio walipa kodi wewe na elimu yako inakusudia nini kama huna hata kazi ya kufanya kazi kuwa sifia wazungu nimsifie mwenyewe nyiyi ndio mnao sema wafugaji wanao miliki makundi ya mifugo ya thamani ya mamilioni hawa elimu hali yakuwa wewe hata kuku huna alie kuzidi kakuzidi tu wewe ni fukara tu ndio sifa yako ushahidi chuki ulionayo
Sikulazimishi ukubali ila huo ndio ukweli na hata wapemba ni ivoivo mtoto wa baba mkunbwa na mdogo kuoana ninkawaidaHizi ni myth zenu Mnazodanganyana. Tofauti ya Mweusi, Mwarabu, mchina, Mzungu ni rangi tu. Mbona mke wangu hajawahi kuwa wa baridi toka nimemuoa?
Ana nini zaidi ya kupenda biryani kuku iliyochanganywa na grapes kavu? kawaida.Utaweza kuoa na kumlea binti wa kiarabu wewe
Ova
Bila elimu hamna kitu, ndio maana Saudia tech na silaha wananunua Israel na US, na pesa zao lakini Jews wanawamudu. Elimu.Kinacho takiwa duniani ni makaratasi mekundu tu yenye thamani,ndio maana bungeni kuna msukuma darasa la saba lakini anamiliki hayo makaratasi kuliko tulia ambae ni sipika msomi mwanasheria
Wewe hapo ulipo waarabu unawazidi nini?unacho wazidi ni kuwasifia wazungu tu hiyo sababu ya ufukaraSi unaona hata match ya Yanga juzi hapa ni fujo, kupiga baruti uwanjani, kurusha mipira na kupuliza moshi, hio ni dalili ya kukosa akili halafu wanajifanya special, ndio maana mzungu anawapiga sana Middle East akili zikae sawa[emoji1787]
Yaani sisi watu weusi tuna vituko yaani hatujitambui sababu nini haswa?Ajabu hata hiyo Yanga unayoitaja inafadhiliwa ma mwaarabu baada ya ngozi nyeusi kushindwa kuiendesha.Hata Rais ni msomali anawatukana mnachekelea. Si mlimbeba kwenye machela kama watumwa halafu mkibaguliwa mnalia.Toeni boriti kwenye macho yenu kabla ya kuona kibanzi kwenye macho ya wengine.You get what you deserve.
Kwani msifadhiri nyiyi ngozi nyeusi?si mnasema waarabu hawa elimuAnaweka pesa apate faida, hafadhili bure.
Tabia ya wazenji kujikuta waarabu na Bado wanakataliwa😃Kwa wazungu ndoa za waafrika na wazungu zipo nyingi tu, ni kawaida.
Shida inakuja kwa waarabu, yani hata uwe muislam uliekariri aya nyingi za korani na sauti nzuri ya kuzinukuu hawawezi kukupa binti yao labda kama utaweza kutumika kimaslahi aidha uwe na cheo kikubwa serikalini ama uwe na pesa nyingi sana.
Na hapa navomaanisha waafrika ni hadi wazanzibari ambao hufanana na wasomali, hali ni hivyo hivyo tu, japo wao hupenda kujiweka kundi moja na waarabu ila waarabu huwaona ni zao la watumwa
Kwa akili hizi lazima kila siku tulie kubaguliwa tu yaani hatujitambui kabisa,unataka umuoe muarabu hili hiweje?upate nini,nenda kamuoe halima mdee mweusi mwenzio niko hapa nasubiri kuona harusi hiyo uone utakavio anbulia za usoWatu weusi wa dini ya waarabu wanapenda na kufurahi sana kuwa watumwa wa waarabu, vyoyote itakavyokuwa
Kwenye mistari ya mwisho nakusahihisha, mzungu hajawahi tumikishwa na muarabu, muarabu ndo anatumikishwa indirectly na wazungu.Yahudi ni kizazi cha iburahinu pamoja na waarabu,yahudi mungu kawapa akili nyingi lakini waarabu wakapewa jangwa lenye mafuta na gesi ya kutisha,je sisi ngozi nyeusi tunao wabeza waarabu tunamiliki nini kama sio roho mbaya tu,mzungu anatumikishwa na muarabu lakini mzungu hawezi mtumikisha muarabu labda kwa sasa baada ya machafuko ya vita
mwarabu atakachokileta hapa ni kubong'onyoa tigo za wadada na vijana wetu tu. I tell you. waulize wazenji, mombasa na Lamu.. kule wanaume wamezidi kupungua.Wakija kuendesha bandari mlizo wauzia utawauliza wakujibu wenyewe.
Hakikisha una saini petition hii kupinga uporaji wa bandari zetu.
Tulia we mwarabu koko..Wewe hapo ulipo waarabu unawazidi nini?unacho wazidi ni kuwasifia wazungu tu hiyo sababu ya ufukara
We mwarabu tulia, nimemjibu mwenzako tayari.Kwani msifadhiri nyiyi ngozi nyeusi?si mnasema waarabu hawa elimu
Elimu kwako ni Tech tu? kuna Scientist wa kiarabu wamegundua vitu kibao hadi hapo Saudi wamejaa kibao.Bila elimu hamna kitu, ndio maana Saudia tech na silaha wananunua Israel na US, na pesa zao lakini Jews wanawamudu. Elimu.