Ni kwanini bado Waarabu wanatubagua, hata Mwafrika anapokuwa Muislam wanamkatalia kumuoa binti yao?

Ni kwanini bado Waarabu wanatubagua, hata Mwafrika anapokuwa Muislam wanamkatalia kumuoa binti yao?

mwafrica anajua kushabikia ngono muziki na mpira halafu unataka uoe mwarabu shwain kwanza nenda kajifunze ustaarabu wa kushi sio kukojoa kwenye chupa na kutupa barabarani
 
IMG_1008.jpg
 
  • Kicheko
Reactions: Tui
haya ndio maisha ya mwafrica[emoji115]mwarabu hana upuuzi huo
 
Umenikumbusha story moja ya zanzibar! Nadhani huko uarabuni ni mbali sana! Ubaguzi unaanzia hapa hapa kwetu Tanzania, kipindi nipo Zanzibar, kuna nilikuwa na rafiki yangu mmoja ambaye tulisoma nae kuanzia shule ya msingi mpaka sekondari Ordinary level pamoja na shule moja! Tulikuja kuachana Advance level (five &six).

Kisha yeye akaenda kusomea uhasibu pale TIA, Mimi nikaingia kwenye kada nyingine! Wanasema milima haikutani Bali wanadamu hukutana, Sasa kwenye harakati za maisha baada ya kutengana kwa muda mrefu, tukaja kukutana Zanzibar!

Yeye akiwa mwanajeshi (jwtz), Mimi nikiwa kwenye kada nyingine (jina kapuni).Tulifurahi sana na kuongea mambo mengi ikiwa pamoja na kukumbushana mambo yaliyopita! Sasa to cut the story, jamaa alikuwa amempenda binti mmoja wa kipemba mwenye asili ya kiarabu yaani wale halfcast, alikuwa mpemba, akaniambia ana Mpango wa kumuoa lakini tatizo kwao binti hawataki mtu wa bara! Wanataka aolewe na mpemba mwenzake!

Sasa baada ya kupambana sana jamaa akaona isiwe tatizo , akakodisha (aliwaomba) watu wazima fulani yaani wazee akawapanga wawe kama wazazi wake, waseme wao ni wazazi wake na wanaasili ya zanzibar (pemba). Baada ya kuwalipa vizuri kweli walikwenda nao ukweni pemba na jamaa akakubaliwa kuoa huyo binti wao chotara!

Sasa Mambo yalitibuka siku ya harusi (ndoa) siku ya kwenda kumchukua mke kwao, sijui wakina nani waliwatonya wazee wa binti kwamba jamaa (mume) ni mtu wa bara Wala sio mzanzibar mpemba kama alivyowaambia, jamaa alikuwa mtu wa bara , Mnyamwezi wa Tabora! Mweusi tii kuliko hata Mimi! (Usicheke). Japo jamaa alikuwa muislam kamili tangu wazazi na mababu, na mtanzania halisi, lakini wazazi wale wa binti walivunja shughuli yote na kumtimua jamaa! Hivyo alikosa mke na maji ya moto! Sherehe yote ikawa Imeishia hapo licha ya gharama zote za harusi aliyoingia. Tatizo tu hakuwa mpemba Wala mzanzibar Bali alikuwa Mnyamwezi wa Tabora!

Nikaamini kweli racism never end!
wapemba ni wabaguzi sana wanajiona kama waarabu.
 
Unakumbuka Richa Adhia alivyokuwa Miss Tanzania alivyokua anabaguliwa waziwazi? Watu kibao walikua wanambagua Nchi ya weusi hatuwezi wakilishwa na mweupe. Ubaguzi upo wa kutosha Hapa kwetu, sababu wewe sio Mwarabu huwezi jua,

Mimi wakati mdogo naenda shule kawaida sana kukuta watu Mtaani wanakuimbia huu wimbo "mwarabu koko sukuma gari twende"
waarabu koko mna shida sana.
 
Kama Wenye pesa weusi wanaoa waarabu na masikini hawaoi waarabu huo unakua sio ubaguzi wa rangi, unaitwa ubaguzi wa pesa,

Viongozi wengi Nchi hii kuanzia kina Karume (Kabla ya Mapinduzi), Mwinyi, wabunge wa kutosha wana wake waarabu, sehemu Zote zenye waarabu wengi Nchi hii Tanga, Tabora kuna Intermarriage za Kutosha tu. Kila siku humu Jukwaani Nyuzi kama hizi zikija Watu wa Tanga na Tabora wakiwaambia mnabisha, na nyie mnaobisha hamna Experience yoyote ya kuishi na waarabu mnabisha for the sake of Kubisha.
na hao sio waarabu per se.Hao ni waarabu koko
 
Kwa wazungu ndoa za waafrika na wazungu zipo nyingi tu, ni kawaida.

Shida inakuja kwa waarabu, yani hata uwe muislam uliekariri aya nyingi za korani na sauti nzuri ya kuzinukuu hawawezi kukupa binti yao labda kama utaweza kutumika kimaslahi aidha uwe na cheo kikubwa serikalini ama uwe na pesa nyingi sana.

Na hapa navomaanisha waafrika ni hadi wazanzibari ambao hufanana na wasomali, hali ni hivyo hivyo tu, japo wao hupenda kujiweka kundi moja na waarabu ila waarabu huwaona ni zao la watumwa
Km hupend kubaguliwa achana na pisi zao,komaa na wabantu wenzako
 
na hao sio waarabu per se.Hao ni waarabu koko
Unathibitisha na kujivunia Ubaguzi wako.

Kwa waarabu hakuna ukoko wala Matandu, ndio maana nikasema kwenye Comment nyengine mwarabu ni mwarabu, ndio race pekee ambayo utakuta watu weupe na blonde hair na green/blue eyes wanaitwa waarabu, halafu ukakuta mwengine mweusi na macho meusi na kipilipili naye pia mwarabu. Wapalestina ni Waarabu na wasudan pia waarabu.
 
  • Nzuri
Reactions: Tui
Unadhihirisha ujinga wako.Kwa hiyo Tanesco wanapokuuzia umeme wanakusaidia?Taja mfadhili wacha kuzungukazunguka.Au uwezo wako wa kufikiri ndio umefikia hapo?
Umesema msaada wowote toka Tanganyika kwenda Zanzibar, mbona unakataa manen o yako? Unajua katika huo ujenzi wa hio miundombinu Tanganyika waliisaidia Zanzibar kiasi gani? Licha ya kuwa umeme ni wenu lakini mlisaidiwa fungu, hapo Pemba mlisaidiwa 4 million USD na Tanganyika unataka kubisha, Zanzibar wakatoa 8 million USD, Norway wakatoa nakumbuka kama zaidi ya 40 million USD, mnataka nini zaidi msaidiwe?
 
Tanganyika ndio Nchi gani?Wanatoa msaada?Unachekesha!Umeme unalipiwa kama sehemu zingine zote za Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Hakuna sehemu wanapewa msaada.Sijui wewe unaishi kwenye Utopia .Tulikuwa tunajadili wafadhili wa mpira umejivika kigagulo cha msaada wa Tanesco.Zanzibar wana shirika lake la umeme na kununua umeme sio jambo la ajabu.
 
Tanganyika ndio Nchi gani?Wanatoa msaada?Unachekesha!Umeme unalipiwa kama sehemu zingine zote za Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Hakuna sehemu wanapewa msaada.Sijui wewe unaishi kwenye Utopia .Tulikuwa tunajadili wafadhili wa mpira umejivika kigagulo cha msaada wa Tanesco.Zanzibar wana shirika lake la umeme na kununua umeme sio jambo la ajabu.
Umesema msaada wowote rudia comment usikimbie, kama mnalipia ujenzi wa hio miundo mbinu hamjapewa msaada?
 
Hivi unajua tafsiri ya msaada?Tuanzie hapo au shule ndio tatizo?Yaani umekuwa donor country unatoa misaada ya maendeleo?Give me a break.Budget tunasaidiwa utoe msaada?
 
Kumbe hujui maana ya elimu ni nini? Sasa wewe mwenyewe PhD una mabasi mangapi?
Kujua kusoma na kuandika si elimu pekee, elimu ni pana, arabs wana ufinyu wa elimu, kubagua mtu kisa rangi au kumtesa na kuua ni ukosefu wa elimu pia, kama unazungumzia elimu ya mabasi na biashara wanavyo.
 
Issue ilianzia kwa Muhammad kusema kila kitu cheusi kinawakilisha shetani

Alibaka watumwa waafrika na kumtumikisha muafrika Bilal , mpaka Muhammad anakufa Bilal akaenda kuomba asemehewe aaichiwe huru


Bilal kanunuliwa akawa mtumwa wa muhammad mpaka muhammad kafa
Poor Bilal akarudi kwa Alie mnunua akamuomba na kumlilia amuachie huru apo Bilal ni Mzee tayari

Huyu hapa Bilal karudi kwa Abu bakr baada ya Muhammad kufariki anamlilia Abu bakr amuachie huru

Bilal said to Abu Bakr, "If you have bought me for yourself then keep me (for yourself), but if you have bought me for Allah's Sake, then leave me for Allah's Work." -Sahih Bukhari 5:57:99
Adithi zako za mzee Karume kenge na essopo usituletee apa jamvini..
 
Back
Top Bottom