Ni kwanini bado Waarabu wanatubagua, hata Mwafrika anapokuwa Muislam wanamkatalia kumuoa binti yao?

Ni kwanini bado Waarabu wanatubagua, hata Mwafrika anapokuwa Muislam wanamkatalia kumuoa binti yao?

Comoros hakuna waarabu.
Hao ni watu ya wagunya.
Tatizo lako elimu.
Jiongeze kidogo usijisifu kumbe huna lolote unalojua.

Kesho utalala na zeruzeru udai umepata mzungu.
Pombe hasa hizi za buku jero zinaathiri sana uwezo wa kufikiri. Achana nazo
kwani hata bongo kuna waarabu???? wengi masalia tu ya waliozaliana na watumwa ,,,,mwarabu uwe bongo na yule wa dubai atasemaje,,.......wote walewale tu ndo maana huko uarabuni wanawaona kama vijakazi fulani tu mnaojikomba kwao
 
Kwani bongo kuna waarabu,,,,,,,,,,,,uarabu wenu unaishiaga hapa tu mkitoka kwenda kwa wenzenu huko na nyie mnatengwa.....teeeh unavowaongelea kama kitu fulani cha ajabu,,,na nani kakwambia nimeokota mtaani,,,,mengine hatuwezi sema tutachoresha watu bure tu ....ila kikubwa wazuri kuzaa nao watoto wa kupost insta ila nyuchi bado palepale zimepooza
Sijasifu wala kukashifu yyt hapa nakupa darasa wewe usiejua tofauti ya mwarabu na changudoa aliyejichubua
Na inaonekana we mtoto wa juzi tu. Nani anafikiri kuzaa ili apate watoto wa kutuma picha zao kwenye Instagram au Facebook?
Nyie watoto mliobalehe juzi ni changamoto sana.
 
Sijasifu wala kukashifu yyt hapa nakupa darasa wewe usiejua tofauti ya mwarabu na changudoa aliyejichubua
Na inaonekana we mtoto wa juzi tu. Nani anafikiri kuzaa ili apate watoto wa kutuma picha zao kwenye Instagram au Facebook?
Nyie watoto mliobalehe juzi ni changamoto sana.
subiri ijumaa ufinye cha mtume na uvae mlemba ujione upo maskati
 
kwani hata bongo kuna waarabu???? wengi masalia tu ya waliozaliana na watumwa ,,,,mwarabu uwe bongo na yule wa dubai atasemaje,,.......wote walewale tu ndo maana huko uarabuni wanawaona kama vijakazi fulani tu mnaojikomba kwao
Wewe ndio unaepata tabu.
Mi sijawahi kusikia mwarabu wa Tanzania akasema" jamani eeee mi mwarabu hapa" .🤣🤣🤣
 
Wewe ndio unaepata tabu.
Mi sijawahi kusikia mwarabu wa Tanzania akasema" jamani eeee mi mwarabu hapa" .🤣🤣🤣
msimu wa kuletewa tende za bure unakuja mwarabu ghalii.............mtawapumbaza haohao wasiowajua
 
hahaha ndo maana nakwambia mtatambia ambao hawajawai,,,.....mie hadi kuzalisha nimezalisha iliposhindikana ni kwenye kubadili dini tu tena mtoto wa comoro,,,,......halafu ni waarabu koko wa huku kwetu bongo tu ndo wenye majivuno....ukienda kwa bwana azari wapo kibao kikubwa muwe dini moja tu hawana maswala ya ubaguzi wa rangi kama waarabu koko wa huku
Kumbe hujawahi
 
msimu wa kuletewa tende za bure unakuja mwarabu ghalii.............mtawapumbaza haohao wasiowajua
Teh teh teh
We inaonekana uliajiriwa na mwarabu ukaiba. Jamaa akakupa kichapo kitakatifu sasa unachukia waarabu wote.🤣
Pole sana kijana..wizi balaa
Acha kabisa
 
Teh teh teh
We inaonekana uliajiriwa na mwarabu ukaiba. Jamaa akakupa kichapo kitakatifu sasa unachukia waarabu wote.🤣
Pole sana kijana..wizi balaa
Acha kabisa
teh wanjiajiri kwa lipi ...ningepelekea moto nyumba nzima,,,nyie lindeni huko kwenu ila kuna kona tunawashika hao dada zenu.......
 
teh wanjiajiri kwa lipi ...ningepelekea moto nyumba nzima,,,nyie lindeni huko kwenu ila kuna kona tunawashika hao dada zenu.......
Teh teh teh.
Ukiona mtoto wa kiume anachukia wanamme wenzake ujue kuna kitu walimfanya.
We chukia unaemtaka utaathirika mwenyewe tu.
Kama una tabia ya wizi hata ukimuibia mhutu hatokuacha salama.

Mimi sina ubaya na waarabu wala wazaramo mi mnyamwezi na kwetu hatuna ubaguzi lkn wizi tunapiga vibaya sana.
 
Teh teh teh.
Ukiona mtoto wa kiume anachukia wanamme wenzake ujue kuna kitu walimfanya.
We chukia unaemtaka utaathirika mwenyewe tu.
Kama una tabia ya wizi hata ukimuibia mhutu hatokuacha salama.

Mimi sina ubaya na waarabu wala wazaramo mi mnyamwezi na kwetu hatuna ubaguzi lkn wizi tunapiga vibaya sana.
Ukiona mtoto wa kiume analilia kwamba yeye ni ghali basi washamharibu
 
Teh teh teh
We inaonekana uliajiriwa na mwarabu ukaiba. Jamaa akakupa kichapo kitakatifu sasa unachukia waarabu wote.🤣
Pole sana kijana..wizi balaa
Acha kabisa

labda ndiye huyu aliyepata kichapo baada kuiba ndizi 😛


😛
 
Back
Top Bottom