Ni kwanini CCM idai kuwa Tundu Lissu anatoa lugha ya uchochezi pale anapoihimiza Tume ya Uchaguzi iendeshe Uchaguzi ulio huru na wa haki?

Ni kwanini CCM idai kuwa Tundu Lissu anatoa lugha ya uchochezi pale anapoihimiza Tume ya Uchaguzi iendeshe Uchaguzi ulio huru na wa haki?

Mystery

JF-Expert Member
Joined
Mar 8, 2012
Posts
15,843
Reaction score
31,057
Nimemsikiliza mara nyingi sana tena kwa makini sana mgombea wa Urais kwa tiketi ya Chadema, Tundu Lissu, mara zote amekuwa akiisisitiza Tume ya uchaguzi nchini, iendeshe uchaguzi mkuu ujao, katika njia ya uwazi, Uhuru na Haki.

Amezidi kusisitiza kuwa wanachowataka Tume hiyo ya uchaguzi ni kuendesha uchaguzi huu mkuu ujao, ukiwa huru na wa Haki. NOTHING MORE, NOTHING LESS.

Lakini cha kushangaza sana ni namna hilo takwa la huyo mgombea Urais kwa tiketi ya Chadema, ilnavyopokelewa na ule upande wa pili wa washindani wake, ambao ni CCM, kwa kurudisha maneno ya kejeli mno kwa huyo mgombea wa Urais kwa kudai kuwa anatumiwa na mabeberu wake, kuwa yeye ni msaliti wa nchi hii na yeye ni mtetezi wa mashoga na maneno mengine chungu mzima ya kashfa dhidi yake

Hebu nijaribu kuwauliza wanaccm, hivi mgombea wa kiti cha Urais kuitaka Tume ya uchaguzi ya Taifa itende haki katika kusimamia uchaguzi mkuu ujao, ni kosa kubwa hadi mgombea huyo aweze kutukanwa kiasi hicho na wanaccm?

Inaelekea nyinyi CCM mlikuwa mmekula njama na Tume hii ya uchaguzi ili wauendeshe uchaguzi huu, kwa njia isiyo ya Haki na Uhuru, ndiyo sababu ya nyinyi kutoa povu lote hilo mnaposisitizwa na Tundu Lissu kuwa uchaguzi ujao anawataka Tume ya uchaguzi kuuendesha katika njia ya Uhuru na Haki.

NOTHING MORE, NOTHING LESS, WHAT ARE OUR DEMANDS
 
Biden: This man has made the country weaker, sicker, poorer, fatter, sloppier, and slipperier. When I was Vice President I went head-to-head with Putin, but Trump is Putin’s little puppy. His cuddle-bunny. His bushy-bushy-boo-boo.

Trump: At least Putin’s not my sugar daddy, like he is to your son.

Biden: K speaking of that, f*ck off. Second, you talk about the military being losers—my son was in Iraq and he was no loser, he was a patriot.

Trump: Which son, the loser or the dead one?
Chanzo: Fox News: Debate kati ya Trump na Biden
Ndio maana Lissu alikuwa anataka mdahalo afanye kama wenzetu wamarekani! LOL!
 
Ccm maji ya shingo,hawajui hata maana ya matusi na tume yao.
Watashindwa vibaya safari hii.
Kura zote kwa Lissu.
Watanzania ni wapenda haki,na mpenda haki siku zote Hana urafiki na anayedhulumu haki.Najua Watanzania wataidai haki iliyopotea kupitia sanduku la kura ,pamoja na kufichua mbinu zote ovu za kuvuruga mchakato was uchaguzi.
 
Matusi hayana nafasi Tanzania
Katika watu wajinga wewe ni mmoja wapo tena mjinga kwelikweli! Hivi matusi aliyotukana lisu ni yepi mbona hutaji?
Kwamba watumishi hawajaongezewa mshahara kwa miaka 5 bila sababu ni tusi?
Kwamba watu wanaporwa KOROSHO zao ni tusi?
Kwamba hakuna Ajira kwa wahitimu ni tusi?
Serikali imebinya uhuru wetu wa kutoa na kupashana habari hilo nalo tusi?
Alipora ya mikopo kwa elimu ya juu yameongezwa bila hata kutushirikisha kutoka 8-15% huku mkiwa hamjatuongezea mishahara vyeo wala madaraja mtu ukihoji hilo tusi?
Serikali imeua watu huko MKIRU na kuwatupa Bahrain hilo wewe kwako tusi?
Mtu akisema ataleta bima ya afya kwa wote kwako wewe unaita tusi?
Pale na matokeo ya wazi ya kura nalo tusi kwako hilo?
MNAPASWA KUTENGANISHA KATI YA UKWELI NA UONGO NA MATUSI MSITUCHEZEE HAPA
 
Matusi ya jamaa yenu hayana nafasi Tanzania akatukane ubeligiji

Piga spana kwa Wasaliti wa Nchi Lissu atapigiwa kura na robert
Jinga kabisa wewe. Nitajie matusi aliyotukana usiwe kama kasuku kusikia kila wimbo... peleka akili zako z a buk 7 lumumba huko
 
Hujui matusi lissu anayoporomosha?
Yataje hapa tunajua sote. Unaishia matusi matusi yataje? Kwann hajakamatwa na polisi kama Lisu kweli anatukana????? Kwani matusi yanaruhusiwa na sheria za Tanzania????
 
Matusi ya jamaa yenu hayana nafasi Tanzania akatukane ubeligiji

Piga spana kwa Wasaliti wa Nchi Lissu atapigiwa kura na robert
Spana wanapigwa chama Cha kijania,aka mbogamboga.
 
Anatukana ili akamatwe na polisi atafute sababu za kushindwa Uchaguzi

Asubiri Uchaguzi ukiisha atakaa lupanga kwa mujibu wa sheria
Sheria gani hizo ambazo hazifanyi kazi mpaka uchaguzi uishe???
Wewe ulisoma mpaka darasa la ngapi ???? Mbona una akili ndogo hivi????
 
Jiwe ameteua mpaka watoto wake wa n'nje kuwa ndani ya Nec kina Mahera .
 
Back
Top Bottom