Ni kwanini Hayati Magufuli alipata Mental na Spiritual Immortality?

Ni kwanini Hayati Magufuli alipata Mental na Spiritual Immortality?

Alikuta deni la 39t wakati anaingia, hadi anaenda kuzimu kaacha deni likiwa 57t. Je alitekeleza miradi ya 20t kwa muda aliokaa madarakani?
Mama ndani ya Mwaka kakopa trilioni Ngapi ?
 
Na huyu aliyepo ndiyo siyo wa hovyo;anateua wahuni wanazurura vijijini kusambaza mitungi ya Gesi,hiyo ndiyo kazi ya Waziri?Mo mwenyewe anazalisha bidhaa nyingi Ila hatujawahi kumuona akisambaza vijijini 🤣🤣.
Hakuna serikali isiyo ua Duniani,ata wewe ukitaka show chezea serikali ya Hangaya.Mzee wa Msoga aliwafanya nini Dr Ulimboka, Mwandishi wa Habari Mwangosi na Kibanda.Au ulikuwa bado unanyonya ziwa la Mama?
Dr Ulimboka, Mwangosi na Kibanda ni victims wa juniors wenye masilahi. All in all kilikuwa udhaifu kwenye namna events zilivyokuwa handled na Serikali ya JK.

Ila Magufuli aliunda taasisi ndani ya taasis ya kundi la WASIOJULIKANA ambalo kilikuwa linawajibika kwake kuteka, kutesa na kuua wakosoaji.
 
Nilifanikiwa kukutana na Mzee Mmoja mtu wa Imani sana alinijibu Kiongozi huyu alitoweka Kimwili ila kiakili na kiroho ataendelea Kuishi -hatokufa, alienda mbali akasema na kuna baadhi ya watu watakuwa wanawasiliana nae kabisa .
Mkuu RNA kwanza naunga mkono hoja ya spiritual immortality, kila binadamu is immortal, tumeumbwa kwa mwili na Roho, kila binadamu ana miili miwili, mwili wa nyama is the physical body umeumbwa kwa udogo, unakufa na kurudi mavumbini, na roho is the spiritual body, imeumbwa na Gods spirit ndani yetu. Hii Gods spirit ndio roho inaishi ndani yetu. Mtu akifa, kinachokufa is the body, roho haifi bali inaacha mwili kwenye ulimwengu huu wa miili, physical world na kuhamia kwenye ulimwengu wa Roho, the spiritual world.

Na kumhusu JPM, niliwa kulieleza hili Life After Life: Je, wajua Magufuli huko alipo anayaona yote? Je, tuendeleze 'double standards' ya 'cherry picking' au tuiachie Karma iwashughulikie?

P
 
Alimtegemea Mungu kwa kila jambo, kwa hili hakuwa mnafiki aliwazidi hata baadhi ya viongozi wa dini , hata pale dunia nzima ilipomuacha Mungu na kutegemea nguvu za mwanadamu yeye alitoka hadharini na kuthibitisha uwepo wa Mungu hili linatosha kuonesha huyu alikuwa ni kusudi la Mungu japo sio wote wanaweza amini hili.

Ukifuatilia mambo aliyoyafanya JPM ndio utaelewa huyu alikuwa ni kusudi la Mungu, kwanza alifanya mambo ambayo kwa akili za kawaida au za kisiasa yalioneka ni kama ndoto za mchana. Mfano aliposema serikali itahamia Dodoma wengi wakadai haiwezekani hakuna fedha lakini walihamia, aliposema atajenga bwana la Nyerere wengi walidai ni ngumu lakini yeye alijenga, aliposema atamaliza foleni DSM wengi walimuona anaota lakini ndani ya miezi michache foleni iliisha kama sio kupungua sana, aliposema atajenga reli ya SGR tena kwa gharama ndogo wengi waliona anaota, aliposema atafufua shirika la ndege wengi walisima hii kitu haiwezekani na imewashinda wengi, alposema atajenga daraja la kilometa tatu ziwa Victoria walisema anaota lakina daraja linajengwa, aliposema Tanzania hatutawekwa lock down dunia ilishanga na kweli hatukuwekwa na hivi sasa dunia nzima inaishi kama alivyotabiri yeye.

JPM aliwafungua macho watanzania, aliweka mambo mengi wazi ambayo huko nyuma yalionekana hayafai raia wa kawaida kufahamu, alikuwa na nguvu ya ajabu ambayo ilitisha kila mtu hasa wale wasio wema au hadui wa maendeleo, hii nguvu haikuwa ya kawaida ni nguvu isiyoonekana, nguvu hii iliambatana na mvuto mkubwa ambapo kila alipoongea au kupita watu walitaka kumsikia nini ataongea. Hii nguvu siyo kila mtu anayo, Mungu huwapa watu wachache kwa makusudi fulani fulani ingawaje unaweza kuchukiwa sana na wachache kutokana na kwamba sio kwamba hawakupendi bali hawapendi wewe hupendwe.
 
Utouh amesema 1.2t imepigwa kipindi cha dhalimu. Sasa hizo Njozi na uchu na raslimali unatoka wapi? Yule alikuwa mzalendo wa mdomoni, lakini kiuhalisia alikuwa mumiani.
Acha theory mkuu lete habari za kuhaminika. Tunafahamu matukio yote ya upigaji huwa tunaambiwa hizo fedha zinepigwa kutokea wapi. Mfano escrow tuliambiwa zimechotwa BOT hata jinsi zilivyogawanywa iliwekwa wazi sasa kama hutojali embu tupe mchanganuo na namna hizo fedha zilivyopigwa ili nasi tuweze kuhamini pasi na shaka.
 
Habari JF,

Mwezi March mwaka 2021 tulimpoteza moja ya Kiongozi Bora kuwahi kutokea katika Taifa letu .

Lakini Sasa hivi ni kama Mwaka na Nusu lakini huyu Kiongozi ni kama kaondoka Juzi, yaani haiwezi pita siku Mbili hujakuta akizungumzwa au ukakutana na kitu na kitu au mazingira ambayo yatakufanya Umkumbuke.

Binafsi nliamua kufanya Juhudi kujua kwanini huyu asitoke vinywani na akilini mwa watu. Nilifanikiwa kukutana na Mzee Mmoja mtu wa Imani sana alinijibu Kiongozi huyu alitoweka Kimwili ila kiakili na kiroho ataendelea Kuishi -hatokufa, alienda mbali akasema na kuna baadhi ya watu watakuwa wanawasiliana nae kabisa .

Swali kwanini huyu kiongozi alipata hii Mental na Spiritual Immortality ?

Ni mtu wa Mungu ?

Alikuwa Mioyoni mwa watu ?

Alifanya vitu/matendo yaligusa sana Wananchi ?
Tanzania haitokuja tena kupata Marais Wazuri na ambao ni Intelligent and Visionary kama Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere, Mkapa na Dk. Magufuli.
 
Habari JF,

Mwezi March mwaka 2021 tulimpoteza moja ya Kiongozi Bora kuwahi kutokea katika Taifa letu .

Lakini Sasa hivi ni kama Mwaka na Nusu lakini huyu Kiongozi ni kama kaondoka Juzi, yaani haiwezi pita siku Mbili hujakuta akizungumzwa au ukakutana na kitu na kitu au mazingira ambayo yatakufanya Umkumbuke.

Binafsi nliamua kufanya Juhudi kujua kwanini huyu asitoke vinywani na akilini mwa watu. Nilifanikiwa kukutana na Mzee Mmoja mtu wa Imani sana alinijibu Kiongozi huyu alitoweka Kimwili ila kiakili na kiroho ataendelea Kuishi -hatokufa, alienda mbali akasema na kuna baadhi ya watu watakuwa wanawasiliana nae kabisa .

Swali kwanini huyu kiongozi alipata hii Mental na Spiritual Immortality ?

Ni mtu wa Mungu ?

Alikuwa Mioyoni mwa watu ?

Alifanya vitu/matendo yaligusa sana Wananchi ?
Anakumbukwa na vichaa wenzie. Utamkubukaje mtu katili na muuaji kama yule?
 
Tatizo Magufuli alitaka kupambana na nguvu ya Lissu. Kamtwanga Lissu risasi akapona. Kwenye uchaguzi katumia hila zote Lissu asipate chochote, lakini kaambulia miezi mitatu tu madarakani. Kamuacha Lissu yupo hai na analipwa stahiki zake na marupurupu yake aliyotaja kumnyima.
Lissu mwenyewe katii kuwa jpm ni jiwe maana japo kafa ni kama mitume tu wakifa nguvu zao zinabaki zinaishi . Kama uniamini muulize mbowe kwa siri atakuambia ukweli wote.
Nandiyo maana unamwona lissu mpaka sasa kashindwa kurudi tz ..wewe jiulize ana ogopa nini ?
 
Unamfahamu Ramadhan Igondu?
Dr Ulimboka, Mwangosi na Kibanda ni victims wa juniors wenye masilahi. All in all kilikuwa udhaifu kwenye namna events zilivyokuwa handled na Serikali ya JK.

Ila Magufuli aliunda taasisi ndani ya taasis ya kundi la WASIOJULIKANA ambalo kilikuwa linawajibika kwake kuteka, kutesa na kuua wakosoaji.
 
Utouh amesema 1.2t imepigwa kipindi cha dhalimu. Sasa hizo Njozi na uchu na raslimali unatoka wapi? Yule alikuwa mzalendo wa mdomoni, lakini kiuhalisia alikuwa mumiani.

Uwe unakuwa makini sana unapoongea jambo hapa JF. Una uhakika Utouh alisema hizo fedha ziliibwa au kufujwa!!??
 
Back
Top Bottom