Ni kwanini Hayati Magufuli alipata Mental na Spiritual Immortality?

Ni kwanini Hayati Magufuli alipata Mental na Spiritual Immortality?

Dr Ulimboka, Mwangosi na Kibanda ni victims wa juniors wenye masilahi. All in all kilikuwa udhaifu kwenye namna events zilivyokuwa handled na Serikali ya JK.

Ila Magufuli aliunda taasisi ndani ya taasis ya kundi la WASIOJULIKANA ambalo kilikuwa linawajibika kwake kuteka, kutesa na kuua wakosoaji.
Kuua ni kuua tu usitafute namna ya kuhalalisha. Serikali yo yote ambayo haijali uhai wa raia wake, hata mfungwa, haina uhalali wa kuwepo kwenye jamii inayojiita imestaarabika na inaendeshwa kwa mujibu wa Katiba iliyojiwekea. Fikiria mtu anaapa kwa Kitabu cha Dini yake lakini hana dhamira ya kufuata hicho anachoapa! Huyo utamwachia mtoto wako akutunzie?

Sent from my ONEPLUS A5000 using JamiiForums mobile app
 
Don't gain the world and loose your soul,wisdom is better than silver and gold.by bob Marley.
 
Mkuu RNA kwanza naunga mkono hoja ya spiritual immortality, kila binadamu is immortal, tumeumbwa kwa mwili na Roho, kila binadamu ana miili miwili, mwili wa nyama is the physical body umeumbwa kwa udogo, unakufa na kurudi mavumbini, na roho is the spiritual body, imeumbwa na Gods spirit ndani yetu. Hii Gods spirit ndio roho inaishi ndani yetu. Mtu akifa, kinachokufa is the body, roho haifi bali inaacha mwili kwenye ulimwengu huu wa miili, physical world na kuhamia kwenye ulimwengu wa Roho, the spiritual world.

Na kumhusu JPM, niliwa kulieleza hili Life After Life: Je, wajua Magufuli huko alipo anayaona yote? Je, tuendeleze 'double standards' ya 'cherry picking' au tuiachie Karma iwashughulikie?

P
Paskali kama wewe ni mkatoliki kuna kitu wanaita "toharani" je, ndicho hiki ulichokizungumzia hapa?
 
Acha theory mkuu lete habari za kuhaminika. Tunafahamu matukio yote ya upigaji huwa tunaambiwa hizo fedha zinepigwa kutokea wapi. Mfano escrow tuliambiwa zimechotwa BOT hata jinsi zilivyogawanywa iliwekwa wazi sasa kama hutojali embu tupe mchanganuo na namna hizo fedha zilivyopigwa ili nasi tuweze kuhamini pasi na shaka.
Alikuja kufungua akili za wengi !! Hivi sasa huwezi tena kuwadanganya watu !! Wamenyamaza lakini wanajua kila kitu !! Huwezi tena kuwaambia watu nchi hii ni masikini !!
 
Unajua tokea Hitler apotee kwenye uso wa Dunia ni miaka mingapi? Ni takribani miaka 77 na bado anatajwa. Sababu ni maovu yake, maana yake Hitler alijenga reli, alitengeneza ndege, vifaru na maendeleo makubwa sana kwa wakati huo mpaka kuifanya Germany kuwa taifa kubwa lakini kwa ushenzi wake anatajwa mpaka leo. Hata huyu atakuja kiongozi mwingine atasema maovu yote ya jiwe yawekwe hadharani na itabidi Jona lake liondolewe kwenye vyote vilivyopewa jina lake.
 
... katika imani zetu Shetani hutajwa sana kuliko malaika na watakatifu wa Mungu. Maonyo yote ni dhidi ya Shetani; Amri Kumi, indirectly ni dhidi ya Shetani. So, sometimes kutajwa sana inaweza isiwe ni ishara njema au kwamba anayetajwa ni mwema sana. Huweza kutajwa sana kwa sababu ya ubaya wake pia.

imani ile ya rangi 7 za upinde wa mvua??
 
Aliwagusa Sana wananchi negatively. Aliua, aliteka na kuuwa. Kwa haya maovu yake kamwe hatasahaulika kama ilivyo kwa Hitler, Idd Amin, Bokasa na Mobutu

bila kusahau mliolawitiwa na kuachwa vilema wa maisha.
 
Habari JF,

Mwezi March mwaka 2021 tulimpoteza moja ya Kiongozi Bora kuwahi kutokea katika Taifa letu.

Lakini Sasa hivi ni kama Mwaka na Nusu lakini huyu Kiongozi ni kama kaondoka Juzi, yaani haiwezi pita siku Mbili hujakuta akizungumzwa au ukakutana na kitu na kitu au mazingira ambayo yatakufanya Umkumbuke.

Binafsi nliamua kufanya Juhudi kujua kwanini huyu asitoke vinywani na akilini mwa watu. Nilifanikiwa kukutana na Mzee Mmoja mtu wa Imani sana alinijibu Kiongozi huyu alitoweka Kimwili ila kiakili na kiroho ataendelea Kuishi - hatokufa, alienda mbali akasema na kuna baadhi ya watu watakuwa wanawasiliana nae kabisa.

Swali kwanini huyu kiongozi alipata hii Mental na Spiritual Immortality?

Ni mtu wa Mungu?

Alikuwa Mioyoni mwa watu?

Alifanya vitu/matendo yaligusa sana Wananchi?
Hata Hitra nae hatoki midomoni mwa watu, je alikuwa mtu wa Mungu nae?
 
Shetani hutajwa mara nyingi sana kwa maovu yake!! Hakuna jibu rahisi zaidi hili!!
 
imani ile ya rangi 7 za upinde wa mvua??
... yamtokayo mwanadamu kinywani ndiyo yamjaayo moyoni. Inaonekana ni mambo gani yamekujaa wala hujifichi maana wanena sawasawa na yaliyo kifuani mwako.
 
Kaacha deni kubwa kuliko miradi aliyoinzisha. Labda kama ulikuwa unaamini propaganda zake, huku akiwa ameziba mdomo vyombo vya habari.
Kama kaacha madeni basi tusisahau alipoingia tu madarakani alianza kulipia madeni ya miradi iliyosainiwa awamu ya tatu ikaanza kazi awamu ya nne na kusimama baada ya kutokulipwa wakandarasi japo safari za nje zilikuwa.nyingi awamu hiyo na kuaminishwa zina maslahi kwa taifa, huyo mnayemtuhumu wa awamu ya tano ndiye aliyeyalipa, mnyonge mnyongeni haki yake mpeni pia tusisahau yeye NI binadamu Kama wewe na Mimi makosa ya kibinadamu yapo.
 
Deni la Shilingi ngapi?

Unajua Mama yenu anachofanya?
Akiondoka madarakani ndio watasema kwa Sasa wanamsifia Kama walivyomsifia hayati alipokuwa kiongozi, chui wapo wengi kweli na ngozi zao za kondoo
 
Tuwaulize wahanga wa kikosi kazi cha TRA ambao pesa zao zilichukuliwa na TRA kwa kisingizio kwamba wanaiibia Serikali kwa kutokulipa kodi.

Nipo moro vijijini huku wakulima wananunua bati ,magodoro,cement na Boda kwa wingi. Mara ya mwisho wame experience bei juu hivi za mazao ya mpunga,ufuta,choroko,kunde,mahindi ni ilikua mwaka 2015. Wanaombea hiyu Bibi tozo aendelee tu.
 
Habari JF,

Mwezi March mwaka 2021 tulimpoteza moja ya Kiongozi Bora kuwahi kutokea katika Taifa letu.

Lakini Sasa hivi ni kama Mwaka na Nusu lakini huyu Kiongozi ni kama kaondoka Juzi, yaani haiwezi pita siku Mbili hujakuta akizungumzwa au ukakutana na kitu na kitu au mazingira ambayo yatakufanya Umkumbuke.

Binafsi nliamua kufanya Juhudi kujua kwanini huyu asitoke vinywani na akilini mwa watu. Nilifanikiwa kukutana na Mzee Mmoja mtu wa Imani sana alinijibu Kiongozi huyu alitoweka Kimwili ila kiakili na kiroho ataendelea Kuishi - hatokufa, alienda mbali akasema na kuna baadhi ya watu watakuwa wanawasiliana nae kabisa.

Swali kwanini huyu kiongozi alipata hii Mental na Spiritual Immortality?

Ni mtu wa Mungu?

Alikuwa Mioyoni mwa watu?

Alifanya vitu/matendo yaligusa sana Wananchi?
Ndiyo alifanya matendo yaliyogusa uhai wa watu:
Kwa mara ya kwanza tulishuhudia mauaji yasiyo na ushahidi mf maiti kwenye viroba ufukweni.
Kwa mara ya kwanza tumeona wajivuni wake wakizurura mitaani wakitafuta watu waliotumiaji wa mitandao na kuwateka
Kwa mara ya kwanza tumeshuhudia watu wakikimbia nchi iliyokuwa kisiwa cha amani afrika na kimbilio la wapigania uhuru
Kwa mara ya kwanza tulishuhudia vijana wetu wakigeuka chawa, kunguni na viroboto wa wakubwa.
Kwa mara ya kwanza tulishuhudia jambazi na muuaji akikalia ofisi ya urais na kujiita mtetezi wa wanyonge huku akipora rasllimali za nchi na kunyonga watetezi wa haki za wanyonge.
Kwa mara ya kwanza tumefahamu kuwa Tanzania inalindwa na Mungu pale aliposhuka mwenyewe na kulidabua jambazi uuaji March 2021.
ONYO Nchi hii inalindwa na Mwenyezi Mungu.
Hatutasahau kiongozi dhalimu kwa jinsi tusivyosahau ukombozi ambao Mungu aliuleta.
Mungu alituvusha kama Waisrael alivyowavusha bahari ya Sham na kumtokomeza Farau na jeshi lake baharini>
 
Hiyo yote inasababishwa na uzwazwa & ukilaza wa watanzania bara

Mtu kakopa mikopo yenye riba za kibayport halafu bado mnamsifia eti kwa sababu alowaziba midomo wote waliokuwa na uwezo wa kiwaelezea watanzania kuwa hata ATCL na mindege yake iliyolipiwa cash ni jipu lililotakiwa kutumbuliwa haraka
Mbona hangaya anakopa na wewe ni chawa wake?
 
  • Thanks
Reactions: RNA
Back
Top Bottom