Crimea
JF-Expert Member
- Mar 25, 2014
- 25,874
- 36,030
Dhalimu bado anakubutua tu?Kaweka wazi alichokopa, na sio kuongopea kuwa ni fedha za ndani.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dhalimu bado anakubutua tu?Kaweka wazi alichokopa, na sio kuongopea kuwa ni fedha za ndani.
Kama wew hukuuawa basi huyo mtu alikuwa mzalendo sanaAnakumbukwa na vichaa wenzie. Utamkubukaje mtu katili na muuaji kama yule?
Utaonaje pengo na huku unfategemea shemeji akuletee chakulaKuondoka kwake ni mpango wa Mungu na wala sijaona pengo lake
Lakini mwisho wa siku madarakani alikaa hata kama ni siku moja!Kuna watu huwa wanadakia chorus bila kujua mtunzi ni Nani. Huwezi kupoteza raia wako mwenyewe ukaitwa shujaa. Alikuwa muoga ndio maana katumia nguvu nyingi kuiba kura Ila akuambulia chochote zaidi ya kukaa miezi mitatu tu madarakani.
Hao wawili tu?Wapi Azory, Wapi Ben Saanane?
Umaanza kuwaamini watu wa ccm lini?Niache kumuamini CAG mstaafu nitamuani nani labda?
Ule ulikuwa Mkosi mkubwa kabisa kuwahi kulitokea Taifa hiliKiongozi Bora kuwahi kutokea katika Taifa letu.
Kwa sasa deni ni trilioni ngapi vile?Alikuta deni la 39t wakati anaingia, hadi anaenda kuzimu kaacha deni likiwa 57t. Je alitekeleza miradi ya 20t kwa muda aliokaa madarakani?
Unadhani huyo CAG alikuwa anaenda siasa za kiduwanzi za CCM?Umaanza kuwaamini watu wa ccm lini?
Kama unamuamini cag alietuliwa na rais wa ccm kwa nini usimuamin mteuaji?
Nyie watu ndio maana kina mbowe wameona bora warambe asali tu
Ndo huyu huyu mzeee.Haya ndio matamanio yako, kujadiliwa haimaanishi kukubalika. Si ndio huyo anapigwa vitasa huku ndani mpaka mnasema marehemu asisemwe?
anapambana nao huko tena kawakuta wao wenyeji, alifikiri anawatanguliza yeye ataishi !!Hao wawili tu?
Hujasikia kama pale kigoma **** watu 7 wa familia moja wameuawa kwa mapanga juzi tu hapa?
Au huyo ben wenu ana umuhimu gan?
Kuja na kuondoka ni mipango ya Mungu ndugu yangu, lakini kuna wengine wanaondoka wakiwa wameacha athari chanya kwenye jamii kwa ujumla, hao ingawa watasahulika lakini dunia haita wasahau, na ndipo pengo lao huonekana.Kuondoka kwake ni mpango wa Mungu na wala sijaona pengo lake
Hatari sana.Akiondoka madarakani ndio watasema kwa Sasa wanamsifia Kama walivyomsifia hayati alipokuwa kiongozi, chui wapo wengi kweli na ngozi zao za kondoo
Hata mmoja hawezi kutaja.Nitajie wananchi watano tu aliyowauwa ambao wewe unawajua katika hao wananchi wengi waliyouwawa
Asante, nimekuunga mkonoSikuwa mfuasi wa yule bwana ila undoubtably alikuwa one of the greatest leaders behind JK the first and BWM
Sasa kipi kinamfanya amuhusishe Magu na hivyo vifo au aseme Magu alikuwa anauwa wananchi wake hali ya kuwa hao watu wenyewe hayajulikani wala hakuna sababu inayojulikana ya kuuliwa kwao?Hata mmoja hawezi kutaja.
Kwa hiyo hata kule anawabutua?anapambana nao huko tena kawakuta wao wenyeji, alifikiri anawatanguliza yeye ataishi !!
Pole Sana dogo, huwezi kuyajuwa haya yako zaidi ya umri na akili yako. Dead people never talkTatizo hao waliyouliwa hatuwajui sasa tunawezaje kusema kuwa waliuliwa kwa sababu ya kukosoa ili tumuhusishe Magu na hivyo vifo?
Habari JF,
Mwezi March mwaka 2021 tulimpoteza moja ya Kiongozi Bora kuwahi kutokea katika Taifa letu.
Lakini Sasa hivi ni kama Mwaka na Nusu lakini huyu Kiongozi ni kama kaondoka Juzi, yaani haiwezi pita siku Mbili hujakuta akizungumzwa au ukakutana na kitu na kitu au mazingira ambayo yatakufanya Umkumbuke.
Binafsi nliamua kufanya Juhudi kujua kwanini huyu asitoke vinywani na akilini mwa watu. Nilifanikiwa kukutana na Mzee Mmoja mtu wa Imani sana alinijibu Kiongozi huyu alitoweka Kimwili ila kiakili na kiroho ataendelea Kuishi - hatokufa, alienda mbali akasema na kuna baadhi ya watu watakuwa wanawasiliana nae kabisa.
Swali kwanini huyu kiongozi alipata hii Mental na Spiritual Immortality?
Ni mtu wa Mungu?
Alikuwa Mioyoni mwa watu?
Alifanya vitu/matendo yaligusa sana Wananchi?