Ni kwanini Hayati Magufuli alipata Mental na Spiritual Immortality?

Ni kwanini Hayati Magufuli alipata Mental na Spiritual Immortality?

Tatizo Magufuli alitaka
kupambana na nguvu ya Lissu. Kamtwanga Lissu risasi
akapona. Kwenye uchaguzi
katumia hila zote Lissu asipate
chochote, lakini kaambulia
miezi mitatu tu madarakani.
Kamuacha Lissu yupo hai na
analipwa stahiki zake na
marupurupu yake aliyotaja
kumnyima.
Ila Lissu hayupo kama mwanzo ana ulemavu wa kudumu kwa sasa na lile tukio bado lina limeacha akilini mwake hivyo bado hayupo sawa.
 
Kuna watu huwa wanadakia
chorus bila kujua mtunzi ni Nani. Huwezi kupoteza raia
wako mwenyewe ukaitwa
shujaa. Alikuwa muoga ndio
maana katumia nguvu nyingi
kuiba kura Ila akuambulia
chochote zaidi ya kukaa miezi
mitatu tu madarakani.
Kabla ya Magu, ccm imekuwa ikiiba kura miaka yote hivyo alichofanya Magu ni muendelezo tu wa kuitumia serikali ya ccm kuiba kura. Tofauti tu ni kwamba Magu hakutaka kubalance kama kuwaachia nafasi wapinzani kuingia huko bungeni angalau kuwadanganya wazungu kuwa kuna ushindani hali ya kuwa ukweli wa mambo ccm ndio mchezaji na ni refa pia.
 
... katika imani zetu Shetani
hutajwa sana kuliko malaika na watakatifu wa Mungu. Maonyo
yote ni dhidi ya Shetani; Amri
Kumi, indirectly ni dhidi ya
Shetani. So, sometimes kutajwa
sana inaweza isiwe ni ishara
njema au kwamba anayetajwa
ni mwema sana. Huweza
kutajwa sana kwa sababu ya
ubaya wake pia.
Shetani ana wafuasi wengi kuliko Mungu,sasa huko kutajwa anatajwa kwa malengo yapi ikiwa bado yeye ndio wafuasi wengi?

Imekuwa tabia sasa kwamba kila jambo kusingiziwa shetani hata yale asiyohusika.
 
Habari JF,

Mwezi March mwaka 2021 tulimpoteza moja ya Kiongozi Bora kuwahi kutokea katika Taifa letu .

Lakini Sasa hivi ni kama Mwaka na Nusu lakini huyu Kiongozi ni kama kaondoka Juzi, yaani haiwezi pita siku Mbili hujakuta akizungumzwa au ukakutana na kitu na kitu au mazingira ambayo yatakufanya Umkumbuke.

Binafsi nliamua kufanya Juhudi kujua kwanini huyu asitoke vinywani na akilini mwa watu. Nilifanikiwa kukutana na Mzee Mmoja mtu wa Imani sana alinijibu Kiongozi huyu alitoweka Kimwili ila kiakili na kiroho ataendelea Kuishi -hatokufa, alienda mbali akasema na kuna baadhi ya watu watakuwa wanawasiliana nae kabisa .

Swali kwanini huyu kiongozi alipata hii Mental na Spiritual Immortality ?

Ni mtu wa Mungu ?

Alikuwa Mioyoni mwa watu ?

Alifanya vitu/matendo yaligusa sana Wananchi ?
Alikuwa tapeli muongo muongo katili sana.
 
hata shetani kila siku lazima
akemewe
Sent from my Infinix X683 using
JamiiForums
mobile app
Kama shetani anatajwa sana(kukemewa) kuliko mitume na malaika basi kuna tatizo ni wazi huyo shetani ndio mwenye nguvu kwenu amewatawala.
 
Sikuwa mfuasi wa yule bwana ila undoubtably alikuwa one of the greatest leaders behind JK the first and BWM
 
Aliwagusa Sana wananchi
negatively. Aliua, aliteka na kuuwa. Kwa haya maovu yake
kamwe hatasahaulika kama
ilivyo kwa Hitler, Idd Amin,
Bokasa na Mobutu
Nitajie wananchi watano tu aliyowauwa ambao wewe unawajua katika hao wananchi wengi waliyouwawa
 
Dr Ulimboka, Mwangosi na
Kibanda ni victims wa juniors wenye masilahi. All in all
kilikuwa udhaifu kwenye namna
events zilivyokuwa handled na
Serikali ya JK.
Ila Magufuli aliunda taasisi
ndani ya taasis ya kundi la
WASIOJULIKANA ambalo
kilikuwa linawajibika kwake
kuteka, kutesa na kuua
wakosoaji.
Tatizo hao waliyouliwa hatuwajui sasa tunawezaje kusema kuwa waliuliwa kwa sababu ya kukosoa ili tumuhusishe Magu na hivyo vifo?
 
Utouh amesema 1.2t imepigwa kipindi cha dhalimu. Sasa hizo Njozi na uchu na raslimali unatoka wapi? Yule alikuwa mzalendo wa mdomoni, lakini kiuhalisia alikuwa mumiani.
Kunayo hata Document moja inayodhihirisha hayo madai ya kina Utouh na Yule mwingine?

Au unamuamini Utouh kama Yesu?
 
Habari JF,

Mwezi March mwaka 2021 tulimpoteza moja ya Kiongozi Bora kuwahi kutokea katika Taifa letu .

Lakini Sasa hivi ni kama Mwaka na Nusu lakini huyu Kiongozi ni kama kaondoka Juzi, yaani haiwezi pita siku Mbili hujakuta akizungumzwa au ukakutana na kitu na kitu au mazingira ambayo yatakufanya Umkumbuke.

Binafsi nliamua kufanya Juhudi kujua kwanini huyu asitoke vinywani na akilini mwa watu. Nilifanikiwa kukutana na Mzee Mmoja mtu wa Imani sana alinijibu Kiongozi huyu alitoweka Kimwili ila kiakili na kiroho ataendelea Kuishi -hatokufa, alienda mbali akasema na kuna baadhi ya watu watakuwa wanawasiliana nae kabisa .

Swali kwanini huyu kiongozi alipata hii Mental na Spiritual Immortality ?

Ni mtu wa Mungu ?

Alikuwa Mioyoni mwa watu ?

Alifanya vitu/matendo yaligusa sana Wananchi ?
Ni kwa sababu alikuwa na mental illness
 
Acha theory mkuu lete habari za kuhaminika. Tunafahamu matukio yote ya upigaji huwa tunaambiwa hizo fedha zinepigwa kutokea wapi. Mfano escrow tuliambiwa zimechotwa BOT hata jinsi zilivyogawanywa iliwekwa wazi sasa kama hutojali embu tupe mchanganuo na namna hizo fedha zilivyopigwa ili nasi tuweze kuhamini pasi na shaka.

Mkuu una matatizo ya matumizi ya herufi H, huko kwenye bold. Fanyia kazi kwanza hapo kisha uje.
 
Kunayo hata Document moja inayodhihirisha hayo madai ya kina Utouh na Yule mwingine?

Au unamuamini Utouh kama Yesu?

Niache kumuamini CAG mstaafu nitamuani nani labda?
 
Acha theory mkuu lete habari za kuhaminika. Tunafahamu matukio yote ya upigaji huwa tunaambiwa hizo fedha zinepigwa kutokea wapi. Mfano escrow tuliambiwa zimechotwa BOT hata jinsi zilivyogawanywa iliwekwa wazi sasa kama hutojali embu tupe mchanganuo na namna hizo fedha zilivyopigwa ili nasi tuweze kuhamini pasi na shaka.
Kuhaminika

Kuhamini!!

Kiswahili hiki nilikisikia nilivyoenda Bujumbura. Na wewe ni wa huko? Maana maneno hayo siyo ya Kiswahili, lakini Warundi hutumia ha badala ya a kwenye maneno mengi ya Kiswahili.
 
Back
Top Bottom