Ni kwanini Hayati Magufuli alipata Mental na Spiritual Immortality?

Nitajie wananchi watano tu aliyowauwa ambao wewe unawajua katika hao wananchi wengi waliyouwawa
Mizoga kibao ilikuwa inaelea ufukweni. Sasa nikiwataja utawajua? Maana hawakuwa watu maarufu.
 
Mizoga kibao ilikuwa inaelea
ufukweni. Sasa nikiwataja utawajua? Maana hawakuwa
watu maarufu.
Issue sio kuwa maarufu, we wataje unaowajua wewe ili tujue ni vp walikuwa kikwazo kwa Utawala Jiwe au walikuwa wanamkosoa vp Jiwe hadi akalazimika kuwaua hao watu wasio maarufu.
 
Ninakubaliana na wewe Mia kwa Mia, Magufuli aliletwa na Mungu kwa ajili ya kusudi maalum..niongezee kidogo tofauti yake na viongozi wengine, alipenda kusamehe pale aliyekosa aliomba msamaha, tena alisema hadharani, mfano kule Iringa alimsamehe OCD, alimsamehe ACP Andengenye nk, alikuwa na huruma ya dhati lkn sio kwa wezi, kwake Urais ilikuwa ni utumishi na si kiburi na kujinufaisha, mfano pale alikusanya sadaka Mbeya..lkn kiashiria kingine kudhihirisha kuwa Mungu alimleta kwa kusudi maalum..kwa kipindi chote yaani miaka 5 nchi ilipata mvua za kutosha kila mwaka hadi kufikia maziwa kujaa maji km ziwa Victoria, ziwa babati nk, hakukuwa na majanga ya asili kabisa ndani ya miaka 5, wakati Kenya walikuwa wanapambana na kanga la nzige kwa miaka 2 mfululizo, kwa Tanzania nzige waliishia mpakani..hata ajali na vifo vya ajali zilipungua sana..haya ni dalili za baraka za moja kwa moja zinazohusishwa na kiongozi aliyepo. Ni dhahiri mtu akitimiza kusudi alilopewa, aliyemtuma anamchukua hawezi kubaki wakati alichotumwa kufanya amekikamilisha..inahitajiufahamu wa mambo ya kiroho zaidi kufahamu Rais Magufuli alikuwa Rais kutimiza kusudi maalum hapa Tanzania na dunia kwa ujumla.
 
Arudishe kwanza Trillion 1.2 zetu ndo aendelee na adhabu zake huko aliko
 
Wanazingua kinyama, ndio maana wakubwa wao wametulia tuu
 
Utouh amesema 1.2t imepigwa kipindi cha dhalimu. Sasa hizo Njozi na uchu na raslimali unatoka wapi? Yule alikuwa mzalendo wa mdomoni, lakini kiuhalisia alikuwa mumiani.
Kwahiyo alituibia yeye kwa mujibu wako au wa Uttoh?
Tunahangaika kumbe mnamjua mwizi na mpo kimya Sana.
 
Aisee
 
Uwezo wako wa kuelewa unaonyesha uko chini sana. Mada inasema anatajwa kwa sabaju ya wema, nami nasema mbona wabaya nao wanatajwa sana? Nini huelewi kijana?
 
kila nikiingia JF siwezi kosa kukuta Nyuzi zenye jina magufuli
 
Shabani kaoneka!!!Shabani kaoneka umeyakanyanga ilisikika sauti ya Mtu kazi.
 
Achana na mambo ya ushirikina
 
Mnatumia nguvu nyingi wakuu..si mkubali tu matokeo..
 
Nakubaliana nawe.
M/mungu ni mwenye Huruma kwa waja wake.
Kwa namna wananchi wa kawaida walivyoumia na kusononeka kwa kifo chake ni nadhiri ni Miongoni mwa waja wema wa M/mungu.
 
Lisu alikuwa wakala wa mabwanyenye alidalalia raslimali zetu sana
 
Kaacha deni kubwa kuliko miradi aliyoinzisha. Labda kama ulikuwa unaamini propaganda zake, huku akiwa ameziba mdomo vyombo vya habari.
Alikopa shilingi ngapi na kaacha deni la shilingi ngapi na miradi yake ilitumia pesa ngapi ushahidi please
 
Alikuta deni la 39t wakati anaingia, hadi anaenda kuzimu kaacha deni likiwa 57t. Je alitekeleza miradi ya 20t kwa muda aliokaa madarakani?
Hiyo trillion 39 aliyoikuta ilikuwa riba haitembei au ilikuwa imestack
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…