Mizoga kibao ilikuwa inaelea ufukweni. Sasa nikiwataja utawajua? Maana hawakuwa watu maarufu.Nitajie wananchi watano tu aliyowauwa ambao wewe unawajua katika hao wananchi wengi waliyouwawa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mizoga kibao ilikuwa inaelea ufukweni. Sasa nikiwataja utawajua? Maana hawakuwa watu maarufu.Nitajie wananchi watano tu aliyowauwa ambao wewe unawajua katika hao wananchi wengi waliyouwawa
Magufuli alikuwa ni shetani halisibila kusahau mliolawitiwa na kuachwa vilema wa maisha.
Issue sio kuwa maarufu, we wataje unaowajua wewe ili tujue ni vp walikuwa kikwazo kwa Utawala Jiwe au walikuwa wanamkosoa vp Jiwe hadi akalazimika kuwaua hao watu wasio maarufu.Mizoga kibao ilikuwa inaelea
ufukweni. Sasa nikiwataja utawajua? Maana hawakuwa
watu maarufu.
Ninakubaliana na wewe Mia kwa Mia, Magufuli aliletwa na Mungu kwa ajili ya kusudi maalum..niongezee kidogo tofauti yake na viongozi wengine, alipenda kusamehe pale aliyekosa aliomba msamaha, tena alisema hadharani, mfano kule Iringa alimsamehe OCD, alimsamehe ACP Andengenye nk, alikuwa na huruma ya dhati lkn sio kwa wezi, kwake Urais ilikuwa ni utumishi na si kiburi na kujinufaisha, mfano pale alikusanya sadaka Mbeya..lkn kiashiria kingine kudhihirisha kuwa Mungu alimleta kwa kusudi maalum..kwa kipindi chote yaani miaka 5 nchi ilipata mvua za kutosha kila mwaka hadi kufikia maziwa kujaa maji km ziwa Victoria, ziwa babati nk, hakukuwa na majanga ya asili kabisa ndani ya miaka 5, wakati Kenya walikuwa wanapambana na kanga la nzige kwa miaka 2 mfululizo, kwa Tanzania nzige waliishia mpakani..hata ajali na vifo vya ajali zilipungua sana..haya ni dalili za baraka za moja kwa moja zinazohusishwa na kiongozi aliyepo. Ni dhahiri mtu akitimiza kusudi alilopewa, aliyemtuma anamchukua hawezi kubaki wakati alichotumwa kufanya amekikamilisha..inahitajiufahamu wa mambo ya kiroho zaidi kufahamu Rais Magufuli alikuwa Rais kutimiza kusudi maalum hapa Tanzania na dunia kwa ujumla.Alimtegemea Mungu kwa kila jambo, kwa hili hakuwa mnafiki aliwazidi hata baadhi ya viongozi wa dini , hata pale dunia nzima ilipomuacha Mungu na kutegemea nguvu za mwanadamu yeye alitoka hadharini na kuthibitisha uwepo wa Mungu hili linatosha kuonesha huyu alikuwa ni kusudi la Mungu japo sio wote wanaweza amini hili.
Ukifuatilia mambo aliyoyafanya JPM ndio utaelewa huyu alikuwa ni kusudi la Mungu, kwanza alifanya mambo ambayo kwa akili za kawaida au za kisiasa yalioneka ni kama ndoto za mchana. Mfano aliposema serikali itahamia Dodoma wengi wakadai haiwezekani hakuna fedha lakini walihamia, aliposema atajenga bwana la Nyerere wengi walidai ni ngumu lakini yeye alijenga, aliposema atamaliza foleni DSM wengi walimuona anaota lakini ndani ya miezi michache foleni iliisha kama sio kupungua sana, aliposema atajenga reli ya SGR tena kwa gharama ndogo wengi waliona anaota, aliposema atafufua shirika la ndege wengi walisima hii kitu haiwezekani na imewashinda wengi, alposema atajenga daraja la kilometa tatu ziwa Victoria walisema anaota lakina daraja linajengwa, aliposema Tanzania hatutawekwa lock down dunia ilishanga na kweli hatukuwekwa na hivi sasa dunia nzima inaishi kama alivyotabiri yeye.
JPM aliwafungua macho watanzania, aliweka mambo mengi wazi ambayo huko nyuma yalionekana hayafai raia wa kawaida kufahamu, alikuwa na nguvu ya ajabu ambayo ilitisha kila mtu hasa wale wasio wema au hadui wa maendeleo, hii nguvu haikuwa ya kawaida ni nguvu isiyoonekana, nguvu hii iliambatana na mvuto mkubwa ambapo kila alipoongea au kupita watu walitaka kumsikia nini ataongea. Hii nguvu siyo kila mtu anayo, Mungu huwapa watu wachache kwa makusudi fulani fulani ingawaje unaweza kuchukiwa sana na wachache kutokana na kwamba sio kwamba hawakupendi bali hawapendi wewe hupendwe.
Wanazingua kinyama, ndio maana wakubwa wao wametulia tuuHao wajinga wana majinayao mawilitu, ben sanane na azori, alafu wakizidi sana wanaonyesha picha mbili za viloba kimoja kinaonekana kama na picha ya mtu na kingine huwezi kubashiri kama ndani kunanini ndio wanasema watu wameuwawa.
Nyumbu akiizao wamezikalia hawajui wanacho simamia.
Sasaivi wameungana na mafisadi kueneza poropaganda chafu dhidi ya magu kwasababu viongozi wao Magu aliwanyima asali.
Sasaivi wanalambishwa na nyumbu wameambiwa waunge mkono hoja ndiomaana unaona wanapost kila kauli ya mwana ccm anae jaribu kumchafua Magu.
Kwahiyo alituibia yeye kwa mujibu wako au wa Uttoh?Utouh amesema 1.2t imepigwa kipindi cha dhalimu. Sasa hizo Njozi na uchu na raslimali unatoka wapi? Yule alikuwa mzalendo wa mdomoni, lakini kiuhalisia alikuwa mumiani.
AiseeTatizo Magufuli alitaka kupambana na nguvu ya Lissu. Kamtwanga Lissu risasi akapona. Kwenye uchaguzi katumia hila zote Lissu asipate chochote, lakini kaambulia miezi mitatu tu madarakani. Kamuacha Lissu yupo hai na analipwa stahiki zake na marupurupu yake aliyotaja kumnyima.
Uwezo wako wa kuelewa unaonyesha uko chini sana. Mada inasema anatajwa kwa sabaju ya wema, nami nasema mbona wabaya nao wanatajwa sana? Nini huelewi kijana?Uyo hitla anatajwa baada ya miaka hiyo 77 kama unavyo sema, lakini kuna waliotenda mema wanatajwa miaka karibia elfu mbili sasa.
Kwahiyo mtu kutajwa miakamingi haimaanishi alikuwa mbaya.
Kwa Magufuli kwa mtu kama wewe mlamba makombo ya mafisadi na chetichako feki lazima ulie mbaka siku unaingia kaburini maana ulikatiwa ulaji haramu.
Una ushahidiMizoga kibao ilikuwa inaelea ufukweni. Sasa nikiwataja utawajua? Maana hawakuwa watu maarufu.
Lisu alikuwa wakala wa mabwanyenye alidalalia raslimali zetu sanaTatizo Magufuli alitaka kupambana na nguvu ya Lissu. Kamtwanga Lissu risasi akapona. Kwenye uchaguzi katumia hila zote Lissu asipate chochote, lakini kaambulia miezi mitatu tu madarakani. Kamuacha Lissu yupo hai na analipwa stahiki zake na marupurupu yake aliyotaja kumnyima.
Alikopa shilingi ngapi na kaacha deni la shilingi ngapi na miradi yake ilitumia pesa ngapi ushahidi pleaseKaacha deni kubwa kuliko miradi aliyoinzisha. Labda kama ulikuwa unaamini propaganda zake, huku akiwa ameziba mdomo vyombo vya habari.
Hiyo trillion 39 aliyoikuta ilikuwa riba haitembei au ilikuwa imestackAlikuta deni la 39t wakati anaingia, hadi anaenda kuzimu kaacha deni likiwa 57t. Je alitekeleza miradi ya 20t kwa muda aliokaa madarakani?