Fundi Mchundo
Platinum Member
- Nov 9, 2007
- 10,448
- 8,705
Ulianza vizuri lakini ulinipoteza ulipotoa kauli ya ki mjomba Tom ya kuwa wahindi ni bora kuliko sisi.Ni moja ya swali huwa linanijia kichwani kila siku. Tanzania ni moja ya nchi ambazo zimebahatika kuwa na hawa watu pamoja na nchi ya Kenya.
Jamii ya wahindi wa Tanzania na Kenya, wana historia ndefu kwa hizi nchi. Na wengi mpaka babu zao wamezaliwa huku, ikimaanisha wana haki zote za uraia wao wa Tanzania.
Binafsi, hawa watu nimefanikiwa kupambana nao shuleni, nimesoma na wahindi baadhi kuanzia sekondari na
Kwanini huulizi kwanini wahindi huwaoni 👇👇Ni moja ya swali huwa linanijia kichwani kila siku. Tanzania ni moja ya nchi ambazo zimebahatika kuwa na hawa watu pamoja na nchi ya Kenya.
Jamii ya wahindi wa Tanzania na Kenya, wana historia ndefu kwa hizi nchi. Na wengi mpaka babu zao wamezaliwa huku, ikimaanisha wana haki zote za uraia wao wa Tanzania.
Binafsi, hawa watu nimefanikiwa kupambana nao shuleni, nimesoma na wahindi baadhi kuanzia sekondari na chuo nikibahatika kukutana nao. Na huku kwenye corporate world tunafanya nao kazi.
Kiufupi, hawa jamaa wapo smart sana na wanatuzidi kwa mbali sana sisi weusi. Moja kwa kwenye elimu, mbili kwenye management, tatu kwenye biashara.
Ukifananisha mabenki ya kihindi na yale yanayoongozwa na waswahili, utathibitisha nisemacho.
Dukuduku langu ni?? Kwanini wanasahaulika kwenye uongozi?????
Nchi kama Marekani na Uingereza, kwa miongo miwili iliyopita, jamii ya wahindi imekuwa ikipata chance sana kwenye management, na kikubwa ni kwasababu, wanajua.
Minister of Funance wa uingereza sasahivi anaitwa Rishi Sunak ni Muhindi halafu jamaa pia ana origin ya wagindi wa Tanzania na Kenya
Ceo wa Microsoft ni Muhindi Satya Nadella
CEO wa Google ni Muhindi
Na kuna makampuni mengine mengi America yanaongozwa na wahindi, maana yake ni kwamba hawa watu wana inborn quality kwenye management, na wanapaswa kutumiwa.
Huwa nahuzunika sana nikiona tuna hizi rasilimali watu ambazo hazitumiki ipasavyo.
Mnisamehe naandika bila mpango betri inaisha..
Neno smart linatafsiri kubwa sana kwa kila namna hawa jamaa hawako kwenye category ya watu smart nabisha ilo na nitaendelea kubisha. Kinachowabeba ni unyenyekevu wao wakinafki wakitaka chao na ilo ndio linalowabeba, nchi ambayo huwezi tuma hela kwenda nje ya nchi kama sio ubinafsi ni nini?Nadhani hujajua usmart haupimwi kwa kuongoza darasani,unawezaje kusema watu ambao hawazidi mil 2 na wanamiliki zaidi ya asilimia sabini ya uchumi wote wa Tz ni vilaza?unajua wanamiliki zaidi ya asilimia sitini ya kampuni zote kubwa Tz?
Ni kwasababu jamii ya kiafrika nayo imesahaulika kwny teuzi huko indiaNi moja ya swali huwa linanijia kichwani kila siku. Tanzania ni moja ya nchi ambazo zimebahatika kuwa na hawa watu pamoja na nchi ya Kenya.
Jamii ya wahindi wa Tanzania na Kenya, wana historia ndefu kwa hizi nchi. Na wengi mpaka babu zao wamezaliwa huku, ikimaanisha wana haki zote za uraia wao wa Tanzania.
Binafsi, hawa watu nimefanikiwa kupambana nao shuleni, nimesoma na wahindi baadhi kuanzia sekondari na chuo nikibahatika kukutana nao. Na huku kwenye corporate world tunafanya nao kazi.
Kiufupi, hawa jamaa wapo smart sana na wanatuzidi kwa mbali sana sisi weusi. Moja kwa kwenye elimu, mbili kwenye management, tatu kwenye biashara.
Wahindi wako dunia nzima. Mkuu wa IMF kama si WBni Mhindi. Halafu ujue kuna wahindi Watanzania. Nao pia Wana haki na hii nchi.Na kwanini wanapenda kukaa kwenye nchi zenye siasa uchwara?
Professor pratap, hakuna kama yeye Tanzania nzima. Anafundisha Biology karibia vyuo vyote Tanzania , hasa UDSM na matawi yake yote, pia nasikia na Muhimbili anakwenda kufundisha. Ni Mtanzaniamhindi.Kwanini huulizi kwanini wahindi huwaoni [emoji116][emoji116]
- Nurses huko zahanati ya kata
- Walimu shule za kata
- Police
- Wanajeshi
- Watumishi halmashauri huko
Acha kukariri. Dewji ni mmiliki wa Simba tangu lini?Mmiliki wa Simba ni Mohammed Dewji, mdhamin wa Yanga anaitwa Ghalib Mohamed.
Hao hujawaona mkuu?
Nazungumzia shule za secondary za umma wewe unaleta stori zisizoeleweka.Professor pratap, hakuna kama yeye Tanzania nzima. Anafundisha Biology karibia vyuo vyote Tanzania , hasa UDSM na matawi yake yote, pia nasikia na Muhimbili anakwenda kufundisha. Ni Mtanzaniamhindi.
Kama wana vigezo na sifa wanayo badi wateuliwe.lakini wahindi wengi walioko Tanzania wanapenda biashara kuliko masomo. DSM kuna shule nyingi za wahindi mfano Indian School kule Temeke .lakini huwezi kukuta wahindi wanafika chuo kikuu, Ila kariakoo, Mlimani city, na Posta wenye maduka makubwa ni wahindi.
#"BSc compture science".....ulifanyaje ukafika India?Napingana na wewe sana kwenye usmart hawa jamaa ni ovyo kabisa nimesoma nchini kwao hamna vilaza kama hao wanatusifia sana kwa waAfrica wenyewe akili, chuo nilichokuwepo tu kwenye notice board kulikuwa na waTz waliofanya vizuri na kuongoza kuzidi hao way back tena kwenye course ngumu kuliko zote hapo chuoni BSc Compture Science.
Walichotuzidi hamna zaidi ubinafsi na uchafu.
Sent from my 601SO using JamiiForums mobile app
Kwanza wahindi wa India sio hawa wa Tanzania, hawa ambao wapo Tanzania wengi si wahindu ama waisilamu wa Sunni, ni mashia na wengi sio Shia mainstream Bali ni minority ambao wapo Sponsored baadhi na uingereza ama Iran etc.Napingana na wewe sana kwenye usmart hawa jamaa ni ovyo kabisa nimesoma nchini kwao hamna vilaza kama hao wanatusifia sana kwa waAfrica wenyewe akili, chuo nilichokuwepo tu kwenye notice board kulikuwa na waTz waliofanya vizuri na kuongoza kuzidi hao way back tena kwenye course ngumu kuliko zote hapo chuoni BSc Compture Science.
Walichotuzidi hamna zaidi ubinafsi na uchafu.
Sent from my 601SO using JamiiForums mobile app
India ubaguzi upo kwenye katiba, kuna watu wamezaliwa kuwa madobi tu, wengine wamezaliwa kuwa wafalme, wengine wamezaliwa kuwa wabeba mizigo etc. Mpaka kwenye daftari unaandika caste yako.Kuna wale jamaa wanaitwa siddi wako India wana asaili ya Africa inasemekana wametokea Kenya, sasa hao jamaa wanaisha maisha ya kubaguliwa kinoma wanawatreat kama last class citizens, hawa jamaa ni ovyo sana kuwapa ata nafasi ya kuwa wajumbe wa nyumba kumi ni kutukosea heshimu sana Watz na Africa kwa ujumla. Washukuru British kuwapa upendeleo lasivo wa kuwapa exposure lasivo ni very primitive society.
Sent from my 601SO using JamiiForums mobile app
Ghalib ni chotara wa kiarabu na kibantu.Mmiliki wa Simba ni Mohammed Dewji, mdhamin wa Yanga anaitwa Ghalib Mohamed.
Hao hujawaona mkuu?
Ndio maana nasema wamepata priority ya kwenda nje wengi refer to story ya Victoria na Abdul, hawa jamaa hawa cha kutuzidi nitasimama kwenye iloKwanza wahindi wa India sio hawa wa Tanzania, hawa ambao wapo Tanzania wengi si wahindu ama waisilamu wa Sunni, ni mashia na wengi sio Shia mainstream Bali ni minority ambao wapo Sponsored baadhi na uingereza ama Iran etc.
Mfano kama Ismailia ambao wapo wengi kiongozi wao ni Aga khan, yupo uingereza hawa waki graduate Tanzania wa naenda kokote Duniani alipo Muingereza, iwe Australia, Kenya, uingereza, Canada etc. Na elimu yao sio hii ya Necta wanasoma mitaala ya Uingereza.
Hawa ndio wameijenga Tanzania kuanzia
1. Jina lenyewe la Tanzania
2. Mahospitali makubwa kama Muhimbili na Amana
3. Mashule mbalimbali kama Tambaza, mzizima na mengine katikati ya jiji etc.
Nyerere mwenyewe hawa alikuwa akiwa respect sana.
Kuhusu usmart ndio wengi ni smart na wamesoma kuliko muhindi average uliyemkuta India, nawafahamu wengi wanashika vitengo vingi duniani, kuna mmoja namfahamu muda mrefu kagraduate hapa Tanzania then straight ameanza kazi the Hague.
Unataka kujua ikusaidie nini sio agenda iyo.#"BSc compture science".....ulifanyaje ukafika India?