Ni kwanini Jina la YESU linafukuza mapepo tofauti na Jina Allah au Yehova?

Baada ya Yesu kupaa Mbinguni,

Mbona Jina lake Hadi Leo Lina mamlaka ya kufukuza mapepo na kuponya magonjwa?

Fafanua hapo.
Linafukuzaje mapepo na magojwa

sijawahi kuona mgonjwa au hayo mapepo yametoka kwa jina la yesu zaid ya usanii tu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…