BLACKTIGER JF-Expert Member Joined Dec 21, 2012 Posts 1,568 Reaction score 1,923 Jan 11, 2025 #561 Rabbon said: Baada ya Yesu kupaa Mbinguni, Mbona Jina lake Hadi Leo Lina mamlaka ya kufukuza mapepo na kuponya magonjwa? Fafanua hapo. Click to expand... Linafukuzaje mapepo na magojwa sijawahi kuona mgonjwa au hayo mapepo yametoka kwa jina la yesu zaid ya usanii tu!
Rabbon said: Baada ya Yesu kupaa Mbinguni, Mbona Jina lake Hadi Leo Lina mamlaka ya kufukuza mapepo na kuponya magonjwa? Fafanua hapo. Click to expand... Linafukuzaje mapepo na magojwa sijawahi kuona mgonjwa au hayo mapepo yametoka kwa jina la yesu zaid ya usanii tu!
gallow bird JF-Expert Member Joined Aug 10, 2024 Posts 3,915 Reaction score 6,272 Jan 11, 2025 #562 kichongeochuma said: Kwa imani yako Click to expand... Imani yangu kivipi?..ukitumia neno shetani basi umetumia neno la kiarabu,ukitaka maana yako tafuta neno jingine
kichongeochuma said: Kwa imani yako Click to expand... Imani yangu kivipi?..ukitumia neno shetani basi umetumia neno la kiarabu,ukitaka maana yako tafuta neno jingine