A Peculiar people
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 612
- 773
Ase.. people are this blind🙌..Agano jipya n kitabu Cha kisiasa,mweny KUSOMA atafahamu ,ukisoma pasina ushabiki utaona kuna kampeni za kisiasa kati ya Dola(Rumi) na wayahudi,tena kuhusu suala la masihi , wayahud waliamin kuja kwa masihi atayewaondoa watesi wao(Rumi) hii imani iliwafanya wafanye uasi dhidi ya tawala ya Rumi,mwaka 66A.D walifanikiwa kuyaondoa majeshi ya Rumi kitu kilichofanya kaisari Nero amtume Jenerali Vespasian aliyeongozana na mwanae Tito aliyekuwa na mdogo wake na kijana wa kiyahud aitwaye Josephas ambaye n mwanahistoria wa Karne ya kwanza mweny heshima kubwa katika ulimwengu wa kikristo,ambapo kipindi vita inaendelea Vespasian alirudi Rumi na kuapishwa kuwa Kaisari huku akimuacha mtoto wake Tito akiendelea na vita huko Yudea,ambapo mwaka 70AD Tito na majeshi yake ya Rumi aliuangamiza Yerusalem na hekalu .licha ya yote kutokea Wayahud hawakukubali kumuita Tito bwana na zaidi waliendelea na ile Imani kwamba masihi atakuja kuwakomboa,hivyo Tito pamoja na Josephas ambaye alikuwa n adopted son katka familia ya Vespasian na ambaye alikuwa n kijana wa kiyahudi mweny elimu katka dini ya kiyahud walitengeneza mfumo wa kiimani utakaoleta amani(Christianity) kwa kutunga story ya Yesu kuonyesha ushindi wa Tito dhid ya wayahud (kifo Cha Yesu msalabani) ambayo n lugha ya picha kwamba Yesu alikufa ijumaa ambayo ilikuwa siku ya maandalizi ya Wayahud na Jumaamosi akashinda kaburini ambayo n siku ya Ibada kwa dini ya Kiyahudi,halafu siku ya Jumapili alfajir anafufuka,je hii inamaanisha nin?,pasina ushabiki hii inamaanisha kufa kwa Imani ya kiyahud na kuinuka kwa imani ya Kirumi(ukristo),na Yesu aliyeshinda mauti si mwingine n Tito ambaye ndiye Mwana wa Adamu ambayo kwenye Biblia Kuna vifungu unatabiriwa ujio wake ,kwamba wa mama wa Israel waombe kukimbia kwao kusiwe wakati wa barid ama sabato na aliye juu ya dari asishuke,hii kitu sio kwamba n utabiri hapana hii iliandikwa baada ya vita kumthibitisha Tito Kam masihi na baba yake Vespasian Kam n mtawala wa vyote katika ulimwengu.hivyo Tito ndio Mwana na Vespasian ndio Baba,Tito (Mwana) anamtukuza Vespasian (Baba) naye Baba anamtukuza Mwana,nyumbani kwa baba yake(Rumi) Kuna makao mengi.Watch out ndgu zangu,,we are the lost sheep of the house of Israel
Inamaana kwa bandiko lako hili watu wamepotea?
Umesoma Biblia?