Ni kwanini Jina la YESU linafukuza mapepo tofauti na Jina Allah au Yehova?

Ni kwanini Jina la YESU linafukuza mapepo tofauti na Jina Allah au Yehova?

Agano jipya n kitabu Cha kisiasa,mweny KUSOMA atafahamu ,ukisoma pasina ushabiki utaona kuna kampeni za kisiasa kati ya Dola(Rumi) na wayahudi,tena kuhusu suala la masihi , wayahud waliamin kuja kwa masihi atayewaondoa watesi wao(Rumi) hii imani iliwafanya wafanye uasi dhidi ya tawala ya Rumi,mwaka 66A.D walifanikiwa kuyaondoa majeshi ya Rumi kitu kilichofanya kaisari Nero amtume Jenerali Vespasian aliyeongozana na mwanae Tito aliyekuwa na mdogo wake na kijana wa kiyahud aitwaye Josephas ambaye n mwanahistoria wa Karne ya kwanza mweny heshima kubwa katika ulimwengu wa kikristo,ambapo kipindi vita inaendelea Vespasian alirudi Rumi na kuapishwa kuwa Kaisari huku akimuacha mtoto wake Tito akiendelea na vita huko Yudea,ambapo mwaka 70AD Tito na majeshi yake ya Rumi aliuangamiza Yerusalem na hekalu .licha ya yote kutokea Wayahud hawakukubali kumuita Tito bwana na zaidi waliendelea na ile Imani kwamba masihi atakuja kuwakomboa,hivyo Tito pamoja na Josephas ambaye alikuwa n adopted son katka familia ya Vespasian na ambaye alikuwa n kijana wa kiyahudi mweny elimu katka dini ya kiyahud walitengeneza mfumo wa kiimani utakaoleta amani(Christianity) kwa kutunga story ya Yesu kuonyesha ushindi wa Tito dhid ya wayahud (kifo Cha Yesu msalabani) ambayo n lugha ya picha kwamba Yesu alikufa ijumaa ambayo ilikuwa siku ya maandalizi ya Wayahud na Jumaamosi akashinda kaburini ambayo n siku ya Ibada kwa dini ya Kiyahudi,halafu siku ya Jumapili alfajir anafufuka,je hii inamaanisha nin?,pasina ushabiki hii inamaanisha kufa kwa Imani ya kiyahud na kuinuka kwa imani ya Kirumi(ukristo),na Yesu aliyeshinda mauti si mwingine n Tito ambaye ndiye Mwana wa Adamu ambayo kwenye Biblia Kuna vifungu unatabiriwa ujio wake ,kwamba wa mama wa Israel waombe kukimbia kwao kusiwe wakati wa barid ama sabato na aliye juu ya dari asishuke,hii kitu sio kwamba n utabiri hapana hii iliandikwa baada ya vita kumthibitisha Tito Kam masihi na baba yake Vespasian Kam n mtawala wa vyote katika ulimwengu.hivyo Tito ndio Mwana na Vespasian ndio Baba,Tito (Mwana) anamtukuza Vespasian (Baba) naye Baba anamtukuza Mwana,nyumbani kwa baba yake(Rumi) Kuna makao mengi.Watch out ndgu zangu,,we are the lost sheep of the house of Israel
Ase.. people are this blind🙌..

Inamaana kwa bandiko lako hili watu wamepotea?

Umesoma Biblia?
 
Ulimwengu wa mwili kuna mengi yamefichika na hasa kwa upande wa binadamu. Ndiposa tuna ambiwa kuwa kumkufuru baba Mungu au mwana kuna msamaha kama kufuru hiyo ikiungamwa na mhusika.
Lakini kumkufuru roho mtakatifu hakuna msamaha katika ulimwengu huu wala ule ujao.
Ulimwengu huu wa mwili kuna mapungufu mengi ya kutokupambanua ndiyo maana watu huchukuliwa na kila upepo wa kiimani kumhusu Mungu.
Mapepo (majini) ni ya daraja lingine juu ya mwanadamu katika mambo ya rohoni. Yana ufahamu juu ya mamlaka iliyopo ndani ya Jina la Yesu. Wanajua fika kuwa hawana hiari dhidi ya mamlaka iliyo nyuma ya jina la Yesu ila kutii.
Na pia wanajua mtu aliye na hayo mamlaka ya hili jina la Yesu na yule asiye nayo.
Hivyo anapoamrishwa na yule mwenye kupewa mamlaka ya kulitumia hana hiari ila kutii.
Mitume na manabii wote walikufa na miili yao ipo makaburini wakisubiri kufufuliwa siku ya kiama.
Lakini Yesu yeye aliye shangwe ya mbingu na tumaini la dunia, yuu hai milele na milele akiisha kufufuka kwa kushinda kifo na kaburi(mauti na kuzimu).
Malango yote ya kuzimu yaliyojitokeza baada ya uasi yamewekwa chini ya miguu ya Yesu na sii ya mwingine yeyote.
Adui wa mwisho katika haya malango ya kuzimu atakaye wekwa chini ya miguu ya Yesu na kuhitimishwa ni mauti katika ile kiama ya wafu.
Hayupo pepo awaye yote au malaika asiye anguka na kukiri kwa ulimi wake ya kwanba Yesu ni Bwana kwamba ni kwa uzima au kwa kudharauliwa milele.
 
Agano jipya n kitabu Cha kisiasa,mweny KUSOMA atafahamu ,ukisoma pasina ushabiki utaona kuna kampeni za kisiasa kati ya Dola(Rumi) na wayahudi,tena kuhusu suala la masihi , wayahud waliamin kuja kwa masihi atayewaondoa watesi wao(Rumi) hii imani iliwafanya wafanye uasi dhidi ya tawala ya Rumi,mwaka 66A.D walifanikiwa kuyaondoa majeshi ya Rumi kitu kilichofanya kaisari Nero amtume Jenerali Vespasian aliyeongozana na mwanae Tito aliyekuwa na mdogo wake na kijana wa kiyahud aitwaye Josephas ambaye n mwanahistoria wa Karne ya kwanza mweny heshima kubwa katika ulimwengu wa kikristo,ambapo kipindi vita inaendelea Vespasian alirudi Rumi na kuapishwa kuwa Kaisari huku akimuacha mtoto wake Tito akiendelea na vita huko Yudea,ambapo mwaka 70AD Tito na majeshi yake ya Rumi aliuangamiza Yerusalem na hekalu .licha ya yote kutokea Wayahud hawakukubali kumuita Tito bwana na zaidi waliendelea na ile Imani kwamba masihi atakuja kuwakomboa,hivyo Tito pamoja na Josephas ambaye alikuwa n adopted son katka familia ya Vespasian na ambaye alikuwa n kijana wa kiyahudi mweny elimu katka dini ya kiyahud walitengeneza mfumo wa kiimani utakaoleta amani(Christianity) kwa kutunga story ya Yesu kuonyesha ushindi wa Tito dhid ya wayahud (kifo Cha Yesu msalabani) ambayo n lugha ya picha kwamba Yesu alikufa ijumaa ambayo ilikuwa siku ya maandalizi ya Wayahud na Jumaamosi akashinda kaburini ambayo n siku ya Ibada kwa dini ya Kiyahudi,halafu siku ya Jumapili alfajir anafufuka,je hii inamaanisha nin?,pasina ushabiki hii inamaanisha kufa kwa Imani ya kiyahud na kuinuka kwa imani ya Kirumi(ukristo),na Yesu aliyeshinda mauti si mwingine n Tito ambaye ndiye Mwana wa Adamu ambayo kwenye Biblia Kuna vifungu unatabiriwa ujio wake ,kwamba wa mama wa Israel waombe kukimbia kwao kusiwe wakati wa barid ama sabato na aliye juu ya dari asishuke,hii kitu sio kwamba n utabiri hapana hii iliandikwa baada ya vita kumthibitisha Tito Kam masihi na baba yake Vespasian Kam n mtawala wa vyote katika ulimwengu.hivyo Tito ndio Mwana na Vespasian ndio Baba,Tito (Mwana) anamtukuza Vespasian (Baba) naye Baba anamtukuza Mwana,nyumbani kwa baba yake(Rumi) Kuna makao mengi.Watch out ndgu zangu,,we are the lost sheep of the house of Israel
Yaani ulivyo zungumzia Agano Jipya..

Hili hili la Matthew- ufunuo.. Asee

Doctrine ambayo inajenga Ukristo ni kuzaliwa kwake Yesu.. Kufa kwake.. Kufufuka kwake na kurudi kwake.. Ukiona unafundishwa nje ya hapa ujue upo katika njia ambayo sio sahihi na lazima upotoshwe..
 
Agano jipya n kitabu Cha kisiasa,mweny KUSOMA atafahamu ,ukisoma pasina ushabiki utaona kuna kampeni za kisiasa kati ya Dola(Rumi) na wayahudi,tena kuhusu suala la masihi , wayahud waliamin kuja kwa masihi atayewaondoa watesi wao(Rumi) hii imani iliwafanya wafanye uasi dhidi ya tawala ya Rumi,mwaka 66A.D walifanikiwa kuyaondoa majeshi ya Rumi kitu kilichofanya kaisari Nero amtume Jenerali Vespasian aliyeongozana na mwanae Tito aliyekuwa na mdogo wake na kijana wa kiyahud aitwaye Josephas ambaye n mwanahistoria wa Karne ya kwanza mweny heshima kubwa katika ulimwengu wa kikristo,ambapo kipindi vita inaendelea Vespasian alirudi Rumi na kuapishwa kuwa Kaisari huku akimuacha mtoto wake Tito akiendelea na vita huko Yudea,ambapo mwaka 70AD Tito na majeshi yake ya Rumi aliuangamiza Yerusalem na hekalu .licha ya yote kutokea Wayahud hawakukubali kumuita Tito bwana na zaidi waliendelea na ile Imani kwamba masihi atakuja kuwakomboa,hivyo Tito pamoja na Josephas ambaye alikuwa n adopted son katka familia ya Vespasian na ambaye alikuwa n kijana wa kiyahudi mweny elimu katka dini ya kiyahud walitengeneza mfumo wa kiimani utakaoleta amani(Christianity) kwa kutunga story ya Yesu kuonyesha ushindi wa Tito dhid ya wayahud (kifo Cha Yesu msalabani) ambayo n lugha ya picha kwamba Yesu alikufa ijumaa ambayo ilikuwa siku ya maandalizi ya Wayahud na Jumaamosi akashinda kaburini ambayo n siku ya Ibada kwa dini ya Kiyahudi,halafu siku ya Jumapili alfajir anafufuka,je hii inamaanisha nin?,pasina ushabiki hii inamaanisha kufa kwa Imani ya kiyahud na kuinuka kwa imani ya Kirumi(ukristo),na Yesu aliyeshinda mauti si mwingine n Tito ambaye ndiye Mwana wa Adamu ambayo kwenye Biblia Kuna vifungu unatabiriwa ujio wake ,kwamba wa mama wa Israel waombe kukimbia kwao kusiwe wakati wa barid ama sabato na aliye juu ya dari asishuke,hii kitu sio kwamba n utabiri hapana hii iliandikwa baada ya vita kumthibitisha Tito Kam masihi na baba yake Vespasian Kam n mtawala wa vyote katika ulimwengu.hivyo Tito ndio Mwana na Vespasian ndio Baba,Tito (Mwana) anamtukuza Vespasian (Baba) naye Baba anamtukuza Mwana,nyumbani kwa baba yake(Rumi) Kuna makao mengi.Watch out ndgu zangu,,we are the lost sheep of the house of Israel
Umeandika Ujinga Kwa kirefu sana.
 
Umeandika Ujinga Kwa kirefu.
Imani pasina maarifa n upuuzi,kwa hyo na wew unamsubiri Mwana wa Adamu aje na jeshi la malaika wake ili achukue wateule?,,,kwel Kam unamsubiri utasubiri sana ndgu usiye na maarifa
 
Yaani ulivyo zungumzia Agano Jipya..

Hili hili la Matthew- ufunuo.. Asee

Doctrine ambayo inajenga Ukristo ni kuzaliwa kwake Yesu.. Kufa kwake.. Kufufuka kwake na kurudi kwake.. Ukiona unafundishwa nje ya hapa ujue upo katika njia ambayo sio sahihi na lazima upotoshwe..
Watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa,unawafahamu waandishi wa agano jipya?
 
kwa hivyo hayo mapepo yaliyoondolewa na Yesu yalibaki kwa waafrika peke yao maana hatuoni wazungu wakiondolewa hayo mapepo
Wazungu mbona wanamapepo nao, au huangalii mahubiri ya Injiri ya huko Ulaya. T. B. Joshua kawatoa sana Mapepo wazungu. Kwa Jina la Yesu
 
Salaam, shalom!!

Mods acheni mjadala huu upate majibu Toka Kwa wadau.

Nimeishi miaka mingi duniani Hadi sasa, na sijawahi kukutana na shehe au pastor akifukuza Roho chafu zilizowapagaa watu Kwa Jina la YEHOVA au Allah!!

Kwanini Jina YESU Lina nguvu kiasi hicho?

Karibuni🙏
Sasa,uliwahi kuona wapi ndugu wapendwa kuondoana au kufukuzana sehemu wanayopenda kujituliza kama kasuku?
 
Hivi mbona wenzetu hawatoi Mapepo ?
Yaani hata kuyakemea tu kiugomvi ugomvi hawayakemei.
Au huwa wanayauliza kwanza kama ni mema au maovu 🤔
Ninini kipo Nyuma ya pazia ?
 
Agano jipya n kitabu Cha kisiasa,mweny KUSOMA atafahamu ,ukisoma pasina ushabiki utaona kuna kampeni za kisiasa kati ya Dola(Rumi) na wayahudi,tena kuhusu suala la masihi , wayahud waliamin kuja kwa masihi atayewaondoa watesi wao(Rumi) hii imani iliwafanya wafanye uasi dhidi ya tawala ya Rumi,mwaka 66A.D walifanikiwa kuyaondoa majeshi ya Rumi kitu kilichofanya kaisari Nero amtume Jenerali Vespasian aliyeongozana na mwanae Tito aliyekuwa na mdogo wake na kijana wa kiyahud aitwaye Josephas ambaye n mwanahistoria wa Karne ya kwanza mweny heshima kubwa katika ulimwengu wa kikristo,ambapo kipindi vita inaendelea Vespasian alirudi Rumi na kuapishwa kuwa Kaisari huku akimuacha mtoto wake Tito akiendelea na vita huko Yudea,ambapo mwaka 70AD Tito na majeshi yake ya Rumi aliuangamiza Yerusalem na hekalu .licha ya yote kutokea Wayahud hawakukubali kumuita Tito bwana na zaidi waliendelea na ile Imani kwamba masihi atakuja kuwakomboa,hivyo Tito pamoja na Josephas ambaye alikuwa n adopted son katka familia ya Vespasian na ambaye alikuwa n kijana wa kiyahudi mweny elimu katka dini ya kiyahud walitengeneza mfumo wa kiimani utakaoleta amani(Christianity) kwa kutunga story ya Yesu kuonyesha ushindi wa Tito dhid ya wayahud (kifo Cha Yesu msalabani) ambayo n lugha ya picha kwamba Yesu alikufa ijumaa ambayo ilikuwa siku ya maandalizi ya Wayahud na Jumaamosi akashinda kaburini ambayo n siku ya Ibada kwa dini ya Kiyahudi,halafu siku ya Jumapili alfajir anafufuka,je hii inamaanisha nin?,pasina ushabiki hii inamaanisha kufa kwa Imani ya kiyahud na kuinuka kwa imani ya Kirumi(ukristo),na Yesu aliyeshinda mauti si mwingine n Tito ambaye ndiye Mwana wa Adamu ambayo kwenye Biblia Kuna vifungu unatabiriwa ujio wake ,kwamba wa mama wa Israel waombe kukimbia kwao kusiwe wakati wa barid ama sabato na aliye juu ya dari asishuke,hii kitu sio kwamba n utabiri hapana hii iliandikwa baada ya vita kumthibitisha Tito Kam masihi na baba yake Vespasian Kam n mtawala wa vyote katika ulimwengu.hivyo Tito ndio Mwana na Vespasian ndio Baba,Tito (Mwana) anamtukuza Vespasian (Baba) naye Baba anamtukuza Mwana,nyumbani kwa baba yake(Rumi) Kuna makao mengi.Watch out ndgu zangu,,we are the lost sheep of the house of Israel
Those about to die....
 
Sijawahi kumuona Papa anawatoa watu mapepo namuona kiboko ya wachiwi tu akitoa watu mapepo na kupiga laki 5 Kila kichwa
 
Yohana 1:1.,2.,3.,4.
1. Hapo mwanzo kulikuwako Neno, naye Neno alikuwako kwa Mungu, naye Neno alikuwa Mungu. 2. Huyo mwanzo alikuwako kwa Mungu. 3. Vyote vilifanyika kwa huyo; wala pasipo yeye hakikufanyika cho chote kilichofanyika. 4. Ndani yake ndimo ulimokuwa uzima, nao ule uzima ulikuwa nuru ya watu.
 
Sijawahi kumuona Papa anawatoa watu mapepo namuona kiboko ya wachiwi tu akitoa watu mapepo na kupiga laki 5 Kila kichwa
unaijua exorcism

jana nilisema hivi.. Watu wengi wanapigwa kwasababu hawaijui kweli na wanaojua hawataki kufata principles..

lakini haimaanishi Ukristo ni uongo,porojo au siasa..

na kiukweli Ukristo sio dini ni maisha halisi
 
Yesu kusema ana mamlaka yote Mbinguni na Duniani hamwoni kuwa anaweza yote na ni Mungu tu mwenye hayo Mamlaka ?
.............
Mathayo 28:17
Nao walipomwona, walimsujudia; lakini baadhi yao waliona shaka.
18 Yesu akaja kwao, akasema nao, akawaambia, Nimepewa mamlaka yote mbinguni na duniani.
...........
Mwenye mamlaka yote ndiye mwanzilishi wa Kanisa, na kawapa Wafuasi wake funguo za Mbinguni.
...........
Mathayo 16:18
Nami nakuambia, Wewe ndiwe Petro, na juu ya mwamba huu nitalijenga kanisa langu; wala milango ya kuzimu haitalishinda.
19 Nami nitakupa wewe funguo za ufalme wa mbinguni; na lo lote utakalolifunga duniani, litakuwa limefungwa mbinguni; na lo lote utakalolifungua duniani, litakuwa limefunguliwa mbinguni.
..............
Hamwoni kuwa wote mnastahili kuwa wanafunzi wake kama alivyo agiza?
..........
Mathayo 28:19
Basi, enendeni, mkawafanye mataifa yote kuwa wanafunzi, mkiwabatiza kwa jina la Baba, na Mwana, na Roho Mtakatifu;
20 na kuwafundisha kuyashika yote niliyowaamuru ninyi; na tazama, mimi nipo pamoja nanyi siku zote, hata ukamilifu wa dahari.
............
 
Yesu kusema ana mamlaka yote Mbinguni na Duniani hamwoni kuwa anaweza yote na ni Mungu tu mwenye hayo Mamlaka ?
.............
Mathayo 28:17
Nao walipomwona, walimsujudia; lakini baadhi yao waliona shaka.
18 Yesu akaja kwao, akasema nao, akawaambia, Nimepewa mamlaka yote mbinguni na duniani.
...........
Mwenye mamlaka yote ndiye mwanzilishi wa Kanisa, na kawapa Wafuasi wake funguo za Mbinguni.
...........
Mathayo 16:18
Nami nakuambia, Wewe ndiwe Petro, na juu ya mwamba huu nitalijenga kanisa langu; wala milango ya kuzimu haitalishinda.
19 Nami nitakupa wewe funguo za ufalme wa mbinguni; na lo lote utakalolifunga duniani, litakuwa limefungwa mbinguni; na lo lote utakalolifungua duniani, litakuwa limefunguliwa mbinguni.
..............
Hamwoni kuwa wote mnastahili kuwa wanafunzi wake kama alivyo agiza?
..........
Mathayo 28:19
Basi, enendeni, mkawafanye mataifa yote kuwa wanafunzi, mkiwabatiza kwa jina la Baba, na Mwana, na Roho Mtakatifu;
20 na kuwafundisha kuyashika yote niliyowaamuru ninyi; na tazama, mimi nipo pamoja nanyi siku zote, hata ukamilifu wa dahari.
............
Na Jina la Roho mtakatifu, anaitwa Roho wa Yesu.

Na Jina la mwana ndiye Yesu Kristo.

Na Jina la baba ndilo Hilo Hilo pia Yesu KRISTO.
 
Sijawahi kumuona Papa anawatoa watu mapepo namuona kiboko ya wachiwi tu akitoa watu mapepo na kupiga laki 5 Kila kichwa
Sasa papa Si mkristo, ni kiongozi wa Dini ya kipagani. Waabudu sanamu.
 
Sasa papa Si mkristo, ni kiongozi wa Dini ya kipagani. Waabudu sanamu.
Papa asingedhibitiwa nina uhakika lengo lake lilikuwa ni kuwaozesha Mashoga Kanisani Roman Katoriki.
Alikuwa anakuja mdogo mdogo hadi Maaskofu wa huku Afrika walivyo mkemea.

Sasa Kiongozi kama huyo atapata wapi nguvu za Roho Mtakatifu za Kuyafukuza Mapepo ?
Lazima uwe na Ushirika wa kweli na Yesu Kristo, ndio uwe na uwezo wa Kuyakemea Mapepo na Yakakutii.

Simuhukumu Papa ila maamuzi yake yanathibitisha kuwa Yupo mbali na Yesu Kristo na anatakiwa kutubu.
 
Back
Top Bottom