Ni kwanini KEMET haipewi heshima yake katika ulimwengu huu?

Ni kwanini KEMET haipewi heshima yake katika ulimwengu huu?

mkushite

JF-Expert Member
Joined
Sep 2, 2021
Posts
666
Reaction score
1,619
Ni mara chache sana kukutana na msomi ukamuuliza habari za Kemet akakujibu kwa ufasaha. Hii inaonesha ni kwa kiasi gani knowledge ya Kemet iliyofichwa hasa hasa kwa waafrika ili kutodhihilisha ukuu wa mtu mweusi katika hii dunia.

Waafrika weusi wa Kemet walikuwa wamekwisha gundua kila kitu katika dunia hii yaani kuanzia technology, dini, matibabu, ujenzi, n.k.

Yaani civilization ya Kemet ilipokuwa imefikia hadi sasa bado hatujafika hata kidogo. Mfano mdogo ni ujenzi wa pyramid zilizojengwa zaidi ya miaka 2000 iliyopita, kwa sasa hakuna technology ambayo inaweza kueleza jinsi pyramid hizo zilivyo jengwa.

Wazungu wanatuambia kwamba Pythogorus ndiye aligundua Trignomotric wakati pyramid zimejengwa kabla ya Pythogorus na zimejengwa kwa kutumia hesabu za Trig.

Ukija kwenye dini hapo ndo kabisa unaona ni jinsi gani uyahudi, ukiristo na uislam walivyo iba imani za weusi na kutengeneza dini zao. Kila dini inamtaja Amen ambaye alikuwa Mungu mkuu kwenye list ya Mungu wa Kemet wao wanamuita Amun-Ra.

Na ukiristo una utatu mtakatifu yaan baba mwana na roho mtakatifu. Haina tofauti na Osiris, Isis na Horus. Ukiangalia sifa za Horus hazipishani sana na sifa za Jesus. Maat ndo amri 42 za Kemet ambazo katika amri 10 tunazozikuta kwenye biblia na quran zimetolewa mle.

Tutaokoa vizazi vyetu kama tukiweza kuwafundisha kuhusu habari za Kemet. Maana hapo ndipo historia kuu ya mtu mweusi imefichwa. Historia ya mtu mweusi haijaanza baada ya kuja wakoloni Afrika bali tulikuwa na historia yetu nzuri kabla ya ukoloni.
 
So what is really meaning of KEMET?.
Is this technology or religion?
Neno "Kemeti" linamaanisha "Nchi ya Nyeusi" au "Nchi ya Misri" katika lugha ya kale ya Misri. Katika muktadha wa kihistoria, "Kemeti" ilikuwa ni jina la kale kwa ajili ya taifa la Misri, ambalo lina sifa ya kuwa na utamaduni tajiri wa kihistoria, ikiwa ni pamoja na maendeleo ya maandishi, dini, ufalme, ujenzi wa majengo ya kifahari na ustaarabu wa kilimo. Pia, jina hilo linatumiwa mara nyingine kuelezea utamaduni wa zamani wa Misri kabla ya uvamizi wa Wagiriki na Warumi.
 
Neno "Kemeti" linamaanisha "Nchi ya Nyeusi" au "Nchi ya Misri" katika lugha ya kale ya Misri. Katika muktadha wa kihistoria, "Kemeti" ilikuwa ni jina la kale kwa ajili ya taifa la Misri, ambalo lina sifa ya kuwa na utamaduni tajiri wa kihistoria, ikiwa ni pamoja na maendeleo ya maandishi, dini, ufalme, ujenzi wa majengo ya kifahari na ustaarabu wa kilimo. Pia, jina hilo linatumiwa mara nyingine kuelezea utamaduni wa zamani wa Misri kabla ya uvamizi wa Wagiriki na Warumi.
Sasa hayo si Mambo ya misri mikuu.nikajuq ilikua ni africa nzima
 
Neno "Kemeti" linamaanisha "Nchi ya Nyeusi" au "Nchi ya Misri" katika lugha ya kale ya Misri. Katika muktadha wa kihistoria, "Kemeti" ilikuwa ni jina la kale kwa ajili ya taifa la Misri, ambalo lina sifa ya kuwa na utamaduni tajiri wa kihistoria, ikiwa ni pamoja na maendeleo ya maandishi, dini, ufalme, ujenzi wa majengo ya kifahari na ustaarabu wa kilimo. Pia, jina hilo linatumiwa mara nyingine kuelezea utamaduni wa zamani wa Misri kabla ya uvamizi wa Wagiriki na Warumi.
Wamisri wenyewe hawataki kuwanasabisha na weusi wa Africa,wanajuta suez canal kuwalwta afica ,sasa ya nini kujikomba kwao
 
Ni mara chache sana kukutana na msomi ukamuuliza habari za Kemet akakujibu kwa ufasaha. Hii inaonesha ni kwa kiasi gani knowledge ya Kemet iliyofichwa hasa hasa kwa waafrika ili kutodhihilisha ukuu wa mtu mweusi katika hii dunia.

Waafrika weusi wa Kemet walikuwa wamekwisha gundua kila kitu katika dunia hii yaani kuanzia technology, dini, matibabu, ujenzi, n.k.

Yaani civilization ya Kemet ilipokuwa imefikia hadi sasa bado hatujafika hata kidogo. Mfano mdogo ni ujenzi wa pyramid zilizojengwa zaidi ya miaka 2000 iliyopita, kwa sasa hakuna technology ambayo inaweza kueleza jinsi pyramid hizo zilivyo jengwa.

Wazungu wanatuambia kwamba Pythogorus ndiye aligundua Trignomotric wakati pyramid zimejengwa kabla ya Pythogorus na zimejengwa kwa kutumia hesabu za Trig.

Ukija kwenye dini hapo ndo kabisa unaona ni jinsi gani uyahudi, ukiristo na uislam walivyo iba imani za weusi na kutengeneza dini zao. Kila dini inamtaja Amen ambaye alikuwa Mungu mkuu kwenye list ya Mungu wa Kemet wao wanamuita Amun-Ra.

Na ukiristo una utatu mtakatifu yaan baba mwana na roho mtakatifu. Haina tofauti na Osiris, Isis na Horus. Ukiangalia sifa za Horus hazipishani sana na sifa za Jesus. Maat ndo amri 42 za Kemet ambazo katika amri 10 tunazozikuta kwenye biblia na quran zimetolewa mle.

Tutaokoa vizazi vyetu kama tukiweza kuwafundisha kuhusu habari za Kemet. Maana hapo ndipo historia kuu ya mtu mweusi imefichwa. Historia ya mtu mweusi haijaanza baada ya kuja wakoloni Afrika bali tulikuwa na historia yetu nzuri kabla ya ukoloni.
Waswahili wanakwambia "Mla mla leo, mla jana kala nini?"
 
Hii mada ni ngumu kumesa kwa mtu ambaye hajachimbua historia ya kale ya Misri (Khemet) iliyokaliwa na kutawaliwa na watu weusi kabla ya wavamizi kuja kuivuruga na kusababisha wakimbilie kusini mwa jangwa la sahara.
Kiufupi Kemet ndiyo mother of civilization in this world.
Hotep
 
Wazungu walishangaa sana kuona kuwa civilisationa kubwa kama Misri ilianzishwa na mtu mweusi. Na kuwa mtu mweusi ni chimbuko la ustaarabu na elimu duniani. Yaani mtu ambaye ni mtumwa wao! ili kumzima kisaikolojia ikabidi walete stori nyingi za uongo na kutunga ili kumdidimiza mtu mweusi kifikra. Na bora mtu akudidimize kiuchumi unaweza kuinuka, lakini akikudidimiza kifikra kuwa hakuna unachojua au kuweza anakuwa amekumaliza kabisa.

Leo mtu mweusi kujifunza historia ya Misri ya kale na mambo ambayo babu zake walitimiza ni muhimu sana katika kumkomboa kifikra.
 
Neno "Kemeti" linamaanisha "Nchi ya Nyeusi" au "Nchi ya Misri" katika lugha ya kale ya Misri. Katika muktadha wa kihistoria, "Kemeti" ilikuwa ni jina la kale kwa ajili ya taifa la Misri, ambalo lina sifa ya kuwa na utamaduni tajiri wa kihistoria, ikiwa ni pamoja na maendeleo ya maandishi, dini, ufalme, ujenzi wa majengo ya kifahari na ustaarabu wa kilimo. Pia, jina hilo linatumiwa mara nyingine kuelezea utamaduni wa zamani wa Misri kabla ya uvamizi wa Wagiriki na Warumi.
sio kweli hilo jina kemet wewe umelitoa wapii?
 
Back
Top Bottom