Ni kwanini KEMET haipewi heshima yake katika ulimwengu huu?

Ni kwanini KEMET haipewi heshima yake katika ulimwengu huu?

Ni mara chache sana kukutana na msomi ukamuuliza habari za Kemet akakujibu kwa ufasaha. Hii inaonesha ni kwa kiasi gani knowledge ya Kemet iliyofichwa hasa hasa kwa waafrika ili kutodhihilisha ukuu wa mtu mweusi katika hii dunia.

Waafrika weusi wa Kemet walikuwa wamekwisha gundua kila kitu katika dunia hii yaani kuanzia technology, dini, matibabu, ujenzi, n.k.

Yaani civilization ya Kemet ilipokuwa imefikia hadi sasa bado hatujafika hata kidogo. Mfano mdogo ni ujenzi wa pyramid zilizojengwa zaidi ya miaka 2000 iliyopita, kwa sasa hakuna technology ambayo inaweza kueleza jinsi pyramid hizo zilivyo jengwa.

Wazungu wanatuambia kwamba Pythogorus ndiye aligundua Trignomotric wakati pyramid zimejengwa kabla ya Pythogorus na zimejengwa kwa kutumia hesabu za Trig.

Ukija kwenye dini hapo ndo kabisa unaona ni jinsi gani uyahudi, ukiristo na uislam walivyo iba imani za weusi na kutengeneza dini zao. Kila dini inamtaja Amen ambaye alikuwa Mungu mkuu kwenye list ya Mungu wa Kemet wao wanamuita Amun-Ra.

Na ukiristo una utatu mtakatifu yaan baba mwana na roho mtakatifu. Haina tofauti na Osiris, Isis na Horus. Ukiangalia sifa za Horus hazipishani sana na sifa za Jesus. Maat ndo amri 42 za Kemet ambazo katika amri 10 tunazozikuta kwenye biblia na quran zimetolewa mle.

Tutaokoa vizazi vyetu kama tukiweza kuwafundisha kuhusu habari za Kemet. Maana hapo ndipo historia kuu ya mtu mweusi imefichwa. Historia ya mtu mweusi haijaanza baada ya kuja wakoloni Afrika bali tulikuwa na historia yetu nzuri kabla ya ukoloni.
Hizi porojo hizi kama tulivumbua mambo makubwa kabla ya ukoloni na utumwa wa wazungu,sasa hv mbona hatuvumbui chochote?hata kukopy tunashindwa,tumeweza kukopy mahubiri ya kitapeli kama ya Mwamposa,na lusekelo,
 
VIPI KAMA STORY ILITENGENEZWA ILI KUMNYONG'ONYESHA MTU MWEUSI?
Lakin si iliandikwa kwamba Ham mtu mweusi angetawaliwa na shem ( waarabu) na yafeth Mtu mweupe.

So ukiangalia utaona ni mwendelezo wa alichotamkiwa mweus na babaye.

Nadhan tungeangalia zaid namna ya kujikomboa toka hapo. Na kutengeneza makosa yale yaliyofanywa na Ancestor wetu. Ya kuangalia utupu wa babaye na kucheka.

Ila pia hao shem na yafeth nao wamemkataa Mungu muumba peupe. So ameamua kuja akishukia kwetu badala ya kwao. Wao wamebaki tu kama jina. Ila saa hii hawana tena jipya. Wanachofanya ni kutaka kututumia maana wanajua tuna Uhai na Mungu yuko kwetu.
 
Hizi porojo hizi kama tulivumbua mambo makubwa kabla ya ukoloni na utumwa wa wazungu,sasa hv mbona hatuvumbui chochote?hata kukopy tunashindwa,tumeweza kukopy mahubiri ya kitapeli kama ya Mwamposa,na lusekelo,
Utavumbua nini wakati washatumaliza kila kitu. Tumeletewa mfumo wa elimu unaotufanya tukariri tu! utavumbua nini kwa style hiyo?
 
Kamwe heshima hauwezi pewa hiv hiv tu , heshima unajipa mwenyewe kwanza then watu wengne watakupa , kama haujip heshima hauwez pata heshima hiyo kemeti ndicho kilicho wakuta.
 
Ni mara chache sana kukutana na msomi ukamuuliza habari za Kemet akakujibu kwa ufasaha. Hii inaonesha ni kwa kiasi gani knowledge ya Kemet iliyofichwa hasa hasa kwa waafrika ili kutodhihilisha ukuu wa mtu mweusi katika hii dunia.

Waafrika weusi wa Kemet walikuwa wamekwisha gundua kila kitu katika dunia hii yaani kuanzia technology, dini, matibabu, ujenzi, n.k.

Yaani civilization ya Kemet ilipokuwa imefikia hadi sasa bado hatujafika hata kidogo. Mfano mdogo ni ujenzi wa pyramid zilizojengwa zaidi ya miaka 2000 iliyopita, kwa sasa hakuna technology ambayo inaweza kueleza jinsi pyramid hizo zilivyo jengwa.

Wazungu wanatuambia kwamba Pythogorus ndiye aligundua Trignomotric wakati pyramid zimejengwa kabla ya Pythogorus na zimejengwa kwa kutumia hesabu za Trig.

Ukija kwenye dini hapo ndo kabisa unaona ni jinsi gani uyahudi, ukiristo na uislam walivyo iba imani za weusi na kutengeneza dini zao. Kila dini inamtaja Amen ambaye alikuwa Mungu mkuu kwenye list ya Mungu wa Kemet wao wanamuita Amun-Ra.

Na ukiristo una utatu mtakatifu yaan baba mwana na roho mtakatifu. Haina tofauti na Osiris, Isis na Horus. Ukiangalia sifa za Horus hazipishani sana na sifa za Jesus. Maat ndo amri 42 za Kemet ambazo katika amri 10 tunazozikuta kwenye biblia na quran zimetolewa mle.

Tutaokoa vizazi vyetu kama tukiweza kuwafundisha kuhusu habari za Kemet. Maana hapo ndipo historia kuu ya mtu mweusi imefichwa. Historia ya mtu mweusi haijaanza baada ya kuja wakoloni Afrika bali tulikuwa na historia yetu nzuri kabla ya ukoloni.
Copy paste
 
Hii mada ni ngumu kumesa kwa mtu ambaye hajachimbua historia ya kale ya Misri (Khemet) iliyokaliwa na kutawaliwa na watu weusi kabla ya wavamizi kuja kuivuruga na kusababisha wakimbilie kusini mwa jangwa la sahara.
Kiufupi Kemet ndiyo mother of civilization in this world.
Hotep
hao wavamizi watakua walikua wana teknolojia .wakawazidi kemet
 
Ni mara chache sana kukutana na msomi ukamuuliza habari za Kemet akakujibu kwa ufasaha. Hii inaonesha ni kwa kiasi gani knowledge ya Kemet iliyofichwa hasa hasa kwa waafrika ili kutodhihilisha ukuu wa mtu mweusi katika hii dunia.

Waafrika weusi wa Kemet walikuwa wamekwisha gundua kila kitu katika dunia hii yaani kuanzia technology, dini, matibabu, ujenzi, n.k.

Yaani civilization ya Kemet ilipokuwa imefikia hadi sasa bado hatujafika hata kidogo. Mfano mdogo ni ujenzi wa pyramid zilizojengwa zaidi ya miaka 2000 iliyopita, kwa sasa hakuna technology ambayo inaweza kueleza jinsi pyramid hizo zilivyo jengwa.

Wazungu wanatuambia kwamba Pythogorus ndiye aligundua Trignomotric wakati pyramid zimejengwa kabla ya Pythogorus na zimejengwa kwa kutumia hesabu za Trig.

Ukija kwenye dini hapo ndo kabisa unaona ni jinsi gani uyahudi, ukiristo na uislam walivyo iba imani za weusi na kutengeneza dini zao. Kila dini inamtaja Amen ambaye alikuwa Mungu mkuu kwenye list ya Mungu wa Kemet wao wanamuita Amun-Ra.

Na ukiristo una utatu mtakatifu yaan baba mwana na roho mtakatifu. Haina tofauti na Osiris, Isis na Horus. Ukiangalia sifa za Horus hazipishani sana na sifa za Jesus. Maat ndo amri 42 za Kemet ambazo katika amri 10 tunazozikuta kwenye biblia na quran zimetolewa mle.

Tutaokoa vizazi vyetu kama tukiweza kuwafundisha kuhusu habari za Kemet. Maana hapo ndipo historia kuu ya mtu mweusi imefichwa. Historia ya mtu mweusi haijaanza baada ya kuja wakoloni Afrika bali tulikuwa na historia yetu nzuri kabla ya ukoloni.
Nan kakwamby wakristo wanapotaja amen wanamaanisha Mungu? Usipende kuchanganya madensa ya vitu isipovijua
 
Ni mara chache sana kukutana na msomi ukamuuliza habari za Kemet akakujibu kwa ufasaha. Hii inaonesha ni kwa kiasi gani knowledge ya Kemet iliyofichwa hasa hasa kwa waafrika ili kutodhihilisha ukuu wa mtu mweusi katika hii dunia.

Waafrika weusi wa Kemet walikuwa wamekwisha gundua kila kitu katika dunia hii yaani kuanzia technology, dini, matibabu, ujenzi, n.k.

Yaani civilization ya Kemet ilipokuwa imefikia hadi sasa bado hatujafika hata kidogo. Mfano mdogo ni ujenzi wa pyramid zilizojengwa zaidi ya miaka 2000 iliyopita, kwa sasa hakuna technology ambayo inaweza kueleza jinsi pyramid hizo zilivyo jengwa.

Wazungu wanatuambia kwamba Pythogorus ndiye aligundua Trignomotric wakati pyramid zimejengwa kabla ya Pythogorus na zimejengwa kwa kutumia hesabu za Trig.

Ukija kwenye dini hapo ndo kabisa unaona ni jinsi gani uyahudi, ukiristo na uislam walivyo iba imani za weusi na kutengeneza dini zao. Kila dini inamtaja Amen ambaye alikuwa Mungu mkuu kwenye list ya Mungu wa Kemet wao wanamuita Amun-Ra.

Na ukiristo una utatu mtakatifu yaan baba mwana na roho mtakatifu. Haina tofauti na Osiris, Isis na Horus. Ukiangalia sifa za Horus hazipishani sana na sifa za Jesus. Maat ndo amri 42 za Kemet ambazo katika amri 10 tunazozikuta kwenye biblia na quran zimetolewa mle.

Tutaokoa vizazi vyetu kama tukiweza kuwafundisha kuhusu habari za Kemet. Maana hapo ndipo historia kuu ya mtu mweusi imefichwa. Historia ya mtu mweusi haijaanza baada ya kuja wakoloni Afrika bali tulikuwa na historia yetu nzuri kabla ya ukoloni.
Hapa nakubaliana na wewe kabisa ila nani yuko tayari kuanza tafiti za kina kuhusu mtu mweusi,historia yake kwanza kitamaduni ilikuwaje.Wanzungu wao wanaulinda sana utamaduni wao .
Na wanajua umuhimu wake kwa vizazi vilivyopita ,vilivyopo na vijavyo
 
Hapa nakubaliana na wewe kabisa ila nani yuko tayari kuanza tafiti za kina kuhusu mtu mweusi,historia yake kwanza kitamaduni ilikuwaje.Wanzungu wao wanaulinda sana utamaduni wao .
Na wanajua umuhimu wake kwa vizazi vilivyopita ,vilivyopo na vijavyo
Well said ndugu yangu, yaani sisi Waafrika bado tunayo hofu ya kuukubali na kuutetea uafrika wetu, bado tupo nyuma sana kwenye hii vita kuliko hata enzi za kina mkwawa na Wajerumani.
 
Wamisri wenyewe hawataki kuwanasabisha na weusi wa Africa,wanajuta suez canal kuwalwta afica ,sasa ya nini kujikomba kwao

wamisri wa sasa ni waarabu na mchanganyiko wa european lakini si wao waliojenga hayo ma pyramid!!…
Misri ilikua na technologia hyo chini ya mtu mweusi kabla ya uvamizi wa waarabu ya miaka ya 639AD
 
Nadhani mtoa mada alipaswa kuielezea kemet sawa na dhana ya Africa nzima na si misri pekee
Misri ya Zamani ilikuwa pamoja na sudani ya sasa ...na haikuwa na hawa waarabu ....hawa walikuwa watumwa Tu waliletwa huko misri
 
Back
Top Bottom