Lycaon pictus
JF-Expert Member
- Jan 31, 2021
- 9,189
- 16,128
Dynastic Egypt inasemwa kuanza 3,000BC. Habari za Nuhu zinasemwa kutokea 4,000BCKemet ipo hata kabla ya hizo Hekaya za Nuhu na Vitabu vyake vyote, Quran na Biblia.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dynastic Egypt inasemwa kuanza 3,000BC. Habari za Nuhu zinasemwa kutokea 4,000BCKemet ipo hata kabla ya hizo Hekaya za Nuhu na Vitabu vyake vyote, Quran na Biblia.
nani atafute maarifa ww umeyapata wapi hayo maarifa kama sio udaku na uongo,misri ni sawa na shamba lililotelekezwa watu wakaja wakajitwalia tuu kama weusi mnaakili mbona mnafanya mambo kama manyani,ustaarabu hamna kazi kuigaiga uchafu nyie,shida nyie,ujinga ndo usiseme kazi kuletewa kila kitu hamna mnachobuni,mi sitaki kuamini kwamba eti akili mnazo ila mnashindwa kutumia [emoji1787][emoji1787] mi naona kabisa ni full uzumbukuku hakuna cha zaidi hapa .Kwa hiyo ni ya Waarabu, acha kujidhalilisha kwa ujinga wako tafuta maarifa wewe
wewe acha kudanganya watu hivi waarabu wanaweza kuwa watumwa??,au wanubia wa sudan ndiyo walikuwa watumwa?Misri ya Zamani ilikuwa pamoja na sudani ya sasa ...na haikuwa na hawa waarabu ....hawa walikuwa watumwa Tu waliletwa huko misri
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] kuna aborigians,kuna ethiops(ethiopia) halafu kuna hizi KURUTA ZA BANTU ambazo ndizo zilitumika kuzalisha hizo race2 na hizi bantu ndio ziko jirani sana na tabia za wanyama kama NYANI.race ya wafrica ziko kama 3 ivi
moja hsijulikan ilipo, walio baki ni vilaza
Wewe ndo hujielewiwewe acha kudanganya watu hivi waarabu wanaweza kuwa watumwa??,au wanubia wa sudan ndiyo walikuwa watumwa?
Sasa mkuu hukuona ulazima wa kuweka hiki kipande kwenye andiko lako kwani si wote tuliokuwa tukijua KEMET ni nini,Neno "Kemeti" linamaanisha "Nchi ya Nyeusi" au "Nchi ya Misri" katika lugha ya kale ya Misri. Katika muktadha wa kihistoria, "Kemeti" ilikuwa ni jina la kale kwa ajili ya taifa la Misri, ambalo lina sifa ya kuwa na utamaduni tajiri wa kihistoria, ikiwa ni pamoja na maendeleo ya maandishi, dini, ufalme, ujenzi wa majengo ya kifahari na ustaarabu wa kilimo. Pia, jina hilo linatumiwa mara nyingine kuelezea utamaduni wa zamani wa Misri kabla ya uvamizi wa Wagiriki na Warumi.
Sasa kama tulikuwa na technology na vyote hivyo lakini mvamizi akatushinda basi yeye alikuwa bora zaidi ya hiyo Kemet. Au nasema uongo ndugu zanguJina Kemet limetokana na neno Khem, Kham, Ham. Yule Ham mtoto wa Nuhu. Ham maana yake mweusi. So Kemet maana yake nchi ya watu weusi.
Kama tulikuwa bora kuliko wao sasa waliwezaje kutuvamia na kutufanya watumwa?Wazungu walishangaa sana kuona kuwa civilisationa kubwa kama Misri ilianzishwa na mtu mweusi. Na kuwa mtu mweusi ni chimbuko la ustaarabu na elimu duniani. Yaani mtu ambaye ni mtumwa wao! ili kumzima kisaikolojia ikabidi walete stori nyingi za uongo na kutunga ili kumdidimiza mtu mweusi kifikra. Na bora mtu akudidimize kiuchumi unaweza kuinuka, lakini akikudidimiza kifikra kuwa hakuna unachojua au kuweza anakuwa amekumaliza kabisa.
Leo mtu mweusi kujifunza historia ya Misri ya kale na mambo ambayo babu zake walitimiza ni muhimu sana katika kumkomboa kifikra.
Falme huinuka na kuporomoka. Wamongol leo wako wapi?Sasa kama tulikuwa na technology na vyote hivyo lakini mvamizi akatushinda basi yeye alikuwa bora zaidi ya hiyo Kemet. Au nasema uongo ndugu zangu
Wakati wa WWII Japan alimtawala China. Leo anaweza? Ukisoma historia hutashangaa falme kuinuka na kuanguka.Kama tulikuwa bora kuliko wao sasa waliwezaje kutuvamia na kutufanya watumwa?
Hii ni kweli ila ni uhuni. Wazungu wanataka kuaminisha kuwa mafarao weusi walikuwepo dynasty moja tu.
Hili ndilo swala hata mimi najiuliza sana
Sawa mkuu lakini dah ni ngumu kuingia akilini kuwa Walikuwa na kila kitu lakini wakavamiwaWakati wa WWII Japan alimtawala China. Leo anaweza? Ukisoma historia hutashangaa falme kuinuka na kuanguka.
Angalia kwa sasa wanavyokuja kujiweka karibu na watu weusi, wale wakina obama haikua bureNimekuelewa kiroho zaidi!! huu ni ufunuo mkubwa!! Wazungu hawana tena uhusiano mzuri na Mungu.
Rahisi sana. Hata Roma iliangushwa na washenzi hawajui hata kuoga.Sawa mkuu lakini dah ni ngumu kuingia akilini kuwa Walikuwa na kila kitu lakini wakavamiwa