Econometrician
JF-Expert Member
- Oct 25, 2013
- 16,879
- 31,253
Kama ni mfatiliaji mzuri wa Matajiri wa Nigeria akina Mike Adenuga hutasitajabishwa na Obasanjo kuja Ku solve mgogoro wa hicho kiwanda.
Matajiri wa Nigeria wanasema utajiri wa Dangote umejaa hadaa,na tenda nyingi alikuwa anapata kwa njia ya rushwa na upendeleo kutoka Serikalini hasa kipindi cha Obasanjo na Jonathan.
Kwa hiyo connect dot.
Matajiri wa Nigeria wanasema utajiri wa Dangote umejaa hadaa,na tenda nyingi alikuwa anapata kwa njia ya rushwa na upendeleo kutoka Serikalini hasa kipindi cha Obasanjo na Jonathan.
Kwa hiyo connect dot.