Ni kwanini kitabu cha Henoko kilifichwa/ kiliondolewa kwenye Biblia? Je, ilikuwa ni mpango wa shetani??*

Ni kwanini kitabu cha Henoko kilifichwa/ kiliondolewa kwenye Biblia? Je, ilikuwa ni mpango wa shetani??*

Hivi hakimuwemo kwenye Biblia ambayo Yesu aliyoitumia kuhubiri hekaluni.. Hakuwahi kuquote chochote humo.
yuda 1:14 Henoki, ambaye alikuwa wa kizazi cha saba baada ya Adamu, alitoa unabii kuhusu watu hawa akasema, “Sikilizeni! Nilimwona Bwana akija na watakatifu wake maelfu kwa maelfu


Kama hakikuwemo yuda hili andiko alilinukuu kwenye Tamthiliya?
 
Kwa hiyo mkuu mtu, akikopi hadithi kutoka kizazi kimoja kwenda kingine hadithi hizo ni za kweli ? Ndio maana mambo yamekuwa ni yakiimani tu, ila hadithi hizo ni kazi ya sanaaa tu.
Story za huyo gilgamesh umewahi kuzisoma zinachekesha sana. Mara Mungu anaokolewa na mwandamu. Ni bitu ambavyo havina mashiko na mwendelezo. Kuna kipindi nilivifuatilia
 
Kiko bure tu mtandaoni anawinda wajinga awapige pesa eti ooh amazon mjinga huyo
Pia ,hata pdf drive unaweza kipakua.
Pia alitakiwa akiweke hapa bure Mungu wa Israel atambariki na kumpatia vingi Sasa yeye haamini kabisa
 
Story za huyo gilgamesh umewahi kuzisoma zinachekesha sana. Mara Mungu anaokolewa na mwandamu. Ni bitu ambavyo havina mashiko na mwendelezo. Kuna kipindi nilivifuatilia
Ndio maana ile ikaitwa hadithi mkuu, ila kuna visa vya mule vipo kwenye vitabu karibu vya dini😁😁😁
 
Hata mimi nimefanikiwa kufungua tu. Mtihani hapo kwenye kudownload. Tunaomba wajuvi watusaidie maarifa ya jinsi ya kukipakua.
Nimeweza kukishusha.

Hiki hapa!

Shukrani zote zimwendee min -me 🙏🏿🙏🏿🙏🏿
 

Attachments

Back
Top Bottom