Nikifa MkeWangu Asiolewe
JF-Expert Member
- Feb 26, 2024
- 6,944
- 14,351
yuda 1:14 Henoki, ambaye alikuwa wa kizazi cha saba baada ya Adamu, alitoa unabii kuhusu watu hawa akasema, โSikilizeni! Nilimwona Bwana akija na watakatifu wake maelfu kwa maelfuHivi hakimuwemo kwenye Biblia ambayo Yesu aliyoitumia kuhubiri hekaluni.. Hakuwahi kuquote chochote humo.
Hata yuda 1:14 mbona alikinukuu?Yapo maandishi mengi yanahusiana na hivyo vitabu japo majina ni tofauti ngoja nikisake cha kingereza nitume.
Hata mimi ninachoDili la jamaa limeshabuma. Kuna mdau humu kakileta bure kabisa!
Asante mkuuHata yuda 1:14 mbona alikinukuu?
Wahuni walikiondoa kwa manufaa yao tu.Asante mkuu
Mwenye kitabu hicho naomba
Angalia page ya kwanza kitabu kimeweka hapoMwenye kitabu hicho naomba anitumie
Ndiyo kimefungukaTony Laurent hicho kitabu kinafunguka?
Thanks min -me
Story za huyo gilgamesh umewahi kuzisoma zinachekesha sana. Mara Mungu anaokolewa na mwandamu. Ni bitu ambavyo havina mashiko na mwendelezo. Kuna kipindi nilivifuatiliaKwa hiyo mkuu mtu, akikopi hadithi kutoka kizazi kimoja kwenda kingine hadithi hizo ni za kweli ? Ndio maana mambo yamekuwa ni yakiimani tu, ila hadithi hizo ni kazi ya sanaaa tu.
Nimeshindwa kuki-download dah!
Pia ,hata pdf drive unaweza kipakua.Kiko bure tu mtandaoni anawinda wajinga awapige pesa eti ooh amazon mjinga huyo
Ngoja niangalie namna ya kukituma vizuri ili kipakuliwe.Nimeshindwa kuki-download dah!
Ndio maana ile ikaitwa hadithi mkuu, ila kuna visa vya mule vipo kwenye vitabu karibu vya dini๐๐๐Story za huyo gilgamesh umewahi kuzisoma zinachekesha sana. Mara Mungu anaokolewa na mwandamu. Ni bitu ambavyo havina mashiko na mwendelezo. Kuna kipindi nilivifuatilia
Hata mimi nimefanikiwa kufungua tu. Mtihani hapo kwenye kudownload. Tunaomba wajuvi watusaidie maarifa ya jinsi ya kukipakua.Nimeshindwa kuki-download dah!
Asante sana aisee.Ngoja niangalie namna ya kukituma vizuri ili kipakuliwe.
Asante. Utakuwa umetusaidia sana.Ngoja niangalie namna ya kukituma vizuri ili kipakuliwe.
Nimeweza kukishusha.Hata mimi nimefanikiwa kufungua tu. Mtihani hapo kwenye kudownload. Tunaomba wajuvi watusaidie maarifa ya jinsi ya kukipakua.
Mkuu unaweza kutumia lugha ya kawaida maana jamaa hajafanya kosa lo lote. Ametafsiri mwenyewe kumbe wengine walishawahi na wanakisambaza bure. Pengine hakujua....Kiko bure tu mtandaoni anawinda wajinga awapige pesa eti ooh amazon mjinga huyo