Curtis De Mi Amor
Senior Member
- Jan 9, 2022
- 136
- 514
- Thread starter
-
- #21
Kuna Hawa mafundi wa vifaa vya umeme🤔 ebana eeh!! Usiombe uingie kumi na nane zao ni wasumbufu sijapata kuona!! Kuna mmoja nimeamua kumsusia pesa na mashine yangu niliyompa anitengenezee.
Kenfa uliitoa Upareni au Lushoto?Habari za mchana na habari za jioni!
Kuna fundi nilimpa Hela anitengenezee kitanda cha mbao za kenfa nilizozipata kwa shida.
Yapata Sasa mwaka kitanda bado na Hela kala na mbao zangu Katengenezea kitanda kingine kauza 😡.
Nimeenda kumshitaki kajitetea atanitengenezea kitanda kingine, ila Katengeneza kitanda na mbao ambazo sio za kenfa.
Mi nimegoma kupokea hicho kitanda, tumeenda Tena mbele kwa mbele nikaambiwa nimpe gharama za mbao za kenfa na hela ya kitanda niliyompa anilipe.
Zile mbao za kenfa zilinigharimu 2.5ml kwasababu ya kibali chake kuwa ni cha shida yaani hawatoi kabisa.
Sasa huyu kapenta amegoma katakata na mtaani haonekani Tena.
Mimi ujumbe wangu ni huu jasho la mtu haliendi Bure Bure, utataga tu muda ukifika.
Tuweni makini na hawa matapeli jamani, mtu unachukua kazi nyingi kuzidi uwezo wako was kuzihudumia. 🤬
Nashindwa kuiweka kwenye hardwood or softwood, ila inapatikana kwa wingi zaidi kwenye hifadhi ya misitu ya milima ya Usambara Lushoto na Upareni. Kadri inavyokaa miaka mingi ndo inazidi kuwa myekundu. TAFOR wanailinda sanaSamahani mkuu mbao za kenfa zipoje? Ndio nazisikia leo. Kama una picha ya hizo mbao au mti wake naomba nionyeshe.
Pole pia kwa tukio hilo
Hizo nlizipata Kilimanjaro kaka.Kenfa uliitoa Upareni au Lushoto?
Yes, Moshi na Manyara pia inapatikana kwa wingi. Sijajua Iringa na Mbeya kama ipoHizo nlizipata Kilimanjaro kaka.
Hizo ni softwood kakaNashindwa kuiweka kwenye hardwood or softwood, ila inapatikana kwa wingi zaidi kwenye hifadhi ya misitu ya milima ya Usambara Lushoto na Upareni. Kadri inavyokaa miaka mingi ndo inazidi kuwa myekundu. TAFOR wanailinda sana
Hizo ni softwood kaka
Iringa ndio zipo ambazo ni pine na cyprus japo zile kenfa zenyewe zimeadimika sana. Na hizo kenfa na mininga na ule mwingine nahisi ni mkongo ni miti iliyo hatarii kupotea!Yes, Moshi na Manyara pia inapatikana kwa wingi. Sijajua Iringa na Mbeya kama ipo
Mkuu; Pole sana aisee. Fundi ni Kinyozi tuu. Hao wengine wote ukianzia na fundi seremala, fundi cherehani, fundi umeme na watengeneza grills/wachomeaji ni pasua kichwa sana. Kwa wote hao yamenikuta - sina hamu kabisa.Habari za mchana na habari za jioni!
Kuna fundi nilimpa Hela anitengenezee kitanda cha mbao za kenfa nilizozipata kwa shida.
Yapata Sasa mwaka kitanda bado na Hela kala na mbao zangu Katengenezea kitanda kingine kauza 😡.
Nimeenda kumshitaki kajitetea atanitengenezea kitanda kingine, ila Katengeneza kitanda na mbao ambazo sio za kenfa.
Mi nimegoma kupokea hicho kitanda, tumeenda Tena mbele kwa mbele nikaambiwa nimpe gharama za mbao za kenfa na hela ya kitanda niliyompa anilipe.
Zile mbao za kenfa zilinigharimu 2.5ml kwasababu ya kibali chake kuwa ni cha shida yaani hawatoi kabisa.
Sasa huyu kapenta amegoma katakata na mtaani haonekani Tena.
Mimi ujumbe wangu ni huu jasho la mtu haliendi Bure Bure, utataga tu muda ukifika.
Tuweni makini na hawa matapeli jamani, mtu unachukua kazi nyingi kuzidi uwezo wako was kuzihudumia. 🤬
Jina lake halisi unaitwa usambarensis (mkulo). Na ni hardwood sio softwoodIringa ndio zipo ambazo ni pine na cyprus japo zile kenfa zenyewe zimeadimika sana. Na hizo kenfa na mininga na ule mwingine nahisi ni mkongo ni miti iliyo hatarii kupotea!
Itakua kweli maana watu wengi nimewasikia wakiwalalamikia hao makapenta japo Mimi sijawahi kuingia 18 zaoHao hawawazidi maseremala hao ni mwisho wa matatizo.
🙄 Mmh kweliJina lake halisi unaitwa usambarensis (mkulo). Na ni hardwood sio softwood
Mkuu nisamehe tu,. Leo siangalii ulivyotapeliwa na fundi, najadili zaidi hiyo mbao 😄, milango yangu ni hiyo mbao, ni haramu ukikutwa nayo na wazee wa forest🙄 Mmh kweli
Omba msamaha kwa hizi kauli ndugu la sivyo!!!?Mafundi wengi Tanzania ni matapeli na mwisho wa siku anaanza kulalamika maisha magumu wakati amejiharibia mwenyewe.
Huyo aliyewatapeli bado yupo?hata siwaonei huruma halaf wan maisha ya ajabu sana kunaye mmoja back days alipewa pesa na mbao achonge makabati yale ya ndani ya nguo jamaa akawa anakuja anavyojisikia mbaya zaidi akataka mbao akazichonge achore maua aweke vioo achonge sehem ya vitasa lile bahau likasepa na hela nanmbao akacha kabegi kake kana randa mbili misumeno miwili misumar gundi ya mbao jeki ndogo
mwanzoni mama yangu akasema wala simfuatilii atarudi ameacha vifaa kutahamaki siku zinazidi kuhesabika,baba akasema ngoja nimtilie tim anapokaa anajulikana kesi ikaenda polisi akalipa nusu vifaa had leo vipo nyumbani stoo ikabidi tuingie gharama ya kutafuta fundi mwengine ambaye kwa sasa n marehemu na alifanya kaz within a short period of time.