Azarel
JF-Expert Member
- Aug 25, 2016
- 28,916
- 40,479
Kuna fundi mbao na fundi nguo, wengi wao matapeli kwelikweliHawa wajamaa ni wezi sana katika watu sio wa kuwaamini ni mafundi mbao
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna fundi mbao na fundi nguo, wengi wao matapeli kwelikweliHawa wajamaa ni wezi sana katika watu sio wa kuwaamini ni mafundi mbao
Jina kamili ni Ocotea usambarensis.Jina lake halisi unaitwa usambarensis (mkulo). Na ni hardwood sio softwood
Yesu ni Myahudi, huwezi linganisha Myahudi, Mkorea ama Mjapani na sisi Australopithecus africanus.sio wote,Yesu alikua fundi seremala na hakua tapeli.
Umenikumbusha fundi nguo daa hao ni waizi balaa yaani pepo hawaioni ng'ooooKuna fundi mbao na fundi nguo, wengi wao matapeli kwelikweli
Picha ?Hiyo kenfa ni miti Fulani mirefu na minene, mbao yake Huwa nyekundu, inataka kufanana na calypta au mininga. Kibali chake kinatoka kwa cubic meter.
Ni ngumu sana hizo mbao na wanasema ukiwa nazo ndani basi hata watu wabaya si rahisi kukuzuru. Pine na saiprasi nazenyewe ni jamii hiyo ila kenfa yenyewe kabisa Ile mekundu ni extinct ila ipo kwa uchache. Picha ntakuletea siku nikiingia Tena chimbo.
Mafundi nguo wengi wezi mno, bora hata huyo anaekata kitambaa, kuna wale unawapa kitambaa na nguo haikamiliki.Umenikumbusha fundi nguo daa hao ni waizi balaa yaani pepo hawaioni ng'oooo
Yaani kitambaa chako unakuta mtoto wa jirani kavaa kaptula 😄 hiyo miaka ya nyuma sana wakati tunashonewa za sikukuu 😄
.Picha ?
Siujui huwa ipo sana mikoa ipi?
Milima ya Usambara Tanga Lushoto, milima ya upare Same, baadhi ya maeneo Uganda na KenyaSiujui huwa ipo sana mikoa ipi?
"Australopithecus africanus." Hii specie (jamii), anapokuwa ni fundi chukua tahadhari kubwa. Ni waongo-waongo, wezi wezi, mambo ya ujanja- ujanja. Ukishampa kazi utamsikia naomba Advance. Ukimpa advance, kesho yake ukija kukagua maendeleo ya kazi utasikia ametoka kidogo atarudi baadaye. Hapo ndo imetoka ni kusumbuana kumeanza. Ukimkuta kwa bahati mbaya atadai alienda kutafuta mali ghafi na hakupata kama alivotarajia. Bei imebadilika n.k.nk.Yesu ni Myahudi, huwezi linganisha Myahudi, Mkorea ama Mjapani na sisi Australopithecus africanus.
fundi wa kweli kinyozi pekee.Habari za mchana na habari za jioni!
Kuna fundi nilimpa Hela anitengenezee kitanda cha mbao za kenfa nilizozipata kwa shida.
Yapata Sasa mwaka kitanda bado na Hela kala na mbao zangu Katengenezea kitanda kingine kauza 😡.
Nimeenda kumshitaki kajitetea atanitengenezea kitanda kingine, ila Katengeneza kitanda na mbao ambazo sio za kenfa.
Mi nimegoma kupokea hicho kitanda, tumeenda Tena mbele kwa mbele nikaambiwa nimpe gharama za mbao za kenfa na hela ya kitanda niliyompa anilipe.
Zile mbao za kenfa zilinigharimu 2.5ml kwasababu ya kibali chake kuwa ni cha shida yaani hawatoi kabisa.
Sasa huyu kapenta amegoma katakata na mtaani haonekani Tena.
Mimi ujumbe wangu ni huu jasho la mtu haliendi Bure Bure, utataga tu muda ukifika.
Tuweni makini na hawa matapeli jamani, mtu unachukua kazi nyingi kuzidi uwezo wako was kuzihudumia. 🤬
sahihi mtumishi😁Yesu ni Myahudi, huwezi linganisha Myahudi, Mkorea ama Mjapani na sisi Australopithecus africanus.
Yes hata kesho nenda godwn la guanzou bongo utamkuta...ngoja mnitampiga picha jmos naendaPiere huyu mnywaji?
Na wanakufa masikini pamoja na kuiba miaka kibaoMafundi nguo wengi wezi mno, bora hata huyo anaekata kitambaa, kuna wale unawapa kitambaa na nguo haikamiliki.
Dhuluma ni mbaya, mtu anajinyima anampa kazi alafu yeye anamdhulumu.Na wanakufa masikini pamoja na kuiba miaka kibao
Mwisho wa siku hata mazishi watu wanachanga