Tate Mkuu
JF-Expert Member
- Jan 24, 2019
- 33,092
- 96,127
Mbona Chato kuna mikokoteni tu ya punda lakini bado kuna taa za kuongozea magari?Sasa moshi kuna magari gani mpaka waweke taa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona Chato kuna mikokoteni tu ya punda lakini bado kuna taa za kuongozea magari?Sasa moshi kuna magari gani mpaka waweke taa?
Swali zuri sana taa ziwekwe wapi pale manake round about zimejitoshelezaUnataka taa ziwekwe wapi?
uzuri wa moshi kuna njia nyingi za kuingia town so magari hayasongamani sehemu mojaUmesema Moshi kuna mtandao mpana wa barabara, huoni hilo linaondoa msongamano wa magari ?
Moshi hakuna junction inayosababisha msongamano maana anaweza kuchepukia popote kitu kinachopunguza matumizi ya taa.
Kweli kabisa, mji ulijengwa zamani lakini kwa kutumia akili za mbele ya wakati.uzuri wa moshi kuna njia nyingi za kuingia town so magari hayasongamani sehemu moja
Ungenambia tabora au bagamoyo ingemeki sensi.Nafikiri Moshi ilitakiwa kuwa makao makuu ya Nchi.
Namanisha hakuna viongoz wakubwa kutoka huko kwa sas iviSingida, Babati, Shinyanga ni Chato?
Bado hauja veshwa pete wewe? nielekeze kwenu nilete posa.Jibu ni moja tu huo mji ni wa kishamba sana
WatajengaNaonbeni Tarura muwekee taa za Magari mjini bukoba kweli zipo huko nshomire ama kazi kuwa tulisoma kabila ya mkoloni kuja
kuna watu hawajui hizo taa huwa zinawekwa kitalaamu ni lazima analysis ifanyike ionekane kuna uhitaji Wa taa na sio kuweka mji labda jamaa a nadhani ndo mji utapendeza.swali zuri sana taa ziwekwe wapi pale manake round about zimejitosheleza
traffic ya hii miji ni ndogo sana ukilinganisha na moshiSingida, Babati, Shinyanga ni Chato?
Jibu ni moja tu huo mji ni wa kishamba sana
Mbona Chato kuna mikokoteni tu ya punda lakini bado kuna taa za kuongozea magari?
Anzeni kuomba kujengewa stend kwanz,inatia aibu
Wajenge stendi kwanza. Waondoe kile kizizi pale mjiniNaonbeni Tarura muwekee taa za Magari mjini bukoba kweli zipo huko nshomire ama kazi kuwa tulisoma kabila ya mkoloni kuja
Ahsante."Ifahamike kuwa mpaka sasa Manispaa ya Moshi ndio manispaa inayoongoza kwa kuwa na mtandao mpana wa barabara ukiondoa majiji machache yalioyopo Tanzania, hii ni kwa mujibu wa TARURA. www.tarura.go.tz
Nini kinashindikana kuziweka hizi taa?"
Mtoa mada kutoa jibu na swali lake kwa wakati mmoja.
Moshi kuna mtandao mzuri sana wa barabara, na ninakubaliana na TARURA na mleta mada.
Mimi binafsi nikitokea, mfano, barabara ya International School nikipita Round about/keep left ya Mahakamani, wakati wa kutoka mjini sina haja tena ya kurudi na njia hiyo maana huko mbele kuna njia si chini ya nne za kutoka.
Hakuna sehemu yenye uhitaji wa mataa kwa mji wa Moshi. Roand about zipo kila Kona, na barabara zimejotosheleza.