Ni kwanini mji wa Moshi hauna taa za barabarani za kuongoza Magari?

Ni kwanini mji wa Moshi hauna taa za barabarani za kuongoza Magari?

Waziri wa Kilimo ni Prof. Mkenda na ni Mbunge wa Rombo, Kilimanjaro.

Naibu Waziri wa Afya ni Dr Mollel, na ni Mbunge wa Siha, Kilimanjaro.

Anamringi Macha ni Mbunge Viti Maalum Kilimanjaro, na ni Naibu Waziri.

Uongo dhambi!

Au ninasema uongo ndugu zangu?
Hata mbunge wa ubungo ...ambaye pia ni waziri ..kiasili ni mtu wa moshi kitila mkumbo
 
Waziri wa Kilimo ni Prof. Mkenda na ni Mbunge wa Rombo, Kilimanjaro.

Naibu Waziri wa Afya ni Dr Mollel, na ni Mbunge wa Siha, Kilimanjaro.

Anamringi Macha ni Mbunge Viti Maalum Kilimanjaro, na ni Naibu Waziri.

Uongo dhambi!

Au ninasema uongo ndugu zangu?
Daa kuna upendeleo hapa naona. Kuna waziri anatokea Lindi,mtwara ,mbeya rukwa katavi morogoro singida ama taboara.hebu mlikeni huko muone kama Umepata mwakilishi serikalini
 
Wachaggaa hatutakii taaa,kujiwa bwaksiii na mbege zetu zinazingua
 
Wakuu imebidi niuize ili nijue.

Ni kwanini mji wa Moshi ambao ndio makao makuu ya Mkoa wa Kilimanjaro hauna taa za kuongozea magari, ili hali miji midogo kama Singida, Shinyanga na Babati naona wameweka taa za kuongoza magari.

Ifahamike kuwa mpaka sasa Manispaa ya Moshi ndio manispaa inayoongoza kwa kuwa na mtandao mpana wa barabara ukiondoa majiji machache yalioyopo Tanzania, hii ni kwa mujibu wa TARURA. www.tarura.go.tz

Nini kinashindikana kuziweka hizi taa?

Shukuru hizo taa hazipo maana ni kero kwa maeneo walikoziweka, by the way hizo roundabouts mlizonazo wekeni nyingine nyingi, jifunze toka Ubungo mataa wakati wakijenga FO
 
Corner ya Majengo Police,Plaza Cinema,Junction ya kwenda Bonite Mama Changbay,Mahakama ya Mkoa Jct na Corner ya Uru Rd. Njiapanda HimoPanahitaji... Traffic Lights...
 
Wakuu imebidi niuize ili nijue.

Ni kwanini mji wa Moshi ambao ndio makao makuu ya Mkoa wa Kilimanjaro hauna taa za kuongozea magari, ili hali miji midogo kama Singida, Shinyanga na Babati naona wameweka taa za kuongoza magari.

Ifahamike kuwa mpaka sasa Manispaa ya Moshi ndio manispaa inayoongoza kwa kuwa na mtandao mpana wa barabara ukiondoa majiji machache yalioyopo Tanzania, hii ni kwa mujibu wa TARURA. www.tarura.go.tz

Nini kinashindikana kuziweka hizi taa?
Si rahisi kwa magu kufanya chochote cha maendeleo Moshi, sababu anazijua mwenyewe.
 
Moshi mji mdogo huwezi linganisha na singida au shytown..
 
Wakuu imebidi niuize ili nijue.

Ni kwanini mji wa Moshi ambao ndio makao makuu ya Mkoa wa Kilimanjaro hauna taa za kuongozea magari, ili hali miji midogo kama Singida, Shinyanga na Babati naona wameweka taa za kuongoza magari.

Ifahamike kuwa mpaka sasa Manispaa ya Moshi ndio manispaa inayoongoza kwa kuwa na mtandao mpana wa barabara ukiondoa majiji machache yalioyopo Tanzania, hii ni kwa mujibu wa TARURA. www.tarura.go.tz

Nini kinashindikana kuziweka hizi taa?
ongezea Musoma + shinyanga + kigoma
 
Nafikiri Moshi ilitakiwa kuwa makao makuu ya Nchi.
umeandika kama utani ila ukweli ni huu watu wasiojua.Mkoa wa Kilimanjaro watawala wetu walitaka upewe uhuru wake kutokana na watu wake kuwa na mwanga sana kielimu.Mkoa wa kilimanjaro wana wimbo wao wa kitaifa(kimkoa).Nyerere alivyokuwa mjanja sana na kuona mbali akaogopa mgawanyiko alichofanya akamuingiza chief Mareale kwenye TANU akawa amemmaliza kabisa.Pengine leo hii Kilimanjaro ingekuwa kataifa kadogo ndani ya taifa kubwa la Tanzania kama ilivyo Lesotho ilivo ndani ya Africa kusini
 
Eneo la lower Moshi kuja Himo na kwenda Kia linatosha kuufanya mji Moshi kuwa mkubwa kuliko jiji la Dar. Sio lazima upanuzi uende milimani, kule tayari ni kama mjini kwa population density iliyopo tena ni maeneo ya luxury kwa uzuri wake na hali ya hewa nzuri mno.
Moshi sio jiji na binafsi siungi mkono kua Jiji

Unajua athari ya neno Jiji?

Hujui

Nakuelewesha,jiji maana yake ni rapid expansion ya matumizi ya ardhi horizontally

Likiwa jiji maana yake in a year or two ule mlima mzima utakua makazi ya watu kwa viwanja vya 15x15m.

Sasa basi,hili wanalijua na World Heritage wanalijua ndio maana ule mji ulipo hapafai kutanuka kua jiji kama unavyotaka

Wahamishe labda chini ya KIA karibu na wilaya ya Simanjiro au TPC chini kabisa karibu na mkoa wa Manyara,etc

Pale Moshi ilipo,ikitanuka zaidi ni disaster unatfuta,maana mlima wote utakua jangwa bila uoto wowote...

Ila wewe jinsi ulivyo kichaa na maCCM menzako mtakuja hapa na hoja za kipumbavu za "JIJI"....nonsense!
 
Back
Top Bottom