wandu waruwa
Senior Member
- Dec 20, 2020
- 133
- 97
Kwa kuwa watu wengine kule wanajitambua wanajingoza wenyewe siyo kama hawa nyumbu wengine wamejua chuma juzi
Wakuu imebidi niuize ili nijue.
Ni kwanini mji wa Moshi ambao ndio makao makuu ya Mkoa wa Kilimanjaro hauna taa za kuongozea magari, ili hali miji midogo kama Singida, Shinyanga na Babati naona wameweka taa za kuongoza magari.
Ifahamike kuwa mpaka sasa Manispaa ya Moshi ndio manispaa inayoongoza kwa kuwa na mtandao mpana wa barabara ukiondoa majiji machache yalioyopo Tanzania, hii ni kwa mujibu wa TARURA. www.tarura.go.tz
Nini kinashindikana kuziweka hizi taa?