Ni kwanini Rais Samia anapendwa, anaaminika na kukubalika sana kila kona ya Tanzania?

Ni kwanini Rais Samia anapendwa, anaaminika na kukubalika sana kila kona ya Tanzania?

Mkuu huu ni uongo wa wazi kabisa ukiacha Promo za TBC na watu ambao mmeandaliwa huku mitandaoni mfn Lucas mwashambwa na wewe hapo tufanye hapo ulipo uliza watu watano waliokuzunguka uone wanasema nini kuhusu Raisi majibu utayapata plz usipotoshe umma wa jf hapa watu wana akili timamu
hakuna haja ya kuuliza kwingineko,
ni waTanzania wote wananonyesha mapenzi yao kwa uwazi na ujasiri wa kiwango cha juu sana,

huna haja kuzunguka au kubabaika ati sijui ukaulize wapi wakati mambo yapo bayana kabisa katika maeneo yote nchini, achilia mbali yale aliyotembelea na yale anayoyatembelea sasahivi Dr.Samia Suluhu Hassan,

na kwahivyo,
usijipotoshe mwenyewe au kupotoshwa na wengine kwamba hali ya kupendwa na kuaminiwa Dr.Samia Suluhu Hassan, iko vinginevyo tofauti na nilivyoeleza hapo juu :pedroP:
 
Labda anapendwa na kukubalika na machawa kama wewe. Ila kwa ground hata wanawake wenzie wanamchukia kupita maelezo.
 
relax gentleman,
kuupokea ukweli inahitaji mazoezi ya mara kwa mara,

tuache utani,
Dr.Samia Suluhu Hassan anakubalika na anapendwa bana dah :pedroP:
Hiyo "opinion poll" ilifanyika lini? na inasoma how much% ya kukubalika?
 
Hiyo "opinion poll" ilifanyika lini? na inasoma how much% ya kukubalika?
itawekwa bayana soon, na kwa wakati muafaka,

ni ya kwa kiwango cha juu mno huyu mama Dr.Samia Suluhu Hasan anakubalika na kuaminika kwa wananchi wote Tanazania:NoGodNo:
 
Anapendwa na nani? No reforms no election
Je, ni dhamira na nia yake njema kwa Taifa letu pekee? Au ni kwa namna alivyofanikiwa kuliunganisha taifa kwa falsafa yake ya 4Rs na kuifungua nchi miongoni mwa mataifa ya ulimwengu?

Au ni uwajibikaji wake wa viwango na record yake safi ya maendeleo yanayoonekana kwa wanainchi kwa muda mfupi na iliyotukuka kwenye nyanja za kijamii, kisiasa, kiuchumi, kitaifa na kimataifa?

Kwa maoni yako ya kizalendo, ni kipi hasa kimekufanya kutomskiliza mwanasiasa mwingine yeyote nchini ispokua Dr.Samia Suluhu Hassan, sambamba na mamilioni ya waTanzania kote nchini?

Na je,
ungependelea kuona kiongozi huyu shupavu na madhubuti anaongoza taifa letu hata zaidi ya mwaka 2030, ili kusudi taifa letu liyafikie malengo yake ya kimaendeleo chini ya uongozi wake? :NoGodNo:

Mungu Ibariki Tanzania
 
Matangazo ya Kila Kona nchi nzima ya nini!
ni wajibu wa chama na serikali kuutaarifu umma juu ya utekelezaji wa ilani ya uchaguzi ya ccm kupitia njia mbalimbali.

ni lazima wananchi wapate taarifa sahihi muafaka juu ya mambo makubwa ya maendeleo aliyoyafanya mama huyu kipenzi cha waTanzania wote,

kwani kuna ubaya wowote gentleman?:pedroP:
 
Niko Kata Fulani hv naangalia zoezi la ugawaji kadi za wanachama wa CCM, aisee CCM mko vby ,huku Mitaani
 
Kazi zinaonekana.
Wako waliofhani Eti ni mwanamke hataweza chochote. Hakika amewa - prove wrong.

Wanaomlaumu ni wavivu wa akili na kazi, Ni Wenye wivu na mafanikio ya Mtu, ni Wenye mfumo dume uliopitwa na wakati
Wajinga wamekosa hoja hivi sasa wanakuja na mada za kuujadili muungano ili kumpunguzia heshima SSH ambayo ameonyesha anaistahili vilivyo.
 
Mkuu huu ni uongo wa wazi kabisa ukiacha Promo za TBC na watu ambao mmeandaliwa huku mitandaoni mfn Lucas mwashambwa na wewe hapo tufanye hapo ulipo uliza watu watano waliokuzunguka uone wanasema nini kuhusu Raisi majibu utayapata plz usipotoshe umma wa jf hapa watu wana akili timamu
Majibu ya mtu mmoja mmoja wa Dar hayawezi kuwa sawa na ya yule mwanamama kule Geita ambaye binti kajifungua watoto wawili kwenye zahanati zilizojengwa katika awamu hii ya sita.

Ukosoaji wa wasomi wa instagram hauwezi kuwa sawa na maoni ya Muha wa Kibondo anayefungua biashara zenye kutumia umeme uliopelekwa na REA.

Mpiga kelele wa Dar anayedhani anajua kila kitu hawezi kuwa na maoni sawa na mfanyabiashara anayepanga kuzitumia ndege za ATCL katika kufanya biashara za kimataifa.
 
Wanaompenda ni kwasabb ya kujali matumbo yao, wazalendo wakweli hatutaki hata kumsikia!!.
 
Nani anampenda, huo utafiti umefanyia kwenye familia yako au?
Kweli yule kiongozi aliesema watanzania ni sawa na mfu hakukosea
 
Niko Kata Fulani hv naangalia zoezi la ugawaji kadi za wanachama wa CCM, aisee CCM mko vby ,huku Mitaani
kwanini waTanzania wananmpenda zaidi Dr.Samia Suluhu Hassana kulikuo kitu kingine chochote?

yaani kuna mahali huwaambii kitu watu juu ya mama huyu, wanaweza kukuchapa hadi makofi ukileta mdomo,
why are they loving Dr.Samia Suluhu Hassan like that?:pedroP:
 
Back
Top Bottom