Gentleman,Pengine analipwa kwa kazi hiyo. Kama analipwa basi ni njaa ndo imesababisha awe wa kusifiasifia tofauti na hapo atakuwa ni mtu mjinga kipindukia
MKuu usihangaike na chawa huwa anajitekenya mwenyewe kisha anachekaSasa mbona kwenye kujiteua kuwa mgombea pekee kikao alikiongoza yeye badala kumuachia mwingine kama sheria zinavyotaka huyo anaeoendwa saana alikuwa anaogopa nini?
Gentleman,COMEDIANS HUWA WANAFURAHISHA SANA. AWEKE WAZI NAFASI YA KUGOMBEA KUTEULIWA NDANI YA CHAMA KWANZA. AMEKUWA MWOGA KAAMUA KUJITEUA. BINGWA WA KOMEDI π€£π€£π€£
Usituchote akili, wewe na mwenzio Lucas Mwashambwa mnalipwa kwa kazi ya kusifia. Njaa mbaya sanaGentleman,
hakuna haja ya malipo kwa kusema ukweli,
lakini pia hakuna haja ya makasiriko kuelezwa ukweli π
Hujiulizi kwanini nyuzi za kumsifia ni wewe tu unaleta!!!!Je, ni dhamira na nia yake njema kwa Taifa letu pekee? Au ni kwa namna alivyofanikiwa kuliunganisha taifa kwa falsafa yake ya 4Rs na kuifungua nchi miongoni mwa mataifa ya ulimwengu?
Au ni uwajibikaji wake wa viwango na record yake safi ya maendeleo yanayoonekana kwa wanainchi kwa muda mfupi na iliyotukuka kwenye nyanja za kijamii, kisiasa, kiuchumi, kitaifa na kimataifa?
Kwa maoni yako ya kizalendo, ni kipi hasa kimekufanya kutomskiliza mwanasiasa mwingine yeyote nchini ispokua Dr.Samia Suluhu Hassan, sambamba na mamilioni ya waTanzania kote nchini?
Na je,
ungependelea kuona kiongozi huyu shupavu na madhubuti anaongoza taifa letu hata zaidi ya mwaka 2030, ili kusudi taifa letu liyafikie malengo yake ya kimaendeleo chini ya uongozi wake?
Mungu Ibariki Tanzania
Hawa wanalipwa na nani? Usishindane na anayependwa na mwenye kibali na MunguUsituchote akili, wewe na mwenzio Lucas Mwashambwa mnalipwa kwa kazi ya kusifia. Njaa mbaya sana
Punguza propagandarelax gentleman,
kuupokea ukweli inahitaji mazoezi ya mara kwa mara,
tuache utani,
Dr.Samia Suluhu Hassan anakubalika na anapendwa bana dah
Naona huijui power ya Rais na mwenyekiti wa CCM kikatiba ndo maana unadhani kila mtu ni mjinga. Hujui kuwa watumishi wa umma hutakiwa kuhudhuria matukio hayo na kuna sehemu zingine DEDs na wakuu wa idara huwapiga mkwara watumishi wao kuhudhuria?Hawa wanalipwa na nani? Usishindane na anayependwa na mwenye kibali na Mungu View attachment 3256153View attachment 3256154View attachment 3256156
Hakuna Mzalendo anaweza penda comedy kwenye mambo serious.Gentleman,
sasa waTanzania wote wazalendo wana makosa gani kumpenda kiongozi wao Dr Samia Suluhu Hassan?π
π§π€¦πΎββοΈgentleman,
ni kipi hasa kimekufanya umkubali na kumpenda sana Dr.Samia Suluhu Hassan Kuliko mwanansiasa mwingine yoyote nchini?
mengineyo andikia uzi gentleman
Si kweli. Mie sijawahi kumpenda hata sekundeJe, ni dhamira na nia yake njema kwa Taifa letu pekee? Au ni kwa namna alivyofanikiwa kuliunganisha taifa kwa falsafa yake ya 4Rs na kuifungua nchi miongoni mwa mataifa ya ulimwengu?
Au ni uwajibikaji wake wa viwango na record yake safi ya maendeleo yanayoonekana kwa wanainchi kwa muda mfupi na iliyotukuka kwenye nyanja za kijamii, kisiasa, kiuchumi, kitaifa na kimataifa?
Kwa maoni yako ya kizalendo, ni kipi hasa kimekufanya kutomskiliza mwanasiasa mwingine yeyote nchini ispokua Dr.Samia Suluhu Hassan, sambamba na mamilioni ya waTanzania kote nchini?
Na je,
ungependelea kuona kiongozi huyu shupavu na madhubuti anaongoza taifa letu hata zaidi ya mwaka 2030, ili kusudi taifa letu liyafikie malengo yake ya kimaendeleo chini ya uongozi wake?
Mungu Ibariki Tanzania
sasa shangazi propaganda imekaa wapi kwenye ukweli huo kwa mfano?Punguza propaganda
Kuuza bandari na mengineyo ndio kup
Aliyewaloga wanyika Mungu tu anajua.
Subiri uteuzipwagu na pwaguzi mnapeana moyo kinyooonge hivyo ndugu zangu π€£