Ni kwanini SIMBA SC ndiyo timu pekee iliyofungwa Home and Away kwenye CCL 2023/2024 na pia ndo timu iliyofungwa magori mengi zaidi kwe michuano hii

Dah! eti tunaanza kushangilia gori la 3? Ila Ahmed ni comedian too much
 
Tuwapige 7G awamu hii waujue ubora wetu,na tuwahakikishie kama sii hujuma kwa goli letu wananchi haooofainali🀣
 
Dah! eti tunaanza kushangilia gori la 3? Ila Ahmed ni comedian too much
Timu imejaa mazuzu Yl CEO ukimuona kama mtu wa maana akiongea ndio unajua ni empty set anatuletea WhatsApp channel na kibegi eti ni mafanikio, Mangungu hakuna kitu,, Try again bingwa wa uongo
 
Pia shida ni semaji la kolo kuhamishia uwanja wa mpira mdomoni,bado kola wanatoa mshahara kulilipa semaji chezaji mpira mdomoni⛹️‍♂️⛹️‍♂️⛹️‍♂️
 
Timu imejaa mazuzu Yl CEO ukimuona kama mtu wa maana akiongea ndio unajua ni empty set anatuletea WhatsApp channel na kibegi eti ni mafanikio, Mangungu hakuna kitu,, Try again bingwa wa uongo
Inabidi ieleweke kama kweli MO Alisha inunua SIMBA SC ili ijulikane ndo tatizo au!!
 
Ndio team inayoongoza kwa ball possession home and away. Pia imetengeneza nafasi nyingi sana ikashindwa kuzitumia.

Mo. Anatakiwa kufanya usajiri wa maana, aachane na mitumba.
 
Kama vipi tumpe Mgunda timu ili atupeleke nusu fainali msimu ujao. Benchika anatuchelewesha.
 
Happy school fees week .
 
Postini tena ile clip ya goal muendelee kujipa moyo. Umbwa nyie

Vipi ile barua yenu ya ovyo kwenda CAF imeshajibiwa na wanaume?
 
UTOPOLO hajafungwa nje ndani wameingia nusu FAINALI????
 
Hii timu inanikera sana hasa msemaji wetu yaani yupo busy na mambo yasiyo mhusu hata kama ni utani concentrate na mambo yako kwanza utani ni ziada
Mbona huwa simsikii?? Au huwa kuna sehemu mnasikilizia...au huwa anaulizwa ndo anajibu au huwa anabwabwaja tuu..maana katk watu ambao page zao za instagram hazina mipasho mipasho ni Ahmed Ally..ukienda kwa ali kamweeee amejaza page kuisema Simba..ukienda kwa kalikonji unakuta hivyo hivyo..
 
JIFARIJI!
 
Simba haikustahili ata kuingia makundi, ni timu mbovu kupita kiasi, kilichowabeba ni kuroga mpaka vibuyu vimepasuka.
 
Simba haikustahili ata kuingia makundi, ni timu mbovu kupita kiasi, kilichowabeba ni kuroga mpaka vibuyu vimepasuka.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]majini yamedunda kwa wazulu, poleeeee
 
Hebu kalale wa yeboyebo. Simba ikifungwa hata 8-0 hatuhami.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…