Ni kwanini soka la Tanzania limetawaliwa na Waislamu?

Ni kwanini soka la Tanzania limetawaliwa na Waislamu?

Status
Not open for further replies.
"Hakika mtafuata njia za wale waliokuwa kabla yenu shubiri kwa shubiri na dhiraa kwa dhiraa, hata kama wakiingia katika shimo la kenge, mtawafuata."
Wakasema: "Ewe Mtume wa Mwenyezi Mungu, (unamaanisha) Mayahudi na Wakristo?" Akasema: "Ni nani wengine?"
(Sahih Bukhari, Hadithi Na. 7320; Sahih Muslim, Hadithi Na. 2669)

Maana ya Hadithi

Kuiga Mayahudi na Wakristo: Mtume (S.A.W) alionya kwamba Waislamu watakuja kuiga tabia, mitindo ya maisha, na hata makosa ya kidini ya watu wa mataifa yaliyotangulia (Mayahudi na Wakristo).
 
Asilimia 90 ya viongozi kwenye mpira ni waislamu na hao wakristo watalaazimishwa kufuata tamadani za kiislamu. Na hata baadhi ya timu ili upate number ni lazima ubadili dini kwenda uislamu hata kwa siri. Selection ya wachezaji taifa stars imejaa udini.

Wachezaji wa kiislamu wanajazwa sana stars kuliko wakristo. Tukija mechi za kirafiki na kuweka kambi za pre season Mara nyingi tunapiga na timu za waarabu (waislamu) na kambi zinawekwa huko huko uarabuni.

Kuna siri gani kwenye hili maana binafsi naona sio fair kabisa kwani tu ni secular country. Ni nchi isiyo fungamana na dini yeyote.
Duu sasa huku tuliekuwa fikia kam taifa inahitajika maombi aisee kila sehemu nchi kumeharibika! Udini,udini na m udini
 
Kuna thread zinachekesha .

Uwanjan hawasomi Qur'an wala Injili ,, Uwanjan wanasukuma gozi la Ng'ombe tena hadharani wote twaona.

Pili mpira ni pesa na pesa Zaid ya pesa ulizonazo ,, na wenye pesa hizo hapa Tanzania ni wenye kuamini katika uislam.
 
Baba yako na bakhresa nani Ali focus kwenye mambo ya msingi
Nimecheka ila mleta mada ana hoja.. sema ni kama ulaya tu waafrica wanapewa hela na umaarufu ila elimu wanapewa Wazungu..

Wakristo Tanzania wana focus na mambo ya msingi ila kwenye mambo ya mpira hawapo sana
? Kwasababu bakhresa ni bilionea baba yako ni mchimba chumvi huko marangu
 
Kuna thread zinachekesha .

Uwanjan hawasomi Qur'an wala Injili ,, Uwanjan wanasukuma gozi la Ng'ombe tena hadharani wote twaona.

Pili mpira ni pesa na pesa Zaid ya pesa ulizonazo ,, na wenye pesa hizo hapa Tanzania ni wenye kuamini katika uislam.
Sio kweli kwamba waislamu wengi tu wanapesa. Ni wachache tu hao top ten ukitoa hapo waliobaki wenye uchumi mzuri ni wakristo.
 
Inawezekana mwanamke, wakiristo wengi wanasilimu kwa sababu ya wanaweka wa kiislamu.wanakimbia vimini
mi mwenyewe hapa nimezungukwa na vimwana wa kiislam, sijui itakuwaje wakinishawishi nifuate dini yao, tunapendana sana. Kuhusu timu ya taifa ilikuaje waislam wakatokwa povu jingi baada ya mbunifu kutoa jezi yenye michirizi kama msalaba wakati wa maandalizi kwenda afcon ya misri mpaka jezi ile ikasitishwa kuvaliwa?
 
Asilimia 90 ya viongozi kwenye mpira ni waislamu na hao wakristo watalaazimishwa kufuata tamadani za kiislamu. Na hata baadhi ya timu ili upate number ni lazima ubadili dini kwenda uislamu hata kwa siri. Selection ya wachezaji taifa stars imejaa udini.

Wachezaji wa kiislamu wanajazwa sana stars kuliko wakristo. Tukija mechi za kirafiki na kuweka kambi za pre season Mara nyingi tunapiga na timu za waarabu (waislamu) na kambi zinawekwa huko huko uarabuni.

Kuna siri gani kwenye hili maana binafsi naona sio fair kabisa kwani tu ni secular country. Ni nchi isiyo fungamana na dini yeyote.

Kuna shida gani kama waislamu ndio wanatawala? It is all about investment. Wewe kama umewekeza kwenye kuwa boss wa shirika la umma so be it.
Mkiamua kuwekeza watoto wawe wana michezo, fursa pia ipo. Tusibaguane kwa hoja zisizo na kicwa wala mguu
 
Hii ni dalili ya kufirisika kimawazo!
Ukimaliza la udini utaenda kuulizia Wachagga mbona hawapangwi!

Kimsingi unapaswa kuhoji kwenye sekta ya Umma na si sekta binafsi!

Mbona hauhoji waajiriwa wa Umma 80% ni wa dini Moja?
 
Asilimia 90 ya viongozi kwenye mpira ni waislamu na hao wakristo watalaazimishwa kufuata tamadani za kiislamu. Na hata baadhi ya timu ili upate number ni lazima ubadili dini kwenda uislamu hata kwa siri. Selection ya wachezaji taifa stars imejaa udini.

Wachezaji wa kiislamu wanajazwa sana stars kuliko wakristo. Tukija mechi za kirafiki na kuweka kambi za pre season Mara nyingi tunapiga na timu za waarabu (waislamu) na kambi zinawekwa huko huko uarabuni.

Kuna siri gani kwenye hili maana binafsi naona sio fair kabisa kwani tu ni secular country. Ni nchi isiyo fungamana na dini yeyote.
Ndio waliowengi kila kona.
Zamani tuliaminishwa hawana Elimu Dunia.

Nenda vyuo vikuu uone Lecturers and professors.

Nenda Mamlaka na ztaasis za serikali wamejaa.
 
Ila waislam tunachukiwa khaa kuna miaka Tanzania watu walilalama na mpaka sasa nadhani ipo hivyo nyadhifa nyingi kwa umma wamepewa au mmepewa mrengo wa kushoto ila hamulioni mmeona mpira tu basi wafukuzeni mukabebe player's chachi
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom