Ni kwanini soka la Tanzania limetawaliwa na Waislamu?

Ni kwanini soka la Tanzania limetawaliwa na Waislamu?

Status
Not open for further replies.
vipi katika mziki, maswumbwi, bao, draft,karata, karate, judo, taarabu wengi ni upande huo kutoka maeneo ya pwani sababu kuu hawalimi mazao ya mda mfupi . Mazao wanayo lima ni ya mda mrefu kama nazi, korosho,karafuu,michungwa na n.k hivyo watoto wanakuwa na mda mwingi wa kujishughulisha na michezo husika ,kibongo bongo unakuta mtu anatusua .
 
Asilimia 90 ya viongozi kwenye mpira ni waislamu na hao wakristo watalaazimishwa kufuata tamadani za kiislamu. Na hata baadhi ya timu ili upate number ni lazima ubadili dini kwenda uislamu hata kwa siri. Selection ya wachezaji taifa stars imejaa udini.

Wachezaji wa kiislamu wanajazwa sana stars kuliko wakristo. Tukija mechi za kirafiki na kuweka kambi za pre season Mara nyingi tunapiga na timu za waarabu (waislamu) na kambi zinawekwa huko huko uarabuni.

Kuna siri gani kwenye hili maana binafsi naona sio fair kabisa kwani tu ni secular country. Ni nchi isiyo fungamana na dini yeyote.
waislamu hawajui boli ni bongo tu hamna kazi za kufanya .uzembe darasani.mekimbilia mpira. Ulishwahi ona kombe la dunia waarabu wanafurukuta?
 
Asilimia 90 ya viongozi kwenye mpira ni waislamu na hao wakristo watalaazimishwa kufuata tamadani za kiislamu. Na hata baadhi ya timu ili upate number ni lazima ubadili dini kwenda uislamu hata kwa siri. Selection ya wachezaji taifa stars imejaa udini.

Wachezaji wa kiislamu wanajazwa sana stars kuliko wakristo. Tukija mechi za kirafiki na kuweka kambi za pre season Mara nyingi tunapiga na timu za waarabu (waislamu) na kambi zinawekwa huko huko uarabuni.

Kuna siri gani kwenye hili maana binafsi naona sio fair kabisa kwani tu ni secular country. Ni nchi isiyo fungamana na dini yeyote.
Asilimia 90 ya viongozi kwenye mpira ni waislamu na hao wakristo watalaazimishwa kufuata tamadani za kiislamu. Na hata baadhi ya timu ili upate number ni lazima ubadili dini kwenda uislamu hata kwa siri. Selection ya wachezaji taifa stars imejaa udini.

Wachezaji wa kiislamu wanajazwa sana stars kuliko wakristo. Tukija mechi za kirafiki na kuweka kambi za pre season Mara nyingi tunapiga na timu za waarabu (waislamu) na kambi zinawekwa huko huko uarabuni.

Kuna siri gani kwenye hili maana binafsi naona sio fair kabisa kwani tu ni secular country. Ni nchi isiyo fungamana na dini yeyote.
Kwa usicho kijua ndoujue sasa pwani yote imetawaliwa na uislama kuanzia tanga,DSM,mtwara hadi mafia na pwani ndo maendeleo yalipo na ustarabu ulianzia pwani tuludi kwenye hoja yako kumbuka simba na yanga timu za dsm kwaiyo ndo ulipo uislam na ustarabu ulipo kwaiyo siyo cha kushangaa mzee
 
Mm nadhani kuna haja ya serikali kuanzisha msako mkali dhidi ya waanzisha mijadala ya kidini kwenye mitandao ya kijamii hasa hawa warokole uchwara walio jazana Jf maana ime kuwa to much.

Ya kwamba sasa hivi wachezaji waanze kuitwa timu ya taifa kwa kuangalia dini zao na sio viwango vyao?
Kweli kabisa,hawa mbwa wanataka kuleta machafuko siku za mbeleni,wakristo wanaongoza kwa mada za chuki za kidini kabisa kabisa,utadhani wana nchi nyingine ya kwenda kuishi pakitokea machafuko nchini,


Itungwe sheria kali dhidi ya hawa mbwa wanaotaka kuvuruga amani, ni hii yote chanzo ni makanisa pia ya kilokole na wengineo
 
Asilimia 90 ya viongozi kwenye mpira ni waislamu na hao wakristo watalaazimishwa kufuata tamadani za kiislamu. Na hata baadhi ya timu ili upate number ni lazima ubadili dini kwenda uislamu hata kwa siri. Selection ya wachezaji taifa stars imejaa udini.

Wachezaji wa kiislamu wanajazwa sana stars kuliko wakristo. Tukija mechi za kirafiki na kuweka kambi za pre season Mara nyingi tunapiga na timu za waarabu (waislamu) na kambi zinawekwa huko huko uarabuni.

Kuna siri gani kwenye hili maana binafsi naona sio fair kabisa kwani tu ni secular country. Ni nchi isiyo fungamana na dini yeyote.
Wanataka wachezaji wetu wajifunze ugaidi.
 
Kweli kabisa,hawa mbwa wanataka kuleta machafuko siku za mbeleni,wakristo wanaongoza kwa mada za chuki za kidini kabisa kabisa,utadhani wana nchi nyingine ya kwenda kuishi pakitokea machafuko nchini,


Itungwe sheria kali dhidi ya hawa mbwa wanaotaka kuvuruga amani, ni hii yote chanzo ni makanisa pia ya kilokole na wengineo
Na mods si wa kwao!
Wanaziachia tu hizi mada!

Sijui kwa vile ni wakristo wenzao ndiyo maana wanaziachia?
 
Ila waislam tunachukiwa khaa kuna miaka Tanzania watu walilalama na mpaka sasa nadhani ipo hivyo nyadhifa nyingi kwa umma wamepewa au mmepewa mrengo wa kushoto ila hamulioni mmeona mpira tu basi wafukuzeni mukabebe player's chachi
povu, kama kawaida yako
 
Kwaiyo wachezaji waislam ni magaidi? Huko makanisani kkkkkt na siju Rouma kkatuliki mnafundishwa chuki tu dhidi ya waislam? Kwaiyo wchezaji waislam ni magaidi sio
Wakristo wa Jf ni watu ambao wanajiona wapo safi sana na kujisifu dini yao inafundisha upendo.

Lakini wanayoyaandika ni tofauti kabisa! Kiwango chao cha chuki dhidi ya uislam ni kikubwa mnoo!
 
Kama ni hivyo , sio vizuri.
George mpole
Lucas Kikoti
Nickson Kibabage
Max Mpia Zengeri "Baba Askofu"
Cletus Chama
Saimon Msuva "Huyu ni Petro"
Kelvin John
Kibwana Shomari
Shukuru Kapombe

Hao ni baadhi tu
 
Kwa wachezaji, mikoa ya pwani huwapa watoto muda mwingi wa kucheza. Huko uswahilini kuna viwanja vingi tu watoto wanacheza boli, na wana makocha wao.

Kila mtaa utakuta una timu, kuna ligi mbalimbali tofauti na mikoa mingine michezo hawaipi kipaombele.
Karma kuna kaukweli vile!!!
 
Mm nadhani kuna haja ya serikali kuanzisha msako mkali dhidi ya waanzisha mijadala ya kidini kwenye mitandao ya kijamii hasa hawa warokole uchwara walio jazana Jf maana ime kuwa to much.

Ya kwamba sasa hivi wachezaji waanze kuitwa timu ya taifa kwa kuangalia dini zao na sio viwango vyao?
'warokore' wamefanya nini mpaka uwatolee povu wakati hawajihusishi na mambo hayo?
 
Hatuendelei mkuu tumeendekeza dini kwenye soka.
Tanzania kwa ukanda huu wa kusini mwa janga la sahara tumequalify afcon mara mbili huku tuki invest kwenye ligi yetu na wachezaji wa ndani, ni tanzania na southafrica tu ndio tumefanikiwa kwa hilo na wachambuzi wote duniani wanapongeza kwa maendeleo makubwa ya ligi yetu na mpira kwa ujumla tanzania, hakuna ligi inayofanya vizuri ukiacha southafrica, ila wengi wenu ushamba unawasumbua hamjui vitu kama hivi mmebakia udini tu ujinga mtupu
 
Hata kwenye kutafuta uhuru waislam walikua wengi,ndiyo watu wa mijini, wengine wameletwa mjini na shule,bila juhudi za mwenyeheri kila sehemu waislam wangekua wengi
naona umeshiba maandiko ya mohamed said
 
Asilimia 90 ya viongozi kwenye mpira ni waislamu na hao wakristo watalaazimishwa kufuata tamadani za kiislamu. Na hata baadhi ya timu ili upate number ni lazima ubadili dini kwenda uislamu hata kwa siri. Selection ya wachezaji taifa stars imejaa udini.

Wachezaji wa kiislamu wanajazwa sana stars kuliko wakristo. Tukija mechi za kirafiki na kuweka kambi za pre season Mara nyingi tunapiga na timu za waarabu (waislamu) na kambi zinawekwa huko huko uarabuni.

Kuna siri gani kwenye hili maana binafsi naona sio fair kabisa kwani tu ni secular country. Ni nchi isiyo fungamana na dini yeyote.
Acha upumbavu
Idiot
 
naona umeshiba maandiko ya mohamed said
Kasikilize hotuba ya Nyerere na wazee wa dar..'mkiristu nilikua peke yangu,Mara moja moja alikua anakuja John rupia,lakini wazee wangu wote wale walikua waislam..'
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom