Ni kwanini soka la Tanzania limetawaliwa na Waislamu?

Ni kwanini soka la Tanzania limetawaliwa na Waislamu?

Status
Not open for further replies.
Wakristo mnapenda sana kujilizaliza, mwambie askofu Penggo aanzishe timu ya wakkristo watupu

Hayo mambo ya msingi hayana masilai mazuri ukilinganisha na mpira, au hujui ilo?? Mtumishi wa kawaida wa serikalini anamfikia mshahara mchezaji wa simba au yangu,au Azam? Dokta tu mshahara milioni na nusu,sijui hao walimu
mjuba acha ujinga, pengo si kiongozi wa wakristo wote ni kiongozi wa wakatoliki
 
'warokore' wamefanya nini mpaka uwatolee povu wakati hawajihusishi na mambo hayo?
Tangu haya makanisa ya kirokole yaanze kutamalaki ndani ya nchi hii chuki na kashifa za kidini zimekuwa kwa kiwango kikubwa.
Wengi wa waanzilishi wa mijadala ya kashifa za kidini humu ni wafuasi wa makanisa ya kirokole na manabii uchwara.
Ni mara chache sana kukuta msabato au mkatoliki ameanzisha mada za kukashifiana.

Tukitaka umoja ndani ya nchi hii udumu urokole una takiwa kudhibitiwa kwa mkono wa chuma.
 
Kengold
Pamba jiji
Coastal union
Namungo
Kagera sugar
Tanzania prisons
JKT
Dodoma jiji
Mashujaa
KMC
Tabora utd
Singida BS
SFG


...........
Karibu viongozi wote na wasemaji wa vilabu tajwa hapo juu ni Wakristo, Unaposema 90% ni waislamu unarefer kwa vilabu vya Yanga, Simba na Azam pekee ambavyo vinatokea Kariakoo penye asili ya Waswahili na uislamu? Kama hiyo ndiyo reference yako nadhani umefeli vibaya mno.
 
Kweli kabisa,hawa mbwa wanataka kuleta machafuko siku za mbeleni,wakristo wanaongoza kwa mada za chuki za kidini kabisa kabisa,utadhani wana nchi nyingine ya kwenda kuishi pakitokea machafuko nchini,


Itungwe sheria kali dhidi ya hawa mbwa wanaotaka kuvuruga amani, ni hii yote chanzo ni makanisa pia ya kilokole na wengineo
Na mbaya zaidi ni mod kulifumbia macho hili,kila siku mijadala ya kashifa dhidi ya waisilam ina anzishwa wanaiangalia hawachukui hatua ,sasa sijajua na wao ni waendesha kampeni ya hichi kinachoendelea?
 
Sio soka tu hata Matajiri Top 10 wote Wa hapa Tanzania 8/10 au Kama sio wote ni Kobazi ...

Nafikiri utawala wa sultan wakawahi kufanya Investment, History .
Na vp chadema wale walikamatwa wote wawe wakristo
 
Tukienda kwenye biashara ya Mafuta vituo vya Sheli 90% ni vya Waislam.

Makampuni ya usafirishaji abiria na mizigo ni wao wamedominate

Wewe mkristu wapi umekatazwa kufanya biashara hizo? Lazima tufahamu hakunafree lunch kwenye hii dunia. Tunavuna kile tunachopanda.
Kama tuko busy kukemea mapepo halafu tunategemea miujiza, tutasubiri sana. Vinginevyo ni kuamua tunachotaka na kukifanyia kazi.
Matokeo lazima yatakuja
 
Wewe mkristu wapi umekatazwa kufanya biashara hizo? Lazima tufahamu hakunafree lunch kwenye hii dunia. Tunavuna kile tunachopanda.
Kama tuko busy kukemea mapepo halafu tunategemea miujiza, tutasubiri sana. Vinginevyo ni kuamua tunachotaka na kukifanyia kazi.
Matokeo lazima yatakuja
Ndio maana nimetaka kuonesha mleta mada asishangae kwenye mpira tu bali hata angle zingine wapo.
 
Asilimia 90 ya viongozi kwenye mpira ni waislamu na hao wakristo watalaazimishwa kufuata tamadani za kiislamu. Na hata baadhi ya timu ili upate number ni lazima ubadili dini kwenda uislamu hata kwa siri. Selection ya wachezaji taifa stars imejaa udini.

Wachezaji wa kiislamu wanajazwa sana stars kuliko wakristo. Tukija mechi za kirafiki na kuweka kambi za pre season Mara nyingi tunapiga na timu za waarabu (waislamu) na kambi zinawekwa huko huko uarabuni.

Kuna siri gani kwenye hili maana binafsi naona sio fair kabisa kwani tu ni secular country. Ni nchi isiyo fungamana na dini yeyote.
Waislamu ni wengi kwa sababu hawajasoma na hawajaajiriwa serikalini kama Wakristu
 
Ni nchi isiyo fungamana na dini yeyote.

Imetokea tu, ukiangalia timu za Kenya Harambee Stars na za ligi kuu ya Kenya wengi ni Wajaluo majina ya ukoo Onya.. au Akumu yaani yanaanzia herufi O au A

HARAMBEE STARS KENYA

Goalkeepers​

  • Ian Otieno (Richards Bay FC),
  • Patrick Matasi (Kenya Police),
  • Byrne Omondi (Bandari)

Defenders
  • Alphonce Omija (Gor Mahia),
  • Daniel Anyembe (Viborg),
  • Amos Nondi (Ararat),
  • Sylvester Owino (Gor Mahia),
  • Johnstone Omurwa (Abha),
  • Collins Sichenje (Vojvodina),
  • Joseph Okumu (Reims),
  • Geoffrey Ochieng (Gor Mahia),
  • Eric Ouma (Rakow)

Midfielders

  • David Odoyo (Tusker),
  • Chrispine Erambo (Tusker),
  • Richard Odada (Dundee United),
  • John Ochieng (Zanaco),
  • Timothy Ouma (Elfsborg),
  • Anthony Akumu (Kheybar),
  • Duke Abuya (Yanga),
  • Ronney Onyango (Gor Mahia),
  • Austine Odhiambo (Gor Mahia),
  • Boniface Muchiri (Ulinzi Stars)

Forwards
  • John Avire (El Sekka El Hadid),
  • Michael Olunga (Duhail-Oman),
  • Jonah Ayunga (ST. Mirren-Scotland), ,
  • Adam Wilson (New Saints),
  • Sydney Lokale (AFC Leopards),
  • Alfred Scriven (Bryne FK)
 
Hivyo hivyo timu ya Taifa ya Nigeria the Green Eagles na klabu za ligi kuu wengi wanatokea jimbo la Kusini wakristo
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom