Bush Dokta
JF-Expert Member
- Apr 11, 2023
- 24,831
- 45,154
Tukienda kwenye biashara ya Mafuta vituo vya Sheli 90% ni vya Waislam.Kuna shida gani kama waislamu ndio wanatawala? It is all about investment. Wewe kama umewekeza kwenye kuwa boss wa shirika la umma so be it.
Mkiamua kuwekeza watoto wawe wana michezo, fursa pia ipo. Tusibaguane kwa hoja zisizo na kicwa wala mguu
Hata Mziki Bongo Fleva ni Waislam tuπ π πHii ni dalili ya kufirisika kimawazo!
Ukimaliza la udini utaenda kuulizia Wachagga mbona hawapangwi!
Kimsingi unapaswa kuhoji kwenye sekta ya Umma na si sekta binafsi!
Mbona hauhoji waajiriwa wa Umma 80% ni wa dini Moja?
Hata kwenye kutafuta uhuru waislam walikua wengi,ndiyo watu wa mijini, wengine wameletwa mjini na shule,bila juhudi za mwenyeheri kila sehemu waislam wangekua wengiWao waislam Wana Muda wakutosha wanaowekeza kwenye michezo mfano ngumi,,,mpira WA miguu,, basket nk Sisi wakristo labda mikoa kama mbeya,,Moro ndio kuna muamko wa mpira na wakristo baadhi kushiriki...Na mikoa yenye washirika wengi wa michezo hapa tz ni mbeya,,moro,,kigoma,,tanga,,,dsm na zanj...Kwa hio tatizo liko kwa wakristo wenyewe kutokuwa na ari ya michezo kulinganisha na wenzetu Muslim.........
Kwenye kuongoza vyama vya michezo naona wachukua form wengi wanakuwa Muslim..... Christian ni mashabiki na wasindikizaji.....Japo Sasa baada ya ajira kuwa ngumu serikalini fursa zote zitatafutwa Kwa bidii...Maisha yameshabadilika Sana.
Hamkubali kuwa alibadili dini kwa kuwa Imani ya awali haieleweki unamuabudu nani!?Hii siri hataisema popote ila huo ndo ukwel
Makabachori ila Wabantu wanaofuata desturi na tamaduni ya kiislam hali ni tofauti kabisaMbona wanadai wanaonewa kila siku wakati matajiri, viongozi, wasanii na wanamichezo wengi ni wao?
Hatuendelei mkuu tumeendekeza dini kwenye soka.Kumbe?
Ndio maana mpira wetu unaishia hapa hapa tu
Mpira sio jambo la msingi?,unadhani matajiri wa kiislama wanaoifadhili simba,yanga ama azam,.......wanatoa sadaka za kigango cha parokia kuendesha timu?ππNimecheka ila mleta mada ana hoja.. sema ni kama ulaya tu waafrica wanapewa hela na umaarufu ila elimu wanapewa Wazungu..
Wakristo Tanzania wana focus na mambo ya msingi ila kwenye mambo ya mpira hawapo sana
Sema ni waarabu na wahind. Humpati muislamu mswahiliSio soka tu hata Matajiri Top 10 wote Wa hapa Tanzania 8/10 au Kama sio wote ni Kobazi ...
Nafikiri utawala wa sultan wakawahi kufanya Investment, History .
Kitu chochote kinachofanyika Dar,ama Pwani lazima kifanywe na wingi wa waislam.Asilimia 90 ya viongozi kwenye mpira ni waislamu na hao wakristo watalaazimishwa kufuata tamadani za kiislamu. Na hata baadhi ya timu ili upate number ni lazima ubadili dini kwenda uislamu hata kwa siri. Selection ya wachezaji taifa stars imejaa udini.
Wachezaji wa kiislamu wanajazwa sana stars kuliko wakristo. Tukija mechi za kirafiki na kuweka kambi za pre season Mara nyingi tunapiga na timu za waarabu (waislamu) na kambi zinawekwa huko huko uarabuni.
Kuna siri gani kwenye hili maana binafsi naona sio fair kabisa kwani tu ni secular country. Ni nchi isiyo fungamana na dini yeyote.
Sawa boss .Sema ni waarabu na wahind. Humpati muislamu mswahili
Usilam hauna ethnicity,......Mohamed Dewji ni mtanzania na ni muislam na ni tajiri.......hata Bukoba Ina watu weusi sawa na Zanzibar na wasomi sanaaa ππππ€£ukicompare na zanzibari........ila uchumi wa Zanzibar ni mara 1000 ya uchumi wa BukobaπππSema ni waarabu na wahind. Humpati muislamu mswahili
Kivipi nawakati nyerere ndo alipewa uhuruKitu chochote kinachofanyika Dar,ama Pwani lazima kifanywe na wingi wa waislam.
Unajua hata wapigania uhuru walikua 95% waislam.
Wamission walikua wanawatunza wakoloni ili waendelee kututawala,........
Uislam ni alama ya uhuru,na uhuru ndio utajiri
Iwe biashara,michezo,mpira,mziki,as long as long hilo jambo chimbuko lake no eastern zone........tarajia waislam kua ndio waanzalishi,......TAA,ilizaa TANU,ikazaa CCM..............TAA=ni chama kilichoanzishwa na waislam 100%......yaani huwezi itenganisha hoi nchi na uislam
Ukishajua nani aliyemuachisha KAZI Nyerere St Joseph Pugu na kumlipa mshahara mara 2 ya ualimu,ndio utajua wanani ni sponsor wa hii nchi?Kivipi nawakati nyerere ndo alipewa uhuru
Wakristo mnapenda sana kujilizaliza, mwambie askofu Penggo aanzishe timu ya wakkristo watupuAsilimia 90 ya viongozi kwenye mpira ni waislamu na hao wakristo watalaazimishwa kufuata tamadani za kiislamu. Na hata baadhi ya timu ili upate number ni lazima ubadili dini kwenda uislamu hata kwa siri. Selection ya wachezaji taifa stars imejaa udini.
Wachezaji wa kiislamu wanajazwa sana stars kuliko wakristo. Tukija mechi za kirafiki na kuweka kambi za pre season Mara nyingi tunapiga na timu za waarabu (waislamu) na kambi zinawekwa huko huko uarabuni.
Kuna siri gani kwenye hili maana binafsi naona sio fair kabisa kwani tu ni secular country. Ni nchi isiyo fungamana na dini yeyote.
Hayo mambo ya msingi hayana masilai mazuri ukilinganisha na mpira, au hujui ilo?? Mtumishi wa kawaida wa serikalini anamfikia mshahara mchezaji wa simba au yangu,au Azam? Dokta tu mshahara milioni na nusu,sijui hao walimuNimecheka ila mleta mada ana hoja.. sema ni kama ulaya tu waafrica wanapewa hela na umaarufu ila elimu wanapewa Wazungu..
Wakristo Tanzania wana focus na mambo ya msingi ila kwenye mambo ya mpira hawapo sana
Kwanini asiende kutafuta uhuru yeye akawa anaangaika na nyerereUkishajua nani aliyemuachisha KAZI Nyerere St Joseph Pugu na kumlipa mshahara mara 2 ya ualimu,ndio utajua wanani ni sponsor wa hii nchi?
Unajua kadi tano za kwanza CCM,4 za waislam?
Unajua Kwa Nini pale mjini kati Kuna mtaa wa Azizi Ally?,......unawajua wakina Dosa Azizi.......mji una wenyewe huu mkuu?
Ushasikia raisi anaongea na wazee wa Iringa?ππ π
Kwa nini aonge na wazee wa Dar es salaam TU?