mjuba acha ujinga, pengo si kiongozi wa wakristo wote ni kiongozi wa wakatolikiWakristo mnapenda sana kujilizaliza, mwambie askofu Penggo aanzishe timu ya wakkristo watupu
Hayo mambo ya msingi hayana masilai mazuri ukilinganisha na mpira, au hujui ilo?? Mtumishi wa kawaida wa serikalini anamfikia mshahara mchezaji wa simba au yangu,au Azam? Dokta tu mshahara milioni na nusu,sijui hao walimu
Tangu haya makanisa ya kirokole yaanze kutamalaki ndani ya nchi hii chuki na kashifa za kidini zimekuwa kwa kiwango kikubwa.'warokore' wamefanya nini mpaka uwatolee povu wakati hawajihusishi na mambo hayo?
Na mbaya zaidi ni mod kulifumbia macho hili,kila siku mijadala ya kashifa dhidi ya waisilam ina anzishwa wanaiangalia hawachukui hatua ,sasa sijajua na wao ni waendesha kampeni ya hichi kinachoendelea?Kweli kabisa,hawa mbwa wanataka kuleta machafuko siku za mbeleni,wakristo wanaongoza kwa mada za chuki za kidini kabisa kabisa,utadhani wana nchi nyingine ya kwenda kuishi pakitokea machafuko nchini,
Itungwe sheria kali dhidi ya hawa mbwa wanaotaka kuvuruga amani, ni hii yote chanzo ni makanisa pia ya kilokole na wengineo
Kwani ulikuwa hujuwi?Kwaiyo wachezaji waislam ni magaidi? Huko makanisani kkkkkt na siju Rouma kkatuliki mnafundishwa chuki tu dhidi ya waislam? Kwaiyo wchezaji waislam ni magaidi sio
We unapata faida gani na haya mambo? tuanzie hapo kwanza. Maana mimi sioni mantiki yeyoteNa uchumi wa nchi yako umeshikiliwa na nani?umewahi kujiuliza?
Na vp chadema wale walikamatwa wote wawe wakristoSio soka tu hata Matajiri Top 10 wote Wa hapa Tanzania 8/10 au Kama sio wote ni Kobazi ...
Nafikiri utawala wa sultan wakawahi kufanya Investment, History .
Tukienda kwenye biashara ya Mafuta vituo vya Sheli 90% ni vya Waislam.
Makampuni ya usafirishaji abiria na mizigo ni wao wamedominate
Ndio maana nimetaka kuonesha mleta mada asishangae kwenye mpira tu bali hata angle zingine wapo.Wewe mkristu wapi umekatazwa kufanya biashara hizo? Lazima tufahamu hakunafree lunch kwenye hii dunia. Tunavuna kile tunachopanda.
Kama tuko busy kukemea mapepo halafu tunategemea miujiza, tutasubiri sana. Vinginevyo ni kuamua tunachotaka na kukifanyia kazi.
Matokeo lazima yatakuja
Waislamu ni wengi kwa sababu hawajasoma na hawajaajiriwa serikalini kama WakristuAsilimia 90 ya viongozi kwenye mpira ni waislamu na hao wakristo watalaazimishwa kufuata tamadani za kiislamu. Na hata baadhi ya timu ili upate number ni lazima ubadili dini kwenda uislamu hata kwa siri. Selection ya wachezaji taifa stars imejaa udini.
Wachezaji wa kiislamu wanajazwa sana stars kuliko wakristo. Tukija mechi za kirafiki na kuweka kambi za pre season Mara nyingi tunapiga na timu za waarabu (waislamu) na kambi zinawekwa huko huko uarabuni.
Kuna siri gani kwenye hili maana binafsi naona sio fair kabisa kwani tu ni secular country. Ni nchi isiyo fungamana na dini yeyote.
Ni nchi isiyo fungamana na dini yeyote.