Bush Dokta
JF-Expert Member
- Apr 11, 2023
- 24,831
- 45,154
Kwenye List mashuhuri za Mawakili Mahiri hapa Tanzania ukianza wale wa zamani utasikia ni akina Endrew Chenge, Akina Mkono, Dr Harrison Mwakyembe na akina Prof Kabudi.
Ukija kwa vizazi vya hivi karibuni list ni ndefu mfano
Peter Kibatala
John Mallya
Dickson Matata
Tundu Lissu
Peter Madereka
Kajujumbele Mwabukusi
Bila kujali kama Orodha yangu ni sahihi kiasi gani je ni Kwanini hakuna Wanawake?
Ukija kwa vizazi vya hivi karibuni list ni ndefu mfano
Peter Kibatala
John Mallya
Dickson Matata
Tundu Lissu
Peter Madereka
Kajujumbele Mwabukusi
Bila kujali kama Orodha yangu ni sahihi kiasi gani je ni Kwanini hakuna Wanawake?