GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
WANAOTOKA TAMASHA LA MWAKASEGE
1. Werevu Kimazungumzo
2. Wana Afya ya Kimwonekano
3. Hawana Uchovu Kimwili
4. Hawaonekani kama Wamechanganyikiwa
5. Wengi wao ni Intellectuals
6. Wameshiba Neno na siyo Mapepo na Miujiza
7. Siyo Omba Omba ( hasa wa Chakula au Nauli ) Ibada ikimalizika.
WANAOTOKA TAMASHA LA MWAMPOSA
1. Ni kama Wamechanganyikiwa
2. Hawajui wanataka nini
3. Kwao Muhimu ni Kushiba Miujuza na siyo Neno
4. Ukitaka kujenga nao Hoja ya Kiimani tegemea Kupigwa nao Ngumi au hata Kutukanwa Matusi
5. Baada ya Ibada hugeuka Matonya ( Omba Omba ) wa ama Chakula au Nauli
6. Wana Hasira ( Jazba ) kwa 99% na ni Watulivu kwa 1% tu.
7. Japo wametoka Ibadani ila sometimes ukijisahau tu labda Wakupekeche / Wakuibie.
Ewe Mwenyezi Mungu tusaidie mno.
1. Werevu Kimazungumzo
2. Wana Afya ya Kimwonekano
3. Hawana Uchovu Kimwili
4. Hawaonekani kama Wamechanganyikiwa
5. Wengi wao ni Intellectuals
6. Wameshiba Neno na siyo Mapepo na Miujiza
7. Siyo Omba Omba ( hasa wa Chakula au Nauli ) Ibada ikimalizika.
WANAOTOKA TAMASHA LA MWAMPOSA
1. Ni kama Wamechanganyikiwa
2. Hawajui wanataka nini
3. Kwao Muhimu ni Kushiba Miujuza na siyo Neno
4. Ukitaka kujenga nao Hoja ya Kiimani tegemea Kupigwa nao Ngumi au hata Kutukanwa Matusi
5. Baada ya Ibada hugeuka Matonya ( Omba Omba ) wa ama Chakula au Nauli
6. Wana Hasira ( Jazba ) kwa 99% na ni Watulivu kwa 1% tu.
7. Japo wametoka Ibadani ila sometimes ukijisahau tu labda Wakupekeche / Wakuibie.
Ewe Mwenyezi Mungu tusaidie mno.