Ni kwanini ukikutana na Wanaotoka Tamasha la Mwakasege na Mwamposa Kawe unaiona tofauti hii Kubwa?

Ni kwanini ukikutana na Wanaotoka Tamasha la Mwakasege na Mwamposa Kawe unaiona tofauti hii Kubwa?

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mwakasege hakukosea kujiita mwalimu, ni mtu anaweza sikilizwa na dini/dhehebu lolote na ukatoka na kitu kikubwa.
Ana semina ya siku tano inaendelea Kawe na anamaliza kesho. Nimehudhuria siku zote tangu ianze.

Itoshe tu kusema kwamba Mwakasege kweli ni Mwalimu na Neno la Mungu Analijua. Na napenda alivyo simple. Ni neno tu basi hakuna makorokocho mengine wala maigizo.

Somo analofundisha katika semina hii (Maombi ya Kimkakati) ni gumu kidogo lakini anakwenda polepole na anahakikisha kuwa kila mtu anaelewa kwa kadri ya uwezo wake. Ni Neno kwa Neno, Mifano kwa Mifano...

Mungu Azidi kumtunza mtumishi huyu.

Na katika miaka hii minne inayokuja anasisitiza sana tuiombee Tanzania maana itapita katika misukosuko mingi. Ndiyo lengo hasa la semina hii. Kupata makuhani watakaosimama katika zamu zao ili kuiombea nchi yetu kwa maombi ya kimkakati hasa katika miaka hii minne inayokuja...
Screenshot_20230311_104025_Chrome.jpg
 
Ana semina ya siku tano inaendelea Kawe na anamaliza kesho. Nimehudhuria siku zote tangu ianze.

Itoshe tu kusema kwamba Mwakasege kweli ni Mwalimu na Neno la Mungu Analijua. Na napenda alivyo simple. Ni neno tu basi hakuna makorokocho mengine wala maigizo.

Somo analofundisha katika semina hii (Maombi ya Kimkakati) ni gumu kidogo lakini anakwenda polepole na anahakikisha kuwa kila mtu anaelewa kwa kadri ya uwezo wake. Ni Neno kwa Neno, Mifano kwa Mifano...

Mungu Azidi kumtunza mtumishi huyu.

Na katika miaka hii minne inayokuja anasisitiza sana tuiombee Tanzania maana itapita katika misukosuko mingi. Ndiyo lengo hasa la semina hii. Kupata makuhani watakaosimama katika zamu zao ili kuiombea nchi yetu hasa katika miaka hii minne inayokuja...
View attachment 2545758
Huyu ndio mlokole pekee huwa nafuatilia mafundisho yake.
 
Bulldozer kamatia hapo hapo... wanaokuponda wataendelea kuweweseka tu.
 
Hao Wana huduma mbili tofauti watafananaje SAsa.
1.Mmoja ni Mwalimu
2.Mwingine ni mtume na Nabii.
So hata wafuasi wao upata huduma tofauti.
 
Jambo hili MINOCYCLINE well informed person alikuwa anasema wata wakamuona ana chuki sasa hivi na wewe umeliona sijui watasemaje ...
 
Hapo umenena kweli.
Maandiko yanasema watu wangu wanaangamia kwa sababu ya kukosa maarifa.
Jamii yetu haina elimu ya kutosha ama iwe ya ahera au dunia. Ndiyo maana wanakuwa windo rahisi kwa watu wenye nia isiyo nzuri na wasio na hata chembe ya huruma.

Na wote wakiwa na maarifa hakutakuwa na haja ya uwepo wa walimu,wachungaji ,wainjilisti,mitume na manabii
 
Ana semina ya siku tano inaendelea Kawe na anamaliza kesho. Nimehudhuria siku zote tangu ianze.

Itoshe tu kusema kwamba Mwakasege kweli ni Mwalimu na Neno la Mungu Analijua. Na napenda alivyo simple. Ni neno tu basi hakuna makorokocho mengine wala maigizo.

Somo analofundisha katika semina hii (Maombi ya Kimkakati) ni gumu kidogo lakini anakwenda polepole na anahakikisha kuwa kila mtu anaelewa kwa kadri ya uwezo wake. Ni Neno kwa Neno, Mifano kwa Mifano...

Mungu Azidi kumtunza mtumishi huyu.

Na katika miaka hii minne inayokuja anasisitiza sana tuiombee Tanzania maana itapita katika misukosuko mingi. Ndiyo lengo hasa la semina hii. Kupata makuhani watakaosimama katika zamu zao ili kuiombea nchi yetu kwa maombi ya kimkakati hasa katika miaka hii minne inayokuja...
View attachment 2545758
Ukiona GENTAMYCINE namkubali Mtu ( kama Mwakasege ) jua amebarikiwa na ana Akili na siyo kama Wapuuzi Wengine.
 
Halafu huwa wanakwepa kulipa nauli kwa konda kwenye daladala wakiwa wanaenda kufuata miujiza, halafu wakifika wanashuhudia WIZI wao 😂😂😂 eti Mungu kawafanyia muujiza wa konda kuwasahau kuwalipisha nauli il hali kulipa nauli ni WAJIBU na siyo lazima mpaka konda aombe..
 
Ana semina ya siku tano inaendelea Kawe na anamaliza kesho. Nimehudhuria siku zote tangu ianze.

Itoshe tu kusema kwamba Mwakasege kweli ni Mwalimu na Neno la Mungu Analijua. Na napenda alivyo simple. Ni neno tu basi hakuna makorokocho mengine wala maigizo.

Somo analofundisha katika semina hii (Maombi ya Kimkakati) ni gumu kidogo lakini anakwenda polepole na anahakikisha kuwa kila mtu anaelewa kwa kadri ya uwezo wake. Ni Neno kwa Neno, Mifano kwa Mifano...

Mungu Azidi kumtunza mtumishi huyu.

Na katika miaka hii minne inayokuja anasisitiza sana tuiombee Tanzania maana itapita katika misukosuko mingi. Ndiyo lengo hasa la semina hii. Kupata makuhani watakaosimama katika zamu zao ili kuiombea nchi yetu kwa maombi ya kimkakati hasa katika miaka hii minne inayokuja...
View attachment 2545758
Barikiwa
 
Back
Top Bottom