T11
JF-Expert Member
- Oct 11, 2017
- 5,101
- 4,560
[emoji23][emoji23]Vitu vingine ni kujitafutia tu kurogwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23]Vitu vingine ni kujitafutia tu kurogwa
Mikoani kiwanja unapata cha kawaida unapata kwa 1.5M mpaka 2MNimeuliza hapo juu kumbe ushajibu. Kwa hiyo nihamie korogwe ili nikapate kiwanja cheap!
Mna umri gani nyie?Hawawezi kuamini binafsi nilikuwa naandaa estimate ya mteja wangu, Msingi upo kwenye 42m, hata tukianza project tukajibana vipi hatuwezi kutumia chini ya 35m
siyo lazima uishi juu ukishindwa kupanda juu utahamia chiniUkizeeka huwezi panda juu ghorofan
upo sawa kwa mtazamo wako, Ujenzi mbona watu wengine wanajenga hata nyumba ya vyumba 5 kwa milion 10 tu, 😂😂😂Mna umri gani nyie?
Hamna msingi wa ghorofa la makazi wa zaidi ya 20m, avarage ni 15m tena umetumia mkandarasi kabisa. Kama mmeibiwa kwa ujinga uzembe wenu msijaribu kuhalalisha uzembe wenu hapa.
Acha kudanganya watu na blah blah za mtaani, msingi wa hizi ghorofa zetu za mtaani ni 15-20m, hizo za 40m mnajengea Almasi? Nyie ndio mnaodanganyaga watu ghorofa moja za mtaani 300-500m wakati kwa 100m -150m unamaliza na finishing kabisa nzuri.upo sawa kwa mtazamo wako, Ujenzi mbona watu wengine wanajenga hata nyumba ya vyumba 5 kwa milion 10 tu, 😂😂😂
kwani ugomvi hata Milioni 5 ghorofa unajenga Mzee 😂😂😂Acha kudanganya watu na blah blah za mtaani, msingi wa hizi ghorofa zetu za mtaani ni 15-20m, hizo za 40m mnajengea Almasi? Nyie ndio mnaodanganyaga watu ghorofa moja za mtaani 300-500m wakati kwa 100m -150m unamaliza na finishing kabisa nzuri.
Naomba tufanye jambo flani kwa pamoja. Yaani tuangalie major items za msingi. Ili nami nijifunze kitu. Professionally mimi ni QS mwenye uzoefu wa zaidi ya miaka 10Hawawezi kuamini binafsi nilikuwa naandaa estimate ya mteja wangu, Msingi upo kwenye 42m, hata tukianza project tukajibana vipi hatuwezi kutumia chini ya 35m
Yeah.. Kuna nguzo nazijenga, kitako chake ni 3mX3m na kitanyonya zege lenye urefu wa nusu mita.. Material yatakayoingia kwenye kitako pekee ni karibu tani 15 ili kuweza kubeba floor tatu.. Concrete grade inatumika m20, na nondo tisa zinatumika kwa nguzo moja.. Kitako hiki kitakuwa na jumla ya nguzo nne.. So unaweza ukapiga hesabu hapo.Kwa msingi wa ghorofa unaweza kununua viwanja viwili.
Nadhani Hilo jengo sio residential.Yeah.. Kuna nguzo nazijenga, kitako chake ni 3mX3m na kitanyonya zege lenye urefu wa nusu mita.. Material yatakayoingia kwenye kitako pekee ni karibu tani 15 ili kuweza kubeba floor tatu.. Concrete grade inatumika m20, na nondo tisa zinatumika kwa nguzo moja.. Kitako hiki kitakuwa na jumla ya nguzo nne.. So unaweza ukapiga hesabu hapo.
So far viko vitako viwili vya aina hii na jumla vitakula karibu tani 25 za materials.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Vitu vingine ni kujitafutia tu kurogwa
Aisee [emoji119]Kuna kijana kule Tanga alikua baharia. Alirudi na pesa yake na kununua nyumba ya udongo mtaani enzi hizo. Alisema ninakwenda tena nikirudi ninajenga ghorofa niwe nina wasanifu wanaokwenda chooni na makopo ya maji nikiwa chumbani kwangu.
Mauti yalimkuta kabla hajaanza kuwasanifu wanaokwenda chooni.
Labda mkuu kwa tafsiri yako ya mjini ikoje.. vipo na vingi tu, kumbuka negotiation ni art.. ukikosa wewe haimaanishi havipoUkweli ni kwamba hakuna kiwanja cha milioni tano mjini.
Babu kuna lift atiiiUkizeeka huwezi panda juu ghorofan
Wazungu walijenga nyumba za ghorofa kutokana na uhaba wa ardhi kwao. Nimekutana na Wafrika Magharibi pia mawazo yao ni ya kujenga ma ghorofa. Nikipowauliza sababu waliniambia kwao ardhi ni ghali sana. Kupata kiwanja cha kujenga nyumba inakulazimu uwe na kuanzia milioni 20 kwa pesa ya Tanzania. Wanasema ukijenga ghorofa hukosi mpangaji na wewe unapata na sehemu yako ya kuishi kwa amani.
Wengine wanasema wanajenga ghorofa kuyaona matunda ya mafanikio yake kwa macho. Sasa ninajiuliza sisi ardhi tunayo kubwa sana. Mpaka sasa bei ya kiwanja ni wastaniwa milioni tano mijini. Ni kwanini unawaza kujenga ghorofa kama una wazo hilo au ni kwanini ulijenga ghorofa?
Mzigo upi huo mkuu?Kupiga mzigo ghorofani ni tofauti sana na kupiga mzigo sehemu iliyozungukwa na matofari.