Ni kwanini unajenga nyumba ya ghorofa?

Ni kwanini unajenga nyumba ya ghorofa?

Nimeuliza hapo juu kumbe ushajibu. Kwa hiyo nihamie korogwe ili nikapate kiwanja cheap!
Mikoani kiwanja unapata cha kawaida unapata kwa 1.5M mpaka 2M

Yaani kiwanja japo sio kikuuubwa lakini cha wastani kujenga na kulima bustani
 
Hawawezi kuamini binafsi nilikuwa naandaa estimate ya mteja wangu, Msingi upo kwenye 42m, hata tukianza project tukajibana vipi hatuwezi kutumia chini ya 35m
Mna umri gani nyie?
Hamna msingi wa ghorofa la makazi wa zaidi ya 20m, avarage ni 15m tena umetumia mkandarasi kabisa. Kama mmeibiwa kwa ujinga uzembe wenu msijaribu kuhalalisha uzembe wenu hapa.
 
Mna umri gani nyie?
Hamna msingi wa ghorofa la makazi wa zaidi ya 20m, avarage ni 15m tena umetumia mkandarasi kabisa. Kama mmeibiwa kwa ujinga uzembe wenu msijaribu kuhalalisha uzembe wenu hapa.
upo sawa kwa mtazamo wako, Ujenzi mbona watu wengine wanajenga hata nyumba ya vyumba 5 kwa milion 10 tu, 😂😂😂
 
upo sawa kwa mtazamo wako, Ujenzi mbona watu wengine wanajenga hata nyumba ya vyumba 5 kwa milion 10 tu, 😂😂😂
Acha kudanganya watu na blah blah za mtaani, msingi wa hizi ghorofa zetu za mtaani ni 15-20m, hizo za 40m mnajengea Almasi? Nyie ndio mnaodanganyaga watu ghorofa moja za mtaani 300-500m wakati kwa 100m -150m unamaliza na finishing kabisa nzuri.
 
Acha kudanganya watu na blah blah za mtaani, msingi wa hizi ghorofa zetu za mtaani ni 15-20m, hizo za 40m mnajengea Almasi? Nyie ndio mnaodanganyaga watu ghorofa moja za mtaani 300-500m wakati kwa 100m -150m unamaliza na finishing kabisa nzuri.
kwani ugomvi hata Milioni 5 ghorofa unajenga Mzee 😂😂😂
 
Hawawezi kuamini binafsi nilikuwa naandaa estimate ya mteja wangu, Msingi upo kwenye 42m, hata tukianza project tukajibana vipi hatuwezi kutumia chini ya 35m
Naomba tufanye jambo flani kwa pamoja. Yaani tuangalie major items za msingi. Ili nami nijifunze kitu. Professionally mimi ni QS mwenye uzoefu wa zaidi ya miaka 10
1. Zege la strip foundation ni CM ngapi?
2. Ukuta wa strip foundation ni SM ngapi?
3. Nondo za pad +starter columns + Plinth beams ni Tonne ngapi?
4. Zege la pad+starter Columns+Plinth beams +conc. Bed ni CM ngapi?
5. Floor area ya jengo ni SM ngapi?
 
Kwa msingi wa ghorofa unaweza kununua viwanja viwili.
Yeah.. Kuna nguzo nazijenga, kitako chake ni 3mX3m na kitanyonya zege lenye urefu wa nusu mita.. Material yatakayoingia kwenye kitako pekee ni karibu tani 15 ili kuweza kubeba floor tatu.. Concrete grade inatumika m20, na nondo tisa zinatumika kwa nguzo moja.. Kitako hiki kitakuwa na jumla ya nguzo nne.. So unaweza ukapiga hesabu hapo.
So far viko vitako viwili vya aina hii na jumla vitakula karibu tani 25 za materials.
 
Yeah.. Kuna nguzo nazijenga, kitako chake ni 3mX3m na kitanyonya zege lenye urefu wa nusu mita.. Material yatakayoingia kwenye kitako pekee ni karibu tani 15 ili kuweza kubeba floor tatu.. Concrete grade inatumika m20, na nondo tisa zinatumika kwa nguzo moja.. Kitako hiki kitakuwa na jumla ya nguzo nne.. So unaweza ukapiga hesabu hapo.
So far viko vitako viwili vya aina hii na jumla vitakula karibu tani 25 za materials.
Nadhani Hilo jengo sio residential.
 
Kuna kijana kule Tanga alikua baharia. Alirudi na pesa yake na kununua nyumba ya udongo mtaani enzi hizo. Alisema ninakwenda tena nikirudi ninajenga ghorofa niwe nina wasanifu wanaokwenda chooni na makopo ya maji nikiwa chumbani kwangu.

Mauti yalimkuta kabla hajaanza kuwasanifu wanaokwenda chooni.
Aisee [emoji119]
 
Kiwanja cba milioni tano mjini ni wapi huko mkuu nije fasta kununua ?
Wazungu walijenga nyumba za ghorofa kutokana na uhaba wa ardhi kwao. Nimekutana na Wafrika Magharibi pia mawazo yao ni ya kujenga ma ghorofa. Nikipowauliza sababu waliniambia kwao ardhi ni ghali sana. Kupata kiwanja cha kujenga nyumba inakulazimu uwe na kuanzia milioni 20 kwa pesa ya Tanzania. Wanasema ukijenga ghorofa hukosi mpangaji na wewe unapata na sehemu yako ya kuishi kwa amani.

Wengine wanasema wanajenga ghorofa kuyaona matunda ya mafanikio yake kwa macho. Sasa ninajiuliza sisi ardhi tunayo kubwa sana. Mpaka sasa bei ya kiwanja ni wastaniwa milioni tano mijini. Ni kwanini unawaza kujenga ghorofa kama una wazo hilo au ni kwanini ulijenga ghorofa?

 
Back
Top Bottom