Kitwa-Mulomoni
JF-Expert Member
- Oct 25, 2016
- 1,779
- 1,119
Hivi wewe unaumwa? Na kama unaumwa, umekwenda Mzena wakakataa kukutibia? Tatizo ni nini? Kwani wakubwa wote wanaumwa? Je! Hospitali hiyo imeanzishwa kuwatibu wakubwa tu? Maswali ni mengi, tupe majibu.Sasa kwanini tu kwakuwa mmeamua Kutuficha Watanzania kuhusu Kulazwa Kwao hapo Mzena Hospital basi hata Wakifa ( Wakifariki ) msiendelee pia Kutuficha kwa Kutotujajia hiyo Hospitali na badala yake muendelee tu na Ratiba zenu za Maziko nyie nyie kama nyie pamoja na Wauguzi wa Mzena Hospital na wale Walinzi Wanoko wenye Maswali ya Kukomoa pale Getini Makumbusho? Tumeivumilia hii tabia tumechoka na badilikeni!
Kuna mmoja alitangulia ikasemwa tu amefariki kwenye "hospital jijini daresalaam"
Well well!Si ndiyo hapo....lazima watu wakubali
Kuwa service anayopata kiongozi maalum mtu wa kawaida hiwezi ipata na hiyo ni kawaida tu
Ova
Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
Duh mzee umekosea mimi nimesema raia hawezi kuwa sawa na kiongoziKaribu mtataka Viongozi wote wapande daladala kwenda kazini Akili za hovyo kabisa. Wewe unatambua heshima kubwa na hadhi za Viongozi pamoja na heshima hizo na wenyewe ni binadamu wanamadhaifu yao inamaana wanahitajika Watu wenye taaluma ya Siri nje ya taaluma ya Udaktari .Hivyo basi tegemea siku zote Viongozi kutibiwa mahali pa Hivyo .Kumbuka kuwa hapo Muhimbili au. Mwananyamala akija kiongozi akifika mpaka baadhi ya huduma huwa zinasimama kwa muda kwa sababu za kiusalama Sasa Leo unataka tulazwe naye Mwananyamala huo ni upeo finyu wa kufikiri.Yaani hata kiongozi akijisikia mafua akaenda zahanati nchi nzima itajua kuwa kiongozi anayo mafua.Hivyo taarifa za matibabu kwa Viongozi kuwa siri kwa Viongozi ni muhimu Sana kuondoa taharuki na hofu kwa wafuasi wao itatolewa tu pale itakapokuwa lazima. Pia nakukumbusha kuwa siyo kila sehemu za Siri ni bora Sana bali Kinachofuatwa ni Usiri tu.
Unajua Uzi huu unaongea kuhusu nini ewe ndugu?Kwani kiongozi akija kuomba kura wewe huteseka na nini kupanga foleni?
Sasa kama wakienda kutibiwa hawaponi bora ibakie kuitwa zahanati tu, wapigie familia ya mkapa wakupe kilio chaoWewe! Kwa hiyo unataka niambia Mzena haina hadhi ya Hospitali bali kituo cha afya na majengo yote yale
Kwani wewe ulitaka uongelee nini zaidi ya usiri wa Ugonjwa wa viongozi kubanwa mpaka wakifa ndipo hutangazwa walitibiwa wapiUnajua Uzi huu unaongea kuhusu nini ewe ndugu?
Poleni(May he RIP)Mzee wangu Alisha wahi kulazwa hapo RIP Dad ππ
Sindo hapo[emoji23]Mbona watu wakiwa na ngwengwe aka ngoma
Hawajitangazi waanze basi hao wanaosema tujitangaze wajitangaze[emoji23][emoji23][emoji23]
Ova
Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
Ni kweli yapo maswali yasiyo na tija kwa mtu ambaye anakwenda kumuona mgonjwa , vikwazo vingine ndivyo huzaa story kama hizi ni bora wapunguze maswali ili ndugu wenye huzuni wapite kwenda kuwaona ndugu zao pasipo usumbufu wowote uleUkipanda pale juu kabisa ghorofani Kairuki Hospital, unaona mle ndani na hiyo hospital ipo huku karibu na Kairuki,kuna rafiki yangu dada yake ni mfanyakazi wa hiyo idara tulienda msalimia siku moja,mle ndani,maswali mengi utadhani sijui unaomba visa ya kwenda marekani
Naona umekuja na id nyingine.Sasa kwanini tu kwakuwa mmeamua Kutuficha Watanzania kuhusu Kulazwa Kwao hapo Mzena Hospital basi hata Wakifa ( Wakifariki ) msiendelee pia Kutuficha kwa Kutotujajia hiyo Hospitali na badala yake muendelee tu na Ratiba zenu za Maziko nyie nyie kama nyie pamoja na Wauguzi wa Mzena Hospital na wale Walinzi Wanoko wenye Maswali ya Kukomoa pale Getini Makumbusho? Tumeivumilia hii tabia tumechoka na badilikeni!
Utafikiri anaijua[emoji23][emoji23]Wewe! Kwa hiyo unataka niambia Mzena haina hadhi ya Hospitali bali kituo cha afya na majengo yote yale
Lakini wananchi hawafichwi!Hata marekani viongozi wao wakiumwa
Wanapelekwa hospital zao mfano walter reed etc
Ova
Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
Hivi kwani Kuuliza Jambo ni Kosa la Jinai ndani ya Ardhi hii ya Tanzania? Kama Swali hukulipenda ungeachana nalo na si kuwa na Kiherehere hiki.Kodi zinatumika hovyo. Binadam hawakosi story
VIP's, TISS Members and their Families Ndugu, japo kinachonishangaza tu Wafanyakazi wengi wa hiyo Idara wanaipenda sana Rabininsia Hospital.Hivi hiyo hospital ni kwa ajili ya kina nani??
Wanalazwa kwa shinikizo tu hapo Mzena π π π πVIP's, TISS Members and their Families Ndugu, japo kinachonishangaza Wafanyakazi wengi wa hiyo Idara wanaipenda sana Rabininsia Hospital.
Ndiyo na ni hapo hapo pia hata Israeli nae alimfuata na Kuvunja Mkataba wake rasmi wa Uhai Usiku ambapo nae alikubali Mutually na Kuondoka.Ina maana hata yule mzee wetu wa kutuita marofa alikuwa anatibiwa pale?
Dhumuni lako la Kujifanya kuandika kwa Uchungu hivi na Kiufafanuzi ili tukujue kuwa nawe ni mwana TISS limetimia Ndugu je, kuna ulilolisahau?Kwani mkuu unaumia na nini juu ya Mzena? Wakilazwa hapo wagonjwa unatesekea nini? Ulisikia pale ni ya kila mtu ndo uende ende?
Ila unashangaza sana mtanzania mwenzangu. Ulienda kwa kufata protocol inavyopaswa ama ukienda na mziki wako mkubwa masifa sifa etc?
Na aliyekuambia ninkila kiongozi anatibiwa hapo ni nani? Na mbona ni hispital ya siku nyingi sana hiyo ndo mnaijua leo ama?