Ni kwanini Viongozi Serikalini wakilazwa Mzena Hospital huwa tunafichwa, ila wakifa tu tunaambiwa Walilazwa hapo Mzena Hospital?

Kawadanganye Wapumbavu katika hili Ndugu na ni vyema kama pengine unakuwa ama hujui au huna uhakika na Jambo lolote basi ukanyamaza.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nilicheka sana nikasema ngoja nipite. Watu waongoooo. Mwambie aende.
 
Vi

Kuingia pale makumbusho napo ni kismati?
Mliongia humo ( hapo ) hebu mtuambie basi Sisi tulioko huku Vijijini Pemba tukiendelea na Uvuvi wetu wa Samaki ndani kukoje na kuna nini hasa.
 
Unaropoka au Unaifahamu vizuri John Hopkins ambayo ni mojawapo ya hospitali 10 bora duniani?
 
Ndugu kama hutojali nitapenda sana uniambie hapa hapa na Watu hawataona hayo matatizo mengine aliyonayo au aliyokuwa nao Mstaafu JKM.
 
Hata marekani viongozi wao wakiumwa
Wanapelekwa hospital zao mfano walter reed etc

Ova

Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
Umeniwahi mkuu nilitaka niwajibu hivyo na kwa taarifa Water Reed ni taasisi ya kijeshi huko Marekani wana hospitali zao ambazo ndiko wanatibiwa maraisi na viongozi wa Marekani na hata maswahiba wao pia hawa Water Reed wanaendesha tafiti mbali mbali za kitibabu na magonjwa, hata hapa Tanzania wanafanya tafiti zao hadi vijijini.
 
Hii issue ya Mzena Hospital inazidi ku-trend sana hapa JF bila sababu ya msingi.
Kwani kiongozi akiumwa wewe binafsi unateseka na nini?
Shida yako hii Mada isiendelee Kushika Kasi kwa pages zake Kuongezeka kama hii ya 8 sasa au Swali ( Hoja ) yangu ya Msingi imekuumiza mno tu?
 
Kama makao makuu ya mehamia Chamwino, naona watakua mbioni kujenga tawi la Mzena Dom, naomba hii waiite Mapank. Mfugale sasa ana mbili. [emoji14] [emoji14] 😛
Bado base ya viongozi wastaafu na familia zao kuanzia uongozi wa awamu ya kwanza , ya pili, ya tatu na ya nne.
Waliohamia Dodoma ni hii generation ya awamu ya tano, miaka ya baadae sana huenda ikajengwa hospital aina hiyo hata Dodoma.
 
Kama habari hii inahusiana na kufariki kwa Rose Nyerere, hamjamtendea haki huyu dada, kwani yeye si kiongozi wa serikali.

I'm just saying.

No confusion.

RIP Rose Nyerere.
 
Isomeke Johns Hopkins. Si mwenyeji sana huko iliko na uliko.
Mkuu ama Simu yako au Laptop yako umeiseti vyema upande wa Dictionary ukikosea neno utaona mstari Mwekundu chini. Je, Wewe hukuuona?
 
Hizi ndo chumvi zinazoweza leta chuki Kwa serikali..
Kama ni best hivyo mbona Nyerere alipelekwa London?
Yawezekana alipenda Kufia kwa Wazungu wenye Akili nyingi na siyo Kufia huku Kwetu Afrika ambako Akili za Kipa Katoka ndiyo zimetawala sana.
 
Ndugu kama hutojali nitapenda sana uniambie hapa hapa na Watu hawataona hayo matatizo mengine aliyonayo au aliyokuwa nao Mstaafu JKM.
Ndugu nikuambie nini sasa mbona umeacha habari inaelea hewani sijaelewa unachotaka kuambiwa?
 
Shule ya Jasusi Mbobezi Benard Kamilius Membe hiyo, akikuona umehaiharibu jina atasononeka zaidi.
Kama Bernard Membe wenu kila Uchao hapa JF mnajifaragua kwa Kumuita Jasusi Mbobezi je, wakina Hayati Kombe na Apson wao mtawaitaje?
 
Kama Bernard Membe wenu kila Uchao hapa JF mnajifaragua kwa Kumuita Jasusi Mbobezi je, wakina Hayati Kombe na Apson wao mtawaitaje?
Obviously sarcasm is not your strong suit.

Bernard Membe is the butt of all jokes now.

Tanzania jasusi mbobezi labda Mahfudh, hao kina Apson na Kombe wote wana scandals zinazo wa disqualify.

Mahfudh jasusi mbobezi mpaka serikali ya Tanzania ilikuwa inamuogopa haitaki awepo nchini.

Apson mwanasiasa aliyeshindwa ku back the right horse hivyo ujasusi wake una question mark, Kombe is even worse, aliuawa kama a common criminal baada ya kujiingiza kwenye siasa.
 
Amini usiamini kwa ulichokiandika tu hapa kuhusu hapo kwa Kairuki na huko juu kuanzia Kesho mnaweza huko juu mkapanda kwa Masharti sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…