MINOCYCLINE
JF-Expert Member
- Apr 2, 2015
- 8,018
- 16,802
Wewe unasumbuliwa na chuki na Udini dhidi ya uislamu, sio kingineAuche kulinganisha Ukristo na uislam. They are two different things and mungu wa waislam si Mungu wa Bwana Yesu Kristo. Period.
Wapi Biblia imekataza wanawake kuwa viongozi?
Auche kulinganisha Ukristo na uislam. They are two different things and mungu wa waislam si Mungu wa Bwana Yesu Kristo. Period.
Wapi Biblia imekataza wanawake kuwa viongozi?
Sio kila kitu kinakuwa updatedKila kitu maishani kinakuwa updated, haiwezekani vitabu vilivvoandikwa karne iliyopita kuendelea kutumika
Wewe unasumbuliwa na chuki na Udini dhidi ya uislamu, sio kingine
Wewe leta mistari hapa, acha siasa.Soma maandiko kijana usikurupuke.
Una uhakika hiyo quraan ni Mungu aliiandika?Na je, Mwenyezi Mungu aliona nini mpaka Kulisemea hili mpaka Kusisitiza kabisa kuwa Mwanaume ndiyo awe Kiongozi na kuainisha Majukumu ya Mwanamke na Ukomo wake?
Kwenye Kitabu cha Quran ( cha Waislamu ) hiyo Aya nimeiona na imesisitizwa kweli kweli na naomba kama kuna anayejua Aya inayosema hivi katika Kitabu cha Biblia ( cha Wakristo ) aniwekee hapa.
Tuyaheshimu sana Maagizo ya Mungu!!!
Kule afghanistan wewe huna kichwa saa hii.Kila kitu maishani kinakuwa updated, haiwezekani vitabu vilivvoandikwa karne iliyopita kuendelea kutumika
Wewe leta mistari hapa, acha siasa.
Na wewe Covax , huwezi kulazimisha mtu apende li dini alilolijua na ndiyo sababu hajalichagua. Huwezi kulazmisha watu waabudu miungu yako na ndiyo sababu wana Mungu wao.
Kikbuwa ukubali kwamba mungu wa uislam si Baba wa Kristo na havifanani kwahyo acha kulinganisha. Na kwa hiyo unachotakiwa ni kujenga hoja kwa mfumo wa mungu wako kama alivyo na si lazima uegemeze uwongo wako kwa Kristo.
alla is not God.
Mwenyezi Mungu anaijua Dunia mwanzo mpaka mwisho wake,so alipoleta amri zake ni za muda wote.Kila kitu maishani kinakuwa updated, haiwezekani vitabu vilivvoandikwa karne iliyopita kuendelea kutumika
Kumbuka waislam hatumjui mungu sisi tunae mtambua nimola wetuWewe leta mistari hapa, acha siasa.
Na wewe Covax , huwezi kulazimisha mtu apende li dini alilolijua na ndiyo sababu hajalichagua. Huwezi kulazmisha watu waabudu miungu yako na ndiyo sababu wana Mungu wao.
Kikbuwa ukubali kwamba mungu wa uislam si Baba wa Kristo na havifanani kwahyo acha kulinganisha. Na kwa hiyo unachotakiwa ni kujenga hoja kwa mfumo wa mungu wako kama alivyo na si lazima uegemeze uwongo wako kwa Kristo.
alla is not God.
Wewe leta mistari hapa, acha siasa.
Na wewe Covax , huwezi kulazimisha mtu apende li dini alilolijua na ndiyo sababu hajalichagua. Huwezi kulazmisha watu waabudu miungu yako na ndiyo sababu wana Mungu wao.
Kikbuwa ukubali kwamba mungu wa uislam si Baba wa Kristo na havifanani kwahyo acha kulinganisha. Na kwa hiyo unachotakiwa ni kujenga hoja kwa mfumo wa mungu wako kama alivyo na si lazima uegemeze uwongo wako kwa Kristo.
alla is not God.
Bible haijakataza mwanamke kuwa kiongozi, Ila awe kiongozi wa Nini imesema. Mf wanawake wameanzisha saccos, lazima kuwe na kiongozi.Auche kulinganisha Ukristo na uislam. They are two different things and mungu wa waislam si Mungu wa Bwana Yesu Kristo. Period.
Wapi Biblia imekataza wanawake kuwa viongozi?